Anigrain
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 1,680
- 4,204
Si Bora ata aseme maandishi hayaonekani mkuu tutasema labda jamaa ana matatizo ya machoNakuhakikishia atakwambia maandishi hayaonekani.
Maandishi ameyaona ila kumbe kelele zote hizi Halijui lugha bana...! limesoma ila limetoka kapa, alafu saizi linakaza shingo kumu attack CEO wa Simba hafai