CAF yazuia Mashabiki Sfaxien Kwenye Mechi dhidi ya Simba

Ni
Shirikisho la Vikoba vya akina mama, halafu wanafurahia kufanyiana figisu, dah!
Nimecheka sana mkuu
Yaani ukiona wanavofurahi utadhani labda ni UEFA kumbe ni UMISETA.
Ifike wakati CAF wayafute haya mashindano ya akina mama
 
Ni
Nimecheka sana mkuu
Yaani ukiona wanavofurahi utadhani labda ni UEFA kumbe ni UMISETA.
Ifike wakati CAF wayafute haya mashindano ya akina mama
CAF wameyaacha kwa ajili yetu akina mama tukitoka kwenye Vikoba tupunguze stress kwa kuangalia timu ndogo zikishindana, maana hizi kubwa ni stress tupu.
 
CAF wameyaacha kwa ajili yetu akina mama tukitoka kwenye Vikoba tupunguze stress kwa kuangalia timu ndogo zikishindana, maana hizi kubwa ni stress tupu.
Pole sana dada,
Siku hizi shughuli zenu zinavamiwa na wanaume
 
Pole sana dada,
Siku hizi shughuli zenu zinavamiwa na wanaume

Ulimbukeni nao ni mzigo mzito sanaa, na ukame ulikuwa wa muda mrefu, shida viatu mlivyolilia vitawatosha nyuma mwiko!??
 
5imba mnatia aibu kushiriki UMISETA
Oohh!! Kumbe , umeshiriki mara ngapi umiseta unatolewa hatua za awali kbsaa!?. Simba ndo imesababisha kuingia robo au makundi kwasasa sio ishi kubwa tena, kwahy kuwa na heshima na watangulizi wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…