CAF kuanzisha uchunguzi kuhusu VAR kuzimwa mechi ya Simba vs Orlando Pirates

CAF kuanzisha uchunguzi kuhusu VAR kuzimwa mechi ya Simba vs Orlando Pirates

There is a "potential stratagem" involving Simba Sports Club officials and Caf appointed officials who come to handle the Caf matches being hosted by Simba.

It's highly likely that the outcomes of the most matches involving the Tanzanian side on their home ground have been influenced by the Caf appointed officials, ostensibly, to favour the hosts. Someday time will prove me right [emoji106]
Pumbavu
 
Shirikisho la Soka Africa, CAF,linaanzisha uchunguzu juu ya tuhuma za kuzimwa VAR kwenye match ya Simba vs Orlando Pirates iliyochezwa 17 April 2022. Match hiyo ilimalizika kwa Simba kushinda goal 1 kwa bila
Huo uchunguzi (Kama upo )hauwezi kubadili matokeo.
 
There is a "potential stratagem" involving Simba Sports Club officials and Caf appointed officials who come to handle the Caf matches being hosted by Simba.

It's highly likely that the outcomes of the most matches involving the Tanzanian side on their home ground have been influenced by the Caf appointed officials, ostensibly, to favour the hosts. Someday time will prove me right 👍
Acha kusambaza uongo.
 
Shirikisho la Soka Africa, CAF,linaanzisha uchunguzu juu ya tuhuma za kuzimwa VAR kwenye match ya Simba vs Orlando Pirates iliyochezwa 17 April 2022. Match hiyo ilimalizika kwa Simba kushinda goal 1 kwa bila.
Labda unazungumzia CAF ya pale jangwani!!! Lakini CAF tunayoijua ya huko CAIRO kwenye website yake hakuna kitu kama hicho.
 
Tatizo la mpira wa Tanzania ni kuwa na mashabiki wa team 2 Tu, hapo ndio shida ilipo na haitokuja kuisha kamwe, akishinda Simba walalamikaji ni mashabiki wa Yanga, kuanzia wachambuzi,waandidhi na watangazaji

Laiti kama Tanzania ingekuwa na utamaduni wa kuwa na mashabiki wa team tofauti tofauti ingekuwa rahisi sana kuzuia Mambo kama haya maana ataongea shabiki wa Azam,Mtibwa,Mbeya Kwanza,KMC,Ruvu,Kagera nk kwahiyo maelezo/mawazo yao yasingeendeshwa na hisia na mihemko

Leo hii ukae Tanzania unasema Simba inafanya hujuma katika uteuzi wa waamuzi wa michezo Yao ya nyumbani, hivi kwa Akili za kuvukia zebra Tu Simba inaweza kuizidi nguvu/ushawishi/pesa Al ahyl ili Caf ifanye ukanjanja wa Simba kumfunga Al ahyl Kwa Mkapa mara 2 nzima?

Siku Yanga ikiwa team kubwa ndio itajua falsafa ya mpira wa kiafrica ikoje, mpira wa Africa unakutaka upate matokeo nyumbani kwako ila huzuiliwi kushinda ugenini, ila team nyingi zinaenda away na mentality ya kutafuta draw kwahiyo kama Una kikosi kizuri na uzoefu basi Africa unaifunga team yoyote ukiwa nyumbani kwako

Leo hii mfano south Africa team zao zote zina washabiki wake, kwahiyo huwezi kukuta mashabiki wa kaizer,baroka, Orlando,Cape town city,amazulu, pirates, supersport na team zingine wanaungana kuinanga mamelod kwamba inatumia hujuma kushinda game za nyumbani

Kwa mpira wa Africa ukiona bado hujaanza kulalamikiwa unapokuwa kwako basi ujue wewe sio team kubwa na huna dalili za kuja kuwa team kubwa, Simba na Yanga zilikuwa zinaongoza Kwa malalamiko kila wakienda nje, Ila wageni wakija kwetu hawalalamiki maana wanajua wanakuja kushinda, Leo hii Simba inaenda kucheza nje na huskii malalamiko japokuwa wanafungwa Kwa sababu washakuwa na mentality za ukubwa

