ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Muulize Kaduguda Kiongozi pale Simba ndo alisema shirikisho ni mashindano ya akina mamaNawasiwasi na jinsia yako mzee,Kamdomo unako sana ,alafu kitu kidogo tuu unakimbilia kusema mashindano ya kina mama while wewe ulikua huko fainal.Je ulikua mmama?
Sasa ndo mpo Shirikisho, sisi tukayaita mashindano ya akina mama mnatoka na mapanga