CAF wanasema simba haijawah fika nusu fainal ya CAF Championship-ila wachambuzi wa mpira Tanzania wanasema alishawah fika

CAF wanasema simba haijawah fika nusu fainal ya CAF Championship-ila wachambuzi wa mpira Tanzania wanasema alishawah fika

Ramoth Gilead Appliances

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,764
Reaction score
558
Ukisoma hapa huyu admin anasema first ever akimaanisha kwamba hawajawah fika, ila wachambuzi wa mpira Tanzania wanasema alishawah fika 1974 sasa tumwamin nani kati ya CAF au wachambuzi lia lia wa Tanzania

Mashabiki wa simba matusi yenu pelekeni tu CAF mim tu nimeleta habari nikiambatanisha na risit
 

Attachments

  • 64E25CB4-EBB1-4C94-9A59-C836EF5379E6.png
    64E25CB4-EBB1-4C94-9A59-C836EF5379E6.png
    286.8 KB · Views: 12
@S
Ukisoma hapa huyu admin anasema first ever akimaanisha kwamba hawajawah fika, ila wachambuzi wa mpira Tanzania wanasema alishawah fika 1974 sasa tumwamin nani kati ya CAF au wachambuzi lia lia wa Tanzania

Mashabiki wa simba matusi yenu pelekeni tu CAF mim tu nimeleta habari nikiambatanisha na risit
Scars njoo huku
 
Kuna kombe la mbuzi......lilianzishwa na mnigeria .......

Sasa wananchi walialikwa wakagoma

Makolo walialikwa walienda .......ndio wanaita nusu fainali [emoji23][emoji23]
Aahaaaaaa

Wakaona wakatolee gundu huko
 
Back
Top Bottom