Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Teh teh teh π π πSisi Yanga tunataka kundi letu liwe na al ahli, raja, mazembe, Ili tupige wote tukachukue kombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh teh π π πSisi Yanga tunataka kundi letu liwe na al ahli, raja, mazembe, Ili tupige wote tukachukue kombe
Kombe la Shirikisho....πππSimba ni Bingwa wa nini?
Yeye mwenyewe Nifah sasa hivi anajichekaπππ€Teh teh teh teh π π π π
Ulikuwa sahihiPoa....tupo hapa hapa JF....
Nakuhakikishia Kombe litakalokuwa linafuatilwa kwa wingi zaidi Afrika likakuwa Kombe la Shirikisho....Simply kwasababu ya Simba ..
Ulikuwa sahihiYanga hatoboi makundi
Simba nusu uhakika
Save hii comment.
UtopoloMakolo semeni mapema nani ni kibonde hapo
Kweli kabisaMagori kasema malengo ni kufika Fainali confideration hilo la kujenga timu unasema wewe.
Ulikuwa sahihiKwaheri Yanga, makundi ndio mwishi wetu this time
Teh teh teh π π π πOyah, wananchi wenzangu, hakika tumepangwa kundi rahisi sana.
Hapo Kitoabu alizingua.Teh teh teh π π π π
Hahaaa huwa navheka pk yanguMungu ibariki Yanga, Yanga ikishinda Tanzania inashinda.
Yanga ndio timu ya Taifa hivi sasa, Taifa linaponywa na Yanga.