Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Ujanja upi tena jamani?Siku za mwizi ni Arobaini! Bado kidogo tu ujanja ujanja wenu utajulikana hata kama katika hili mmepona!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujanja upi tena jamani?Siku za mwizi ni Arobaini! Bado kidogo tu ujanja ujanja wenu utajulikana hata kama katika hili mmepona!
🐸🐸🐸🐸 itabidi tu mkubali simba mwaka huu wako bora, koo uzeni sarpong mnunue mwingine msimu ukiishaYani sisi utopolo inabid tukubali simba ni bora uwanjani haya malalamiko hayawezi kusaidia sarpong kuanza kufunga
Watakuwa wamepewa na utopoloNI wakati sahihi wa authorities za nchi kuwauliza yale makaratasi yasiyo na signature za verifier waliyapata wapi?
nitashanga akama simba na wizara ya afya hawatachukulia hili suala serious ni forgery inabidi wawe setious watakuwa wanakuja teams hapa wanafungwa wanafoji makaratasi hadi CAf wataichoka simba sasaWatakuwa wamepewa na utopolo