Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Hilo ni timu lililojaa wazee ambao wengi wao ni mbayuwayuUtopolo walikuwa wanaombea simba ipogwe adhabu hawa jamaa wana roho mbaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ni timu lililojaa wazee ambao wengi wao ni mbayuwayuUtopolo walikuwa wanaombea simba ipogwe adhabu hawa jamaa wana roho mbaya sana
Unakusudia utopolo co???Mkuu, inaweza isisaidie, kwani hata Yanga mchezo wao, uwanja ulikuwa tupu, lakini ikalala 2:0
Mbona mliopofika fainali mlijisifu sana au na nyie ni kina mama?Ni
Nimecheka sana mkuu
Yaani ukiona wanavofurahi utadhani labda ni UEFA kumbe ni UMISETA.
Ifike wakati CAF wayafute haya mashindano ya akina mama
Ahsante..umeelezea vizuriHizo adhabu nyingine zilikuwa za hawa wachambuzi wetu uchwara. Ila serikali iliitoza Simba kwa sababu yenyewe ndiyo iliyokodi uwanja kwa serikali.
Kwamba ilikuwa ikiwajobika kuuacha kama ilivyoukuta hata kama siye yeye aliyehusika kuuharibu uwanja. Lakini, na Waziri kutokuwa mtu wa mpira ilivuruga pia.
Taarifa yake ilipoteza uhalisia wa tatizo. Lakini, taarifa ya polisi iliweka wazi, mashabiki wa Simba walikuwa wanarudishia kwa viti walivyotupiwa na waarabu.
Ova
Umeongea kiuanamichezo haswa, wewe unajua mpira sio kama mwenzako mmoja hivi anaitwa ngara23Nafasi tulikuwa nayo, uongozi umetuangusha kwa kufanya mabadiliko ya kocha kimihemuko.
Binafsi sina matumaini ya kusonga mbele, nimeshakubali.
Kwaiyo kwenye wale wawili tumjumuishe na huyu wawe watatu?Umeongea kiuanamichezo haswa, wewe unajua mpira sio kama mwenzako mmoja hivi anaitwa ngara23
Leo rungu la CAF limepita na nyie. Sijui nao mtasema ni uchwara?Hizo adhabu nyingine zilikuwa za hawa wachambuzi wetu uchwara. Ila serikali iliitoza Simba kwa sababu yenyewe ndiyo iliyokodi uwanja kwa serikali.
Kwamba ilikuwa ikiwajobika kuuacha kama ilivyoukuta hata kama siye yeye aliyehusika kuuharibu uwanja. Lakini, na Waziri kutokuwa mtu wa mpira ilivuruga pia.
Taarifa yake ilipoteza uhalisia wa tatizo. Lakini, taarifa ya polisi iliweka wazi, mashabiki wa Simba walikuwa wanarudishia kwa viti walivyotupiwa na waarabu.
Ova
Kumbe ulishaipata ikiwa bado ya moto Mkuu? Umetisha sana.Adhabu itaanza kwenye mechi ya jumapili dhidi ya waarabu wa songea kisha mechi ya robo fainali!
Hizo ni za kikachero, taarifa rasmi itakuja mjumbe auwawi!
Nilidhani ni mimi tu ndio nimekuja kuufufua uzi kumbe watu mmeshawahi kitambo!Na faini juu Dola elfu 40 ilipwe ndani ya siku 60!
Nilishainyaka kutoka kwenye vyanzo vyangu makini!Kumbe ulishaipata ikiwa bado ya moto Mkuu? Umetisha sana.
Nimekubali, nitaanza kukuzingatia.Nilishainyaka kutoka kwenye vyanzo vyangu makini!