CAF wanasema simba haijawah fika nusu fainal ya CAF Championship-ila wachambuzi wa mpira Tanzania wanasema alishawah fika

Kwani hakuna wazee hai ambao walikuwepo miaka hiyo watueleze ilikuwaje! Mana unakuta huyo Admin ni kijana wa miaka ya 2000.
 
Caf hao hao wanasema yanga haijawahi cheza makundi champions league tangu 1998, ila wenye timu yao wanasema walishacheza robo fainali ya champions league
Unawalisha maneno hawajawah sema acha uongo
Yanga wanakubali hawajawah fika robo fainal ya CAF championship bali waliishia makundi
Changamoto ipo kwa simba wanasema hivi na wenye mashindano yao CAF wanasema vile
 
Acha chai bana mahafali yako ya drs la saba nlikuwepo mwaka 2001😁
 
Navyojua hilo ni kombe la Club Bingwa, rekodi ambayo Simba ilifika hatua ha nusu ilikuwa ni CAF Cup ambayo ni Shirikisho ya sasa
Sio kweli, Simba alicheza nusu fainali ya klabu bingwa mwaka 1974 kwa wakati huo ikiitwa African Cup of Champions club akicheza na Ghazl El Mehalla ya Egyt..

Akaja akacheza fainali ya kombe la shirikisho mwaka 1993 kwa wakati huo likiitwa Caf cup dhidi ya stella Abdijan na kupoteza kwa bao mbili kwa sifuri nyumbani.
 
Yeah, mwaka 1974 Simba ilifika Nusu Fainali ya Africa Cup of Champions Clubs (kwa kiswahili ni kombe la vilabu bingwa vya Afrika), na mwaka 1993 ilifika fainali ya CAF Cup (kwa kiswahili ni kombe la shirikisho la soka la Africa)
Aliyekwambia CAF cup ndio yalikuwa shirikisho ni nani? Kombe la shirikisho lilikuwa ni African cup winner's cup. Fatulia kwa kipindi hiko kati ya mshindi wa CAF cup na mshindi wa African cup winner's cup je ni yupi anayecheza CAF super cup? Mashindano ya CAF super cup huusisha bingwa wa kombe la shirikisho CAF vs bingwa wa klabu bingwa.
 
CAF cup haikuwa shirikisho bali African cup winner's cup ndio ilikuwa shirikisho

2) Africa cup winner's cup

Hili ndio ni sawasawa na kombe la shirikisho kwa hivi sasa, timu ambazo zilizokuwa zinazishiri ni timu ambazo zimetwaa ubingwa wa kombe la FA kwenye mataifa yao. Kama ikitokea aliyebeba kombe la FA ndio huyo aliyebeba na ligi kuu basi aliyecheza nae fainali (runner up) ndio atakayefuzu kucheza hili kombe la African cup winner's cup

3) CAF cup

Haya ni mashindano yaliyoanzishwa na Mnigeria kama kwaajili ya timu zilizoshindwa kufuzu mashindano ya kimataifa ya CAF.
Timu ambazo zinashika nafasi ya pili, na zilizoshindwa kufuzu mashindano ya CAF ( African cup winner's cup na African cup of champions club)
CAF cup ilianzishwa mwaka 1992 na mwaka 2003 ndio ikawa mwisho wa mashindano hayo hivyo yalidumi kwa miaka 12 tu

CAF cup ilikuwa mashindano yasiyo na hadhi kubwa CAF na ndio maana hata mshindi wake hachezi mechi ya ufunguzi wa pazia la msimu mpya wa mashindano ya CAF ( CAF super cup) ila bingwa wa African cup of champions club na bingwa wa African cup winner's cup ndio wanaokutana katika CAF super cup.

SYLVAN , Scars , Chama Baleke , na wanasimba wengine muelewe kuwa CAF cup haikuwa shirikisho bali kombe la shirikisho lilikuwa ni African cup winner's cup
 
Mjadala umeishia hapo.
 
Duuh mjadala wa nini? Simba imeshafika fainali na nusu fainali kwny mashindano mkubwa barani Africa....full stop
 
Naona mnabishana na CAF, wakati wao wenyewe wenye kombe lao, wamesema hamjawahi kufikia hatua ya nusu.
 
Muundo wa Sasa wa mashimdano ya CAF ulianza miaka ya nusu ya pili ya muongo wa 1990.(1990s) hivyo hakuna timu yoyote ya Tanzania imeweza kucheza katika hatua ya nusu fainali ama iwe champions league ama Confederations cup.Story zote tofauti na ukweli tupa kulee[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]
 
Unawalisha maneno hawajawah sema acha uongo
Yanga wanakubali hawajawah fika robo fainal ya CAF championship bali waliishia makundi
Changamoto ipo kwa simba wanasema hivi na wenye mashindano yao CAF wanasema vile
Kucheza Fainali ya CAF Championship si unakuwa umepitia NUSU FAINALI?
 

CUF ya Lipumba hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…