CAF yatoa ranking ya timu Afrika,Simba Baba lao Afrika Mashariki

CAF yatoa ranking ya timu Afrika,Simba Baba lao Afrika Mashariki

Yaani Manara atakuwa kakaa mafichoni huko akagundua kuwa mifugo yangu inahitaji Pumba, akaipa mifugo yake pumba na mifugo yake ikaleta hapa pumba kwa kuamini na sisi tunakula pumba. Pumbavu mbumbumbu!!

Nakuhakikishia currently mbumbumbu FC haipo hata kwenye 50 bora. Sijui kama Hata kwenye 100 mpo. Ndugu yangu kweli mzee Rage anaona mbali sana!
 
Nimeamin kweli Rage alivyo waita mbumbumbu hakukosea, wewe unamwamin uyo mbumbumbu mwenzako kwamba Caf wana chanzo cha siri ambacho yeye binafsi anapewa taarifa?!!!

Hizo taarifa za vilabu barani afrika zilizopo Google ni official kutoka Caf na uwa zinawekwa public pamoja na vigezo wanavyotumia. Uyo Mbumbumbu aliye leta uzi hana chanzo chochote official kutoka Caf kwa data alizoweka nia ni ku ulaghai umma sijajua kwa manufaa ya nani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimeona wamejikusanya hadi kwenye makundi ya wasap na FB huko wanadanganyana. Abarikiwe mzee Rage kwa kuona mbali
 
Hawa UTOPOLo ghalib amewafanya wawe MATAHIRA Mkuu OKWI BOBAN SUNZU ameleta rank akasema chanzo alichochukua hiyo taarifa ni shirikisho la Kandanda Africa (CAF) ila Vyura wachache wanatuletea data za vichochoroni.
Huyu okwibobanisunzu Leo nimempunguzia nyota mana sikutarajia kama angekuja kuwapiga kamba kizembe hivi na nyie misukule wenzake mnafata tu
 
Pesa na motisha anazozipata Simba kwa muda mfupi asingezipata Mazembe.
Mazembe ina ma-striker wa daraja la dunia, Eliud Ambokile na Singano wameenda Mazembe wanafanya nini?
Kwamba Simba inalipa vizuri kuliko Mazembe? Hiki si ni kichekesho!

Kwani Ajib aliyeenda Simba anafanya nini zaidi ya kukaa benchi?

Kama wana-strikers wa dunia walimfuata yeye wa nini?

BTW:Baada ya misimu miwili uelekeo wa Ambokile na Ajib ndiyo utatoa majibu.
 
Kwamba Simba inalipa vizuri kuliko Mazembe? Hiki si ni kichekesho!
Ni kichekesho kwa mtu ambaye halijui soka!
Wachezaji hawalipwi kwa usawa, wanalipwa kulingana na ukubwa wao, Ajib akienda Mazembe ni mchezaji wa daraja la chini ambaye itambidi apambane ili afikie viwango vya Mazembe atalipwa pesa ya kawaida sana.

Kwani Ajib aliyeenda Simba anafanya nini zaidi ya kukaa benchi?
Kukaa kwake benchi Simba ni kwa maslahi yake binafsi, analipwa hela ndefu na ana uhakika wakuendelea kusalia klabuni hata kwa misimu mitatu mbele.

Kama wana-strikers wa dunia walimfuata yeye wa nini?

BTW:Baada ya misimu miwili uelekeo wa Ambokile na Ajib ndiyo utatoa majibu.
Walimtaka ili waende kumtumia maana waliona talent ndani yake swali angeenda kukutana na wachezaji wa aina gani na ingemchukua muda gani kuwa one of the best kwenye squad ya Mazembe?

Ambokile na Singano hamna wanachokifanya wanahitaji muda na msimu ujao wakishindwa kufanya maajabu ni mwenye uelekeo wa kuwa mchezaji mzuri atatolewa kwa mkopo mbaya kwaheri.
 
Nitajie mafanikio ya Orlando pirates kwa miaka 15 iliyopita utopolo
Mi sijui mafanikio yao hayo yatafute wewe mbumbumbu ila nachojua jamaa ni Wa 17 hivi kama sijakosea sana. Wewe hata kwenye mia 200 bora hupo
 
Ni kichekesho kwa mtu ambaye halijui soka!
Wachezaji hawalipwi kwa usawa, wanalipwa kulingana na ukubwa wao, Ajib akienda Mazembe ni mchezaji wa daraja la chini ambaye itambidi apambane ili afikie viwango vya Mazembe atalipwa pesa ya kawaida sana.

Huyo mchezaji wa daraja la chini Mazembe anaweza kuwa analipwa zaidi ya kile anacholipwa Ajib akiwa Simba tena kwa uhakika tofauti na SSC ambayo timu ikipata matokeo mabaya tu Mo anatishia kujitoa.

Isitoshe kwa mchezaji anayeangalia future ya career yake ku-opt SSC kwa Mazembe ni uwendawazimu tu hata kama angecheza bure.

Ajib angetoa sababu yoyote lakini ya maslahi wala hai-make sense, Mazembe haiwezi kushindwa kumpa kile SSC inampa kama walihitaji huduma yake.

Ni kuogopa changamoto mpya,kubweteka labda na umri umemfanya aone yupo omega anasubiri kustaafu tu.
 
Hebu lete ranking ya malipo ya wachezaji wa TP Mazembe isiwe wengine wanaenda tu kutokana na historia kubwa ya timu.huo ubishi wako bila hauna maana bila kuonyesha msimamo wa mishahara wa wachezaji wa TP Mazembe
Huyo mchezaji wa daraja la chini Mazembe anaweza kuwa analipwa zaidi ya kile anacholipwa Ajib akiwa Simba tena kwa uhakika tofauti na SSC ambayo timu ikipata matokeo mabaya tu Mo anatishia kujitoa.

Isitoshe kwa mchezaji anayeangalia future ya career yake ku-opt SSC kwa Mazembe ni uwendawazimu tu hata kama angecheza bure.

Ajib angetoa sababu yoyote lakini ya maslahi wala hai-make sense, Mazembe haiwezi kushindwa kumpa kile SSC inampa kama walihitaji huduma yake.

Ni kuogopa changamoto mpya,kubweteka labda na umri umemfanya aone yupo omega anasubiri kustaafu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom