Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa roho mbaya iko wapi hapo babe? Huo ndio ukweli.Roho mbaya humuumiza aliye nayo na wala si anayemfanyia roho mbaya.
Ova
Shirikisho la Vikoba vya akina mama, halafu wanafurahia kufanyiana figisu, dah!Mambo ya shirikisho yaani mashindano ya akina mama, sisi wa CAFCL hayatuhusu
Nimecheka sana mkuuShirikisho la Vikoba vya akina mama, halafu wanafurahia kufanyiana figisu, dah!
Tarehe 4 Jan utakuja hapa kulia Lia 🏃🏃🏃Mambo ya shirikisho yaani mashindano ya akina mama, sisi wa CAFCL hayatuhusu
Kulilia shirikisho 🤣😅Tarehe 4 Jan utakuja hapa kulia Lia 🏃🏃🏃
Jan 4 inshallah..ndipo mtapata kipimo HALISI sio hao DODOMA JIJI timu mfu.. nikama mmepiga mochwari💣 💣 na mnasema mmeua..Kulilia shirikisho 🤣😅
Kweli kila mtu huko umbumbumbuni atachanganyikiwa
Sio kwamba timu mfu zipo shirikisho?Jan 4 inshallah..ndipo mtapata kipimo HALISI sio hao DODOMA JIJI timu mfu.. nikama mmepiga mochwari💣 💣 na mnasema mmeua..
CAF wameyaacha kwa ajili yetu akina mama tukitoka kwenye Vikoba tupunguze stress kwa kuangalia timu ndogo zikishindana, maana hizi kubwa ni stress tupu.Ni
Nimecheka sana mkuu
Yaani ukiona wanavofurahi utadhani labda ni UEFA kumbe ni UMISETA.
Ifike wakati CAF wayafute haya mashindano ya akina mama
Siunaona Coastal alienda akaona mambo ya taarab hayawezi akawaachia wataniKama ingekuwa hivyo, basi Dodoma Jiji ingekuwepo Shirikisho na inaongoza kundi.
Ova
Pole sana dada,CAF wameyaacha kwa ajili yetu akina mama tukitoka kwenye Vikoba tupunguze stress kwa kuangalia timu ndogo zikishindana, maana hizi kubwa ni stress tupu.
Wataje tuSio rahisi
Kuna watu walicheza neutral ground pale Algier na walikufa 2 mtungi.
Pole sana dada,
Siku hizi shughuli zenu zinavamiwa na wanaume
5imba mnatia aibu kushiriki UMISETAUlimbukeni nao ni mzigo mzito sanaa, na ukame ulikuwa wa muda mrefu, shida viatu mlivyolilia vitawatosha nyuma mwiko!??
Oohh!! Kumbe , umeshiriki mara ngapi umiseta unatolewa hatua za awali kbsaa!?. Simba ndo imesababisha kuingia robo au makundi kwasasa sio ishi kubwa tena, kwahy kuwa na heshima na watangulizi wako.5imba mnatia aibu kushiriki UMISETA