Simba Leo hii inalalamikiwa Kwa sababu teyari ishaproove ina uwezo wa kushinda game za nyumbani, kwahiyo imeset standard Kwa mkapa, kama anafungwa Al ahyl basi kiufupi hakuna team itashtuka ikipoteza Kwa mkapa ila saizi wanakuja na mind game zao Kwa kujua huku kuna mashabiki wa team 2 kwahiyo ata iweje watapata support Tu, kisha sie tunabaki na usimba wetu na uyanga wetu

Ndomana ni rahisi kuskia Al ahyl akilalamikia mamelod kuwa inawahujumu,au Raja akitoa shutuma Kwa Al ahyl, au zamaleki akishtaki caf wydad au Tunis akilalamikia mazembe maana hizo club ziko level moja kwenye nguvu/ushawishi hivo yoyote anaweza kufanya chochote ili wahakikishe wanashinda nyumbani

Ila unachokisema wewe ni Sawa na useme KMC wawe na uwezo wa kuhonga TFF ili waamuzi wawapendelee dhidi ya Yanga au Simba utakuwa mjinga wa mwisho, maana hawana nguvu hiyo ya ushawahi wala pesa, Mentality za Team ndogo ni kama Yanga kwenda kutaka kugomea mchezo kule Nigeria dhidi ya rivers utd, ule ni mfano wa team ndogo ambayo haijiamini dhidi ya team ya level yake
Mkuu kwani ni Simba tu kamfunga Al Ahl kwa Mkapa?
 
Wewe dada Gonzalez, mambo ya kuikomboa Afrika Kusini kwa makaburu hayahusiki hapa...

Tanzania ipeleke invoice Afrika Kusini ya gharama ya kuwakomboa kwenye ubaguzi watulipe tumalizane na hilo deni basi!

Gonzalez hana common sense, eti analalamika Orlando Pirates kukataa huduma za magari ya Simba na hoteli za Simba...

TFF, Jeshi la Polisi, Wizara ya Michezo, Wizara ya Mambo ya Nje, ndio wenyeji wa mgeni yeyote wa ziara rasmi ya mpira hapa nchini, na ndio walitakiwa kutoa magari na hoteli kwa Orlando Pirates, sio Simba.

Na ndio hao wataulizwa na dunia likitokea lolote hotelini na kwenye mabasi, sio Simba.

Gonzalez is a lightweight, lacks common sense.
 
Wewe dada Gonzalez, mambo ya kuikomboa Afrika Kusini kwa makaburu hayahusiki hapa...

Tanzania ipeleke invoice Afrika Kusini ya gharama ya kuwakomboa kwenye ubaguzi watulipe tumalizane na hilo deni basi!

Gonzalez hana common sense, eti analalamika Orlando Pirates kukataa huduma za magari ya Simba na hoteli za Simba...

TFF, Jeshi la Polisi, Wizara ya Michezo, Wizara ya Mambo ya Nje, ndio wenyeji wa mgeni yeyote wa ziara rasmi ya mpira hapa nchini, na ndio walitakiwa kutoa magari na hoteli kwa Orlando Pirates, sio Simba.

Na ndio hao wataulizwa na dunia likitokea lolote hotelini na kwenye mabasi, sio Simba.

Gonzalez is a lightweight, lacks common sense.
Ako kamdada ni kakilaza fulani hivi ambako kamebaki kutafuta huruma na umaarufu wa kulazimisha, eti wawape ulinzi kwa lipi hasa ambalo ni spesho kwao! Wao wanafanya mambo yao ya ovyo ovyo waende na wao wakakione cha moto,,,kanaanza kujitetea ujinga tu,,kwanini kila timu inayokuja hapa lazima wailalamikie simba? Ina maana kila timu Ina chuki binafsi na simba? Hii kitu aiingii akilini ata kidogo aya malalamiko ayajaanza leo wala jana ni vizuri caf kuanza kuwamulika awa mabwana kuna michezo michafu Sana uwa wanafanya ndo maana ya slogan pendwa ya kwa mkapa atoki mtu inafanya kazi kwa mkapa tu wakitoka nje unaishangaa timu inayocheza vizuri kwa mkapa na ushindi mnono inakuwa Kama ihefu iliyochangamka, kumbe kuna busta inafanyika ya michezo michafu nyumbani,
 
Wewe dada Gonzalez, mambo ya kuikomboa Afrika Kusini kwa makaburu hayahusiki hapa...

