CAF kuanzisha uchunguzi kuhusu VAR kuzimwa mechi ya Simba vs Orlando Pirates

Nakuhakikishia atakwambia maandishi hayaonekani.
Si Bora ata aseme maandishi hayaonekani mkuu tutasema labda jamaa ana matatizo ya macho

Maandishi ameyaona ila kumbe kelele zote hizi Halijui lugha bana...! limesoma ila limetoka kapa, alafu saizi linakaza shingo kumu attack CEO wa Simba hafai
 
Sasa unataka wawalalamikie yanga wakati hawatoi changamoto wanapigwa nje ndani Sasa utalalamika Nini ukiona unafanya Jambo kila Mtu anasema Safi hata mpinzani ujue unakosea pakubwa
 
huyo Host Association ni team mwenyeji kama vile Simba au Yanga pale ambapo anakuwa nyumbani majukumu yake Kwa mgeni wake
HOST ASSOCIATION sio timu wewe dunderhead.

Ni chama cha mpira cha timu ya nyumbani.

Kwa hiyo Barbara Gonzalez na yeye kaelewa kama ulivyoelewa wewe ?

Yani lugha rahisi kama hiyo wewe na Gonzalez mmeshindwa kuielewa ?

Mo Dewji huko aliko anajuta kuabishwa na huyu nepotism hire.
 
Mbona naona National Association sio hosting club au macho yangu mabovu?
 
Mpira hauko hivyo , timu mwenyeji ndie mwenye jukumu la kumpokea mgeni

Babra hajalalamika wao kukata kupokelewa, anachowashangaa n wao kulaum mapokez mabovu wakat walikataa pokelewa

Anyway.. hakuna utopolo mwenye akili
 
Shirikisho la Soka Africa, CAF,linaanzisha uchunguzu juu ya tuhuma za kuzimwa VAR kwenye match ya Simba vs Orlando Pirates iliyochezwa 17 April 2022. Match hiyo ilimalizika kwa Simba kushinda goal 1 kwa bila.
Usijifariji ndugu.
 
Wakati tunashinda Nigeria, Congo, na kusini hapo ulikua umefariki
 
 
Wewe ndio kilaza namba moja , Babra ana miaka minne anapokea club zote zinazokuja kucheza na Simba hapa
 
Mbona naona National Association sio hosting club au macho yangu mabovu?
Mkuu unaanza Kwa kupitia basi majibu ya maswali waliyouliza wenzio, kila mtu akija aulize kitu kile kile inakuwa usumbufu

Kwa ufupi kama utakuwa umeona neno National association bila Shaka umeliona pia neno Host association

Kuna utofauti wa maana katika hayo maneno, National association ni football federation ya nchi husika na Host association ni mwenyeji wa mchezo katika Nchi husika

Hapo yameongelewa majukumu ya national association na yakaongelewa majukumu ya host association, napata tabu kuelewa kama kweli mnasoma na kuelewa au mnajindaa kubisha Tu bila kusoma maana haiingii akilini mtu asome alafu aishie kuona national association peke yake, au hamuelewi lugha?

anyway kwa maelezo zaidi nenda page ya Caf download document ya Competitions Regulations ina maelekezo kibao kuhusu haya Mambo na mengine pia, ili mjifunze vitu vingi na vitawasaidia siku ingine katika kujenga hoja
 
Sasa hosting association s ndio SIMBA? Au umedhan ni National association??
 
[emoji3][emoji3][emoji3] dahhh we jamaa kiazi sana, nimekuuliza tofauti ya National association na Host association, hebu tuanzie hapo Kwanza

Association ni SHIRIKISHO

Timu sio shirikisho, timu ni CLUB.

Una ubongo ssaizi ya njegere, pea brain. Tutegemee nini ?
 
Association ni SHIRIKISHO

Timu sio shirikisho, timu ni CLUB.

Una ubongo ssaizi ya njegere, pea brain. Tutegemee nini ?
[emoji3][emoji3] ficha ujinga wako basi, hivi we jamaa Una elimu gani? tukiachana na haya Mambo ya mpira maana huku huna unalojua, ningependa Tu kujua elimu yako ila sio Kwa ubaya, kama association ni shirikisho vipi maana ya Federation?

Wakati nasubiri kujua elimu ya kiazi kama wewe huku naendelea kukupa madini, wanachama wote wa Caf wanaitwa associate, inaweza ikawa club au football federation, tofauti Yao itakuja kwenye Jina la Kwanza tu kama hapo National na Host

Kwahiyo pale ulitaka waandike club? Unajua ata maana ya club we kiazi, au we unadhani kila club ni football club? Laiti kama ningekuwa nakujua live ningekupiga makofi to be honest maana huu ujinga wako umevuka mipaka, haya Mambo alitakiwa awe anaeleweshwa mtoto wa kike ambae hajui chochote kuhusu mpira na sio wewe

Na kumbuka nimekuuliza tofauti ya National association na host association, ila unaruka ruka Tu, hebu kabla hujajibu ujinga wako kama kawaida yako Naomba utupe tofauti ya hizo terminology mbili
 
Kafungwa Orlando machungu na chuki yapo jangwani hvi kuna kesi iliyoanzishwa na utopolo wakashinda naona wamepeleka malalamiko CAF halafu wanaisingizia Orlando.
Hao tutawawekea Bernard Morisson.
 
yule kibaka mzoefu anayejulikana kama makolo anaenda kuchomwa moto rasmi siku ya jumapili kule bondeni kwa mzee Madiba, wananchi wote mnakaribishwa sana kushuhudia tukio hili, teheee teheee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…