CAG: ATCL imeendeshwa kwa hasara kwa miaka 5 mfululizo

Mh..!
 
Punguza mzuka , tokea ndege zininuliwe, Mara. Ngapi ulisikia mahesabu yake, mashirika mengi ya merge Tabatha hesabu za quarterly lakini kwa ATCL kitendawili
 
Biashara ya ndege kwa Serikali ni biashara isiyo na tija. Afadhali ATCL Kenya Airways ina hasara fedha za Kenya karibia 300bn.
KQ wameshawahi kututangazia faida haya tuambie ATCL lini walitangaza kupata faida? Hiyo ni biashara kichaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…