Tanzania ipeleke invoice Afrika Kusini ya gharama ya kuwakomboa kwenye ubaguzi watulipe tumalizane na hilo deni basi!

Gonzalez hana common sense, eti analalamika Orlando Pirates kukataa huduma za magari ya Simba na hoteli za Simba...

TFF, Jeshi la Polisi, Wizara ya Michezo, Wizara ya Mambo ya Nje, ndio wenyeji wa mgeni yeyote wa ziara rasmi ya mpira hapa nchini, na ndio walitakiwa kutoa magari na hoteli kwa Orlando Pirates, sio Simba.

Na ndio hao wataulizwa na dunia likitokea lolote hotelini na kwenye mabasi, sio Simba.

Gonzalez is a lightweight, lacks common sense.
Ficha ujinga wako mkuu, unamuonea wivu mtoto wa kike hadi unaongea ujinga, TFF itakuwa mwenyeji wa mgeni endapo itahost Nchi na sio club, tangu lini uliwahi kuona inakuja club alafu shirikisho la mpira ndio linahangaika?

Kwenye level za vilabu mwenyeji ndio anapewa mamlaka ya kumpokea Mgeni na sio TFF, team wenyejei wanatakiwa kuwaandalia wageni wao usafiri,hotel ya kufkia ambayo itakuwa karibu na training pitch pamoja na Ku organize ulinzi Kwa kipindi chote ambacho watakuwa katika ardhi yenu

Kipindi team zetu zinaenda Nchi za watu wanapewa mabasi mabovu,wanapelekwa uwanja wa mazoezi ulio mbali na hotel,wanapelekwa hotel iliyo mbali na uwanja utakaotumika kwenye mechi kumbe ulijua shirikisho la mpira ndio linawafanyia hayo we kiazi?

Club kama haitaridhika na huduma hizo inaweza kukataa na kujitaftia yenyewe kulingana na matakwa yao Ila huwezi kuona shirikisho linajiangaisha kuitaftia mahitaji club maana hayo sio majukumu yake, club inaweza kuomba msaada kutoka ubarozi wao katika nchi husika

Ungeishia kumlaumu Kwa kuingiza Mambo ya mahusiano yaliyopo baina ya Tanzania na Africa kusini ungekuwa na hoja, ila kwakuwa mnaacha mihemko ndio iwaendeshe mnajikuta mnalopoka tu
 
Hili la var ni kirusi, na sio tu kwa simba,, anzia Afcon mataifa ya kaskazini yameonewa sana, refer Algeria dhidi ya cameroon, egypt alichofanyiwa na senegal, n.k.

Dhuluma haimuachi mtu salama, ngoja uone kitakachowakuta Cameroon na senegal,,,nawaombea watolewe mapema sana. Tena huko atakutana na waamerika ya kusini atapigwa nyingi sana.
 
Ako kamdada ni kakilaza fulani hivi ambako kamebaki kutafuta huruma na umaarufu wa kulazimisha, eti wawape ulinzi kwa lipi hasa ambalo ni spesho kwao! Wao wanafanya mambo yao ya ovyo ovyo waende na wao wakakione cha moto,,,kanaanza kujitetea ujinga tu,,kwanini kila timu inayokuja hapa lazima wailalamikie simba? Ina maana kila timu Ina chuki binafsi na simba? Hii kitu aiingii akilini ata kidogo aya malalamiko ayajaanza leo wala jana ni vizuri caf kuanza kuwamulika awa mabwana kuna michezo michafu Sana uwa wanafanya ndo maana ya slogan pendwa ya kwa mkapa atoki mtu inafanya kazi kwa mkapa tu wakitoka nje unaishangaa timu inayocheza vizuri kwa mkapa na ushindi mnono inakuwa Kama ihefu iliyochangamka, kumbe kuna busta inafanyika ya michezo michafu nyumbani,
Wewe kiazi Acha mipasho na ongea facts, uliwahi kuskia Al ahyl analalamika katika hizi nyakati zote mbili alizokuja? Uliwahi kuskia mazembe amelalamika wakati amekuja kucheza na Simba robo fainali?

