Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] nyie watu ni wa kuhurumia tuUtopolo hawajawahi kushinda kwa haki hata wacheze na mbuni fc wao ni bahasha,kuwamwagia watu maji ya chooni,kuwawekea sumu na kuiba pesa za watu huku wakijinasibisha ni matajiri mbele ya umma...
Rudisheni fedha za watu mlizoiba [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo Bi Kazumari wako anafahamika fika ni 🚮 tu.Kamati ya nidhamu ya CAF imeipiga faini klabu ya Yanga ya jumla ya dola za Kimarekani elfu 35 ($35,000) kiasi kama milioni 80.5 za Kitanzania kwa makosa makubwa 2.
1. Matumizi ya fataki kwenye mchezo dhidi ya Rivers United ya Nigeria dola 10,000
2. Tukio la basi la timu kuvamiwa kuibiwa pesa ($5,200) na harufu mbaya inayosemekana kuwa na sumu, dola 25,000.
Aidha Yanga kwakuwa kwao kwenye nusu fainali ya CAFCC wanapaswa kuhakikisha usalama wa timu pinzani (Marumo Gallants) wakati wa mchezo kwakuwa kiwanja cha Benjamin Mkapa kimekuwa kikiripotiwa kwa matukio ya namna hii.
BIN KAZUMARI MTIPA ( The voice of the voiceless)
Unaona hapo wameiita ni "ritual", unajua maana yake? Tamaduni zote duniani zina "rituals" zake. Hata Rais wa nchi akiwa anaapishwa kunakuwaga na "rituals" zake. Walichokosea Simba ni kufanya "ritual" ambayo ni "hazardous".Mambo yenu ayaView attachment 2613820
Kwahiyo Yanga akilipa hii faini, Caf wanawarudishia hii pesa Rivers?Tukio la basi la timu kuvamiwa kuibiwa pesa ($5,200) na harufu mbaya inayosemekana kuwa na sumu, dola 25,000.
Unamuuliza nani?Yanga wanahusika nini na ulinzi wa mali za wageni? au wana kampuni ya ulinzi