Non sense kwa sasa,kikubwa usajili mzuri na kulipa vizuri,utajiri was simba now ni karibu USD 10 na zaidi
At least kuna watu kama wewe wasiotaka sifa za kijinga.Mie mshabiki wa simba lakini sishabikii upuuzi. Huo utajiri wa simba upon kwenye nini?. Simba INA kitega uchumi kipi zaidi ya lile jengo LA kariakoo ambalo thamani yake haizidi mil 500?. Tuache ushabiki maandazi. Angalau Singida United wanamilili Mashamba ya Alizeti. Kwa umri wa simba, ilipaswa imiliki mabasi ya mwendokasi, boti za kwenda zenji wanda vya vifaa vya michezo, Msimbazi centre, mabasi ya mikoani mfano Simba luxury coach, chuo kikuu cha michezo( Simba University of Sports and Games),_Shule na hospitali. Simba international school and Simba Medical centre.
Shekhe nadhani utakuwa ulinielewa kuwa nilimaanisha USD milioni 10 over,kuhusu uwekezaji ndio kwanza simba wameingia kwenye joho hili jipya,so be patient utaona uwekezjai,swalj lako litakuwa na maana miaka 5 mbele,Utajiri wa simba ni USD 10, unazijua hizo ni shilingi ngapi za kitanzania?, we we sio non sense Bali senseless. 10 USD ni utajili au umasikini?. Usijibu usichokijua. Utajili ni uwekezaji na sio ulipaji mshahara. Mshahara inaweza kulipwa na wanachama, mfadhili au mapato ya mlangoni, hicho sio kipimo cha utajili wa club. Rudi shule, saivi Elimu bila ada
Mapato na matumiz ya simba kwa msimu uliopita ni bilioni 6.At least kuna watu kama wewe wasiotaka sifa za kijinga.
Ndiyo kwanza kampuni imesajiliwa. So far tunajua hela inatoka mfukoni mwa Mo.
Kupata utajiri huo, club inaingiza kiasi gani na inatumia kiasi gani? Kuna hata audited report moja tu?
Sawa mkuu povu lako tumelisikia...ila na list ya timu maskini africa itajwe tu ili angalau ombaomba fc aka vyuraaa watokelezeamo watuwakilisheAt least kuna watu kama wewe wasiotaka sifa za kijinga.
Ndiyo kwanza kampuni imesajiliwa. So far tunajua hela inatoka mfukoni mwa Mo.
Kupata utajiri huo, club inaingiza kiasi gani na inatumia kiasi gani? Kuna hata audited report moja tu?
Shekhe nadhani utakuwa ulinielewa kuwa nilimaanisha USD milioni 10 over,kuhusu uwekezaji ndio kwanza simba wameingia kwenye joho hili jipya,so be patient utaona uwekezjai,swalj lako litakuwa na maana miaka 5 mbele,
Ila kwa sasa bado,kaa utulie utazame ,ukweli simba now ndio klabu tajiri Tanzania,Africa mashariki na ni ya tank kwa utajiri Africa.
Nadhani,ila kufuzu michuano hii kwa hatua ya makundi kumeipa chati kubwa
Mtoa post umbwaKlabu ya Simba SC ya jijini Dar es salaam imetajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuwa klabu namba 5 kwa utajiri Barani Afrika.
Simba SC imetajwa kuwa na utajiri wa karibu Paund milioni 10.35 ambayo ni sawa na Bilioni 32.3 kwa shilingi ya Tanzania.
Katika orodha hiyo Al Ahly kutoka Misri inaongoza ikiwa na utajiri wa Paund milioni 19.25 ikifuatiwa naEsperance Sportive de Tunis 12.75M na Club Africain 11. 8M zote kutoka Tunisia.
Ya nne Kaizer Chiefs ya kutoka nchini Afrika Kusini ambayo yenyewe inatajiri karibu Paund milioni 10.48.
Klabu tajiri zaidi Barani Afrika
Chanzo: MwanaspotiApp
Sheikh, utajiri ni assets. Ziko wapi assets za dhamani hiyo? Assets iwe fedha za club au mali nyingine.Mapato na matumiz ya simba kwa msimu uliopita ni bilioni 6.
Then hivi shekhe Leo hii ukishibda bahatinasibu ya bilioni 1,bado utajihesabia masikini tu eti kwa kuwa hajuzitolea jasho kuzipata?
Uwekezaji umeanza kwa kusajili,ukisahili wachezaji wazuri utapata matokeo ,matokeo yatawavuta watu kuipenda timu na kuwa maarufu zaidi,ikiwa maarufu zaid makampuni ya ndani na Nnje yatakuja kutaka kudhamini.Cash sio utajili, hizo bilioni zitapigwa zitaisha. Waambieni viongozi, wafanye uwezezai wa maana ili Simba ijiendeshe kibiashara maana hizo za No zikio zikiisha alaf utaanza mtifuano kudai timu irudi kwa mashabikkatika uchumi wa viwabda, wanaweza kuwekeza katika vifaa vya michezo,
Duh..basi sawaMtoa post umbwa
Nilidhani mtandao CAF
Sportpesa wanatoa bilioni 1,viingilio vya mlangoni,azam TV rights ,pesa za ubingwa,mikopo nafuu.Sheikh, utajiri ni assets. Ziko wapi assets za dhamani hiyo? Assets iwe fedha za club au mali nyingine.
Matumizi yaweza kuwa hayo sawa, lakini zinatoka wapi? Kwenye mapato ya club au mfukoni mwa Mo?
Ukweli mgumu kuukubali. Bado hatujawa biashara ya kuingiza pesa kwenye club zetu. Wala sio aibu. Hata kwa TP Mazembe, hela ni mmiliki Katumbi.Sawa mkuu povu lako tumelisikia...ila na list ya timu maskini africa itajwe tu ili angalau ombaomba fc aka vyuraaa watokelezeamo watuwakilishe
At least hizo za SportPesa. The rest ni peanuts.Sportpesa wanatoa bilioni 1,viingilio vya mlangoni,azam TV rights ,pesa za ubingwa,mikopo nafuu.
Nimejaribu kukuwekea vinavyoweza kuwa vyanzo,pia majengo mawili pale msimbazi yanayoingiza kodi kila mwezi
Klabu ya Simba SC ya jijini Dar es salaam imetajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuwa klabu namba 5 kwa utajiri Barani Afrika.
Simba SC imetajwa kuwa na utajiri wa karibu Paund milioni 10.35 ambayo ni sawa na Bilioni 32.3 kwa shilingi ya Tanzania.
Katika orodha hiyo Al Ahly kutoka Misri inaongoza ikiwa na utajiri wa Paund milioni 19.25 ikifuatiwa naEsperance Sportive de Tunis 12.75M na Club Africain 11. 8M zote kutoka Tunisia.
Ya nne Kaizer Chiefs ya kutoka nchini Afrika Kusini ambayo yenyewe inatajiri karibu Paund milioni 10.48.
Klabu tajiri zaidi Barani Afrika
Chanzo: MwanaspotiApp
Kwa mtazamo wako sawa ila ndio ukweli huo unaweza kuwa hivyoAt least hizo za SportPesa. The rest ni peanuts.
Chelsea,Bayern Munich,inter Milan,ac Milan,arsenal zote hizo hazimiliki viwanja vyao.na bado ni timu tajiri dunianiTimu haina uwanja ,haijiendeshi yenyewe inasubil mkono wa wahisani ije kuwa top 5 mmmh wabongo kujitutumua hatujambo
Sent using Jamii Forums mobile app