Hadrianus
JF-Expert Member
- Feb 19, 2020
- 2,112
- 5,229
waziri mkuu wa awamu YA TANO asiyejulikana kama atarudi madarakani
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui lolote kuhusu car 5 year rankings kajifunze kwanza halfu uje kujichekeshaEti simba iko juu kwa PYRAMIDS, ENYIMBA NA ALMASRY 😁
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]timu ziko shirikisho uko ulitaka tuwe nazo sawa acha kuumia mkuuEti simba iko juu kwa PYRAMIDS, ENYIMBA NA ALMASRY [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]timu ziko shirikisho uko ulitaka tuwe nazo sawa acha kuumia mkuu
Confederation & champion , utakuw unalazimisha kufatilia mpiraEti simba iko juu kwa PYRAMIDS, ENYIMBA NA ALMASRY [emoji16]
Huu mkeka si halali kabisa, kafu wanaipendelea simba. Tumechukua kombe la mapinduzi, mabingwa wa kihostoria, kwenye ligi tumepoteza mechi moja tu wanatuzidi vipi simba?
Huo uonevu wa wazi tunaonewa na marefa, tiefuefu wanatuonea na kafu nao wanatuonea jamani dah
Hao CAF no sawa CUF ktk CAFCL 2020/21
Simba na mamelody ndio timu zenye point 13 sasa kwann wasitupe nafasi yetu stahiki ?
Hao Tp mazembe sijui wana alama 2 yaan wanaacha akili ndogo itawale akili kubwa ? Nonsense CAF
Wa update upeai bwana yaan vi timu vina point 2 vina tupitaje ? Na tumevibwenga akina vi Al hilal, na wenzake Tp mazembe yaan top 5 Africa niNadhani waki update itakuwa tofauti,ukiangalia hii update ni kabla ya mechi za juzi na jana.
Sasa hapo sisi mabingwa wa kihistoria tuyakuwa top ngapi?Wa update upeai bwana yaan vi timu vina point 2 vina tupitaje ? Na tumevibwenga akina vi Al hilal, na wenzake Tp mazembe yaan top 5 Africa ni
Al ahaly
Mamelody
Simba
Wydad
Experence de Tunis iyo ndio top 5 ina paswa isome
Then top 6 to 10
Pyramid
Raja casa
Horoya
As vita
Tp mazembe
Caf wapuuzi inatakiwa wainakili hii top 10 yangu
....alisikika Makamu Mwenyekiti wa Atletico De Uto akilalamika.Huu mkeka si halali kabisa, kafu wanaipendelea simba. Tumechukua kombe la mapinduzi, mabingwa wa kihostoria, kwenye ligi tumepoteza mechi moja tu wanatuzidi vipi simba?
Huo uonevu wa wazi tunaonewa na marefa, tiefuefu wanatuonea na kafu nao wanatuonea jamani dah
Confederation & champion , utakuw unalazimisha kufatilia mpira