CAF Wanaipenda sana Simba

Hakuna namna ndio kombe pekee hilo atakalopata msimu huu
 
Mpambanie sasa Ubingwa wa Ligi kuu kwa mara ya 5 mfululizo! Maana huko mlishatolewa.

Si Yanga mara zote anatangulia kwa baiskeli ya miti! au?
Watu wanajadili international issues wewe bado umeng'ang'ania jando na unyago. Haya tupe sifa/mafanikio ya Utopolo kimataifa
 
Haji atalalamika sasa ivi ili awekwe Kibwana Shomali
 
Imetosha Mkuu wamekuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…