Kuna watu waliitwa nyumbu...sasa akina Abasi sijui tuwaite je?Ukaguzi ulifanyika lkn huenda ripoti zilizuiwa zisitoke kutoka juu.
Na ukweli kungeleta lugha gongana.
Kwa mpendwa alilishwa natango pori kuwa shirika linaingiza faida
View attachment 1736608
View attachment 1736609
Na hiyo ni hasara ya mwaka mmoja tuHasara iliyipatikana kwa mmoja tu inatosha kujenga hospitali za wilaya 120 kwa gharama ya milioni 500 kila moja!
Inatosha kujenga viwanda 10 vya bilioni 6 kila kimoja.
Jambo hili hakimezeki.
Kwasasa hamna airline inapata faida na bado kampuni hizo bado zinaendelea kufanya kazi, mfano KQ 351mil Usd loss, Ethiopian 550 mil usd, Air France-Klm 12 bil usd loss. Hiyo ni mifano michache tu.Viongozi wazito walienda kukata viuno airport kupokea huu utopolo unaotuletea hasara tupu.
And this is what we call Business, we have to be ready for Loss & Profit...
Meko kaku brainwash sanawatu hawaelewi kitu kimoja, kwamba kukaguliwa kwa ATCL ni njia mojawapo ya kuiandaa hadhara ya Tanzania ili shirika liki binafsishwa kwa mabeberu na wenye fedha kuwepo na jibu kwamba shirika halileti faida... tunaelekea kule kule tulipo toka, deal na madeal ya upigaji kwa kisingizio cha hasara kama Rwanda air inavyotaka kufanya sasa na Qatar airways...
Hizi mambo za ubinafsishaji ni kupiga deal tu maana hatukuweza tulipo shirikiana na Soutyh Africa airways . Amekeni Watanzania, CAG na ndugu zake ni matayarisho tu ya ubinafsishaji wa ATCL ujao. Ni maoni yangu...
Mataga mlidhani biashara ya airline ni kama biashara ya ufugaji wa ng'ombe 🤣🤣🤣Kwasasa hamna airline inapata faida na bado kampuni hizo bado zinaendelea kufanya kazi, mfano KQ 351mil Usd loss, Ethiopian 550 mil usd, Air France-Klm 12 bil usd loss. Hiyo ni mifano michache tu.
Faida kwa sekta nyingine zipo kwahiyo kama unafikiri hiyo biashara itaachwa ujue tu uko ndotoni.
Kwa hiyo unajifunza kutoka Kwa waliofeli?Kwasasa hamna airline inapata faida na bado kampuni hizo bado zinaendelea kufanya kazi, mfano KQ 351mil Usd loss, Ethiopian 550 mil usd, Air France-Klm 12 bil usd loss. Hiyo ni mifano michache tu.
Faida kwa sekta nyingine zipo kwahiyo kama unafikiri hiyo biashara itaachwa ujue tu uko ndotoni.
Wewe unaambiwa imepata hasara wewe unataka uambiwe na faida. Faida gani sasa? Wewe kweli ni kiaziTukishajua Hasara Bil.60 tujue na Faida ni Bil.ngapi,usikute Faida ni Bil.90,sasa tukitoa 90 - 60 tunapata 30.bil hii ndio faida yetu japo ni kidogo ila si mbaya,hebu tuache jadili Hasara tuulize na Faida iliyopatikana kwa miaka hiyo mi 5 ni kiasi gani.
Wewe unaambiwa imepata hasara wewe unataka uambiwe na faida. Faida gani sasa? Wewe kweli ni kiaziTukishajua Hasara Bil.60 tujue na Faida ni Bil.ngapi,usikute Faida ni Bil.90,sasa tukitoa 90 - 60 tunapata 30.bil hii ndio faida yetu japo ni kidogo ila si mbaya,hebu tuache jadili Hasara tuulize na Faida iliyopatikana kwa miaka hiyo mi 5 ni kiasi gani.
Pole sana.Tukishajua Hasara Bil.60 tujue na Faida ni Bil.ngapi,usikute Faida ni Bil.90,sasa tukitoa 90 - 60 tunapata 30.bil hii ndio faida yetu japo ni kidogo ila si mbaya,hebu tuache jadili Hasara tuulize na Faida iliyopatikana kwa miaka hiyo mi 5 ni kiasi gani.
Hata ukinipa naila mkuu...imeniuma sana khaaMrembo kama wewe sio wakupanda Lory,ukiwa na safari nicheki pm nikupe nauli.
Maendeleo ya vitu yaendane na maendeleo ya watu. Nani atafidia hii hasara?
View attachment 1736513
Bora Nikatafute Dodoki,Omo,Jik,Foma Goldnawasubiri team kusifu na kuabudu waje kupinga report.
ThubutuAngekuwepo yangesemwa haya?
Assad, hakuona hayo, sijui alipokea mlungula😭!
Alisema kwenye zile 1.5t ndio mkamtoa.Kweli mambo yanaenda kasi sana.
Miaka 5 iliyopita nani alikuwa anawasilisha ripoti, Kichele au Prof Assad?
Hajiuzulu-AjiuzuluMeneja hajiuzulu na board ivunjwe! Na matumizi yachunguzwe!