Turudi Kwa Al ahyl umeskia wakubwa wangapi wakienda kwenye uwanja wake wanalalamika? Kawasklize mamelod,Raja,Tunis, wydad hao wote wakienda Kwa Al ahyl lazima walalamike Kwakuwa wapo level moja

Al ahyl hawezi kulalamika akija Kwa mkapa kwakuwa anajua kabisa kaizidi Simba mbali sana na dunia itamshangaa kujilalamisha, ila unalalmikiwa na team ambayo mnaweza kutunishiana misuri, team zote ambazo zipo level ya Simba saiz wakija Kwa Mkapa lazima watoe malalamiko maana hiyo ni mind games za kiafrica

Yanga mlilalamikiwa na Rivers utd na nyie mkaenda kulalamika kule kwao Kwa sababu nyie ndio level yenu, umeskia lini simba inaenda nje inaanza lawama? Maana ishatoka huko

Leo hii mgeni anakuja Tanzania ila anaingilia mlango ambao sio rasmi unajiuliza Nani kawafungulia huo mlango ambao sio rasmi? Team inakuja haitaki kuingia vyumbani inakaa kwenye korido nani anawaelekeza haya? Team inakuja inakataa bus waliloandaliwa,wanakataa hotel Ila mwisho wa siku wanafungwa au inabidi wakatae kucheza kwenye uwanja ulioandaliwa?

Simba nyumbani atafungwa tu kama kawaida maana mpira ndio ulivo ila kitu mnachotakiwa kujua ni kwamba Simba wa leo sio yule wa kupigwa nyumbani hovyo hovyo, kashakuja namna ya kucheza game za nyumbani, game za kwenye ligi ni tofauti na Caf ndomana unakuta mamelod anafungwa katika uwanja wake wa nyumbani kwenye ligi na baroka Fc ila anakuja Al ahyl anakufa 5

Nyie mlivo wajinga mnaamini kwakuwa Mbeya city anaifunga Simba kwenye ligi basi na club bingwa inabidi afungwe na kila team, Kwa Akili hizo mtachelewa sana kuingia mjini, endelezeni mihemko Tu ila Simba sio Ile tena

Simba ya Leo ndo team inayoongoza kufatiliwa kwenye mitandao ya kijamii ndomana haikauki kwenye page official za Caf,Simba ndio inaongoza Kwa mechi zake kufatiliwa pindi inapokuwa Kwa mkapa,Simba ndio team inayopata view's wengi katika account za Caf YouTube, haya Mambo hayaji Kwa bahati mbaya mkuu, hizi ni dalili zote kuwa Simba it's among the best Kwa sasa Africa pamoja na budget Yao ndogo compared na giants

Maisha yako hayawezi kupata unafuu Kwa kumchukia tajiri hizo ni roho za kimaskini, tumieni njia mnazozijua nyie ili tuiweke ramani ya Tanzania katika mashindano makubwa, inapendeza kuona Yanga yupo robo fainali club bingwa na Simba yupo robo fainali shirikisho, hao walalamikaji acheni waendelee kulalamika ndio vizuri na ishara ya kuwa mkubwa, kwani msimu huu unaskia Yanga wanalia lia hovyo kama misimu mi4 nyuma? Tumieni Akili viazi nyie
 
Ficha ujinga wako mkuu, unamuonea wivu mtoto wa kike hadi unaongea ujinga, TFF itakuwa mwenyeji wa mgeni endapo itahost Nchi na sio club, tangu lini uliwahi kuona inakuja club alafu shirikisho la mpira ndio linahangaika?

Kwenye level za vilabu mwenyeji ndio anapewa mamlaka ya kumpokea Mgeni na sio TFF, team wenyejei wanatakiwa kuwaandalia wageni wao usafiri,hotel ya kufkia ambayo itakuwa karibu na training pitch pamoja na Ku organize ulinzi Kwa kipindi chote ambacho watakuwa katika ardhi yenu

Kipindi team zetu zinaenda Nchi za watu wanapewa mabasi mabovu,wanapelekwa uwanja wa mazoezi ulio mbali na hotel,wanapelekwa hotel iliyo mbali na uwanja utakaotumika kwenye mechi kumbe ulijua shirikisho la mpira ndio linawafanyia hayo we kiazi?

