CAF wasifumbie macho uhuni wa waarabu ule sio mpira ni fujo

CAF wasifumbie macho uhuni wa waarabu ule sio mpira ni fujo

covid 19

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2014
Posts
6,967
Reaction score
17,452
kwa tuliyoyaona jana kwenye mechi ile kubwa kabisa ya fainali africa zima imeshuhudia na rais mwenyewe wa CAF ameshuhudia ule haukuwa mpira zile ni fujo.

Lazima waarabu waadhibiwe kwa upumbavu ule, mpira ulisimama mara mbili sababu ya moshi wa baruti kutoka kwa washabiki wao.
Mpira ulikuwa unacheleweshwa makusudi kwa kurushwa mipira miwili miwili uwanjani then muda wa maongezi unaongeza dakika 6 hile haikuwa haki..

ikiwa caf wanataka Africa iwe mfano basi lazima kusiwe na double standards kwa mchezo wa jana CAF wasipowaadhibu hawa waarabu basi tutegemee fujo kubwa zaidi na pengine zikaleta madhara makubwa uwanjani ktk mechi zijazo.
 
kwa tuliyoyaona jana kwenye mechi ile kubwa kabisa ya fainali africa zima imeshuhudia na rais mwenyewe wa CAF ameshuhudia ule haukuwa mpira zile ni fujo.

Lazima waarabu waadhibiwe kwa upumbavu ule, mpira ulisimama mara mbili sababu ya moshi wa baruti kutoka kwa washabiki wao.
Mpira ulikuwa unacheleweshwa makusudi kwa kurushwa mipira miwili miwili uwanjani then muda wa maongezi unaongeza dakika 6 hile haikuwa haki..

ikiwa caf wanataka Africa iwe mfano basi lazima kusiwe na double standards kwa mchezo wa jana CAF wasipowaadhibu hawa waarabu basi tutegemee fujo kubwa zaidi na pengine zikaleta madhara makubwa uwanjani ktk mechi zijazo.
Tutegemee fujo kubwa, haya nani sasa wa kujibu hizo fujo, Tanzania wanaweza?
 
Hutasikia adhabu, ile ni tamaduni yao
Tamaduni za dizaini ile kwenye mpira haziruhusiwi ..wapewe onyo kali tu ndio tunataka hilo
Tutegemee fujo kubwa, haya nani sasa wa kujibu hizo fujo, Tanzania wanaweza?
Inaweza isiwe yangu ila timu nyingine zikaiga ushangiliaji ule usio mzuri hata kidogo
 
kwa tuliyoyaona jana kwenye mechi ile kubwa kabisa ya fainali africa zima imeshuhudia na rais mwenyewe wa CAF ameshuhudia ule haukuwa mpira zile ni fujo.

Lazima waarabu waadhibiwe kwa upumbavu ule, mpira ulisimama mara mbili sababu ya moshi wa baruti kutoka kwa washabiki wao.
Mpira ulikuwa unacheleweshwa makusudi kwa kurushwa mipira miwili miwili uwanjani then muda wa maongezi unaongeza dakika 6 hile haikuwa haki..

ikiwa caf wanataka Africa iwe mfano basi lazima kusiwe na double standards kwa mchezo wa jana CAF wasipowaadhibu hawa waarabu basi tutegemee fujo kubwa zaidi na pengine zikaleta madhara makubwa uwanjani ktk mechi zijazo.
Hiyo CAF haina tofauti na ile CUF ya Lipumba. Usitegemee kama wataadhibiwa.

Kwani hujasikia hata VAR yenyewe ilitolewa taarifa kipindi cha pili, eti imeharibuka!! Maana yake bingwa alishaandaliwa.
 
Adhabu nzuri kwao ni kufungiwa mashabiki kuingia uwanjani Kwa michuano ya kimataifa,
Tamaduni za dizaini ile kwenye mpira haziruhusiwi ..wapewe onyo kali tu ndio tunataka hilo..
 
Back
Top Bottom