Club kama haitaridhika na huduma hizo inaweza kukataa na kujitaftia yenyewe kulingana na matakwa yao Ila huwezi kuona shirikisho linajiangaisha kuitaftia mahitaji club maana hayo sio majukumu yake, club inaweza kuomba msaada kutoka ubarozi wao katika nchi husika

Ungeishia kumlaumu Kwa kuingiza Mambo ya mahusiano yaliyopo baina ya Tanzania na Africa kusini ungekuwa na hoja, ila kwakuwa mnaacha mihemko ndio iwaendeshe mnajikuta mnalopoka tu
Kwa nini nifiche ujinga wangu?

Hiyo hoja yako ya kusema nifiche ujinga ni ya kijinga kwa sababu nitaendelea kuwa the dunderhead that you are!

Nionyeshe sheria na kanuni za CAF zinazosema timu mwenyeji, SIMBA, ina wajibika kwa malazi na usafiri wa timu ya ugenini, ORLANDO PIRATES
 
Mkuu kwani ni Simba tu kamfunga Al Ahl kwa Mkapa?
Hapana mkuu, me siongelei timu ambazo zimewahi kuifunga Al ahyl bali naongelea maneno ya huyo mdau aliesema Simba inapata msaada kutoka Caf kwenye uteuzi wa marefa ili ye ashinde akiwa nyumbani

Sasa ndio nauliza Kwa Akili za kuvukia zebra Tu inawezekana Yanga ilihonga Caf ili iifunge Al ahyl ule mwaka sijui 2013? Au ilikuwa ni ubora wa Yanga wa kipindi hicho? Kile kipindi ndio ilitakiwa Yanga kuset standard katika mashindano ya kimataifa maana walikuwa bora, Simba ata asipate kombe la ligi miaka 3 ila trust me haya mashindano atakuwa anafanya vizuri

Michuano ya Africa ukijua namna ya kuicheza nyumbani wala hupati tabu maana team nyingi zinaenda ugenini Kwa mbinu ya kupata draw kwahiyo kama team yako inauwezo wa kupata matokeo itapata na ndomana Yanga aliwahi kuifunga Al-ahyl

Pamoja na Yanga kuchukua kombe la ligi miaka 3 mfululizo na akawa anaenda kuwakilisha katika club bingwa ila alikuwa anaishia wapi? Ligi na haya mashindano ni vitu viwili tofauti kabisa, hii michuano inataka mentality tofauti kabisa na ligi, unakuta kiazi mmoja anauliza sasa iweje Simba anafungwa na Mbeya city alafu anaifunga berkane kama sio ujanja ujanja
 
Kwa nini nifiche ujinga wangu?

Hiyo hoja yako ya kusema nifiche ujinga ni ya kijinga kwa sababu nitaendelea kuwa the dunderhead that you are!

Nionyeshe sheria na kanuni za CAF zinazosema timu mwenyeji, SIMBA, ina wajibika kwa malazi na usafiri wa timu ya ugenini, ORLANDO PIRATES

Ndio tatizo la kufatilia mpira Kwa mkumbo kwahiyo bado unabisha? kwanini usianze Kwa kuonesha wewe Sheria na kanuni za Caf zinazosema shirikisho la mpira ndio linawajibika na mapokezi ya football club
 
kwahiyo bado unabisha?

WEWE ndio umebisha!

Mimi nimesema Ms Gonzalez ni kilaza mkubwa kwa sababu anadhani SIMBA ndio ilikuwa na wajibu wa kutoa usafiri na malazi ya mgeni, Orlando Pirates.

Mimi nasema ni TFF ndio wanawajibu kutoa malazi, makazi, usafiri na usalama wa mgeni, Orlando Pirates.

Unaebisha ni WEWE! Na ukasema mimi ni mjinga. Na nina wivu na mwanamke Gonzalez.

Sasa lete proof ya kunikosoa. ukishindwa kuleta proof ni kwamba wewe ndio mjinga. But nobody cares about ujinga wa ANIGRAIN.

Ni huyu Mama Gonzalez ndio tatiz.! A lightweight. Hatoshi kuwa CEO wa Simba.
 
Back
Top Bottom