CAG: ATCL imeendeshwa kwa hasara kwa miaka 5 mfululizo

CAG: ATCL imeendeshwa kwa hasara kwa miaka 5 mfululizo

Hasara iliyipatikana kwa mmoja tu inatosha kujenga hospitali za wilaya 120 kwa gharama ya milioni 500 kila moja!

Inatosha kujenga viwanda 10 vya bilioni 6 kila kimoja.

Jambo hili hakimezeki.
Na hiyo ni hasara ya mwaka mmoja tu
 
Viongozi wazito walienda kukata viuno airport kupokea huu utopolo unaotuletea hasara tupu.
Kwasasa hamna airline inapata faida na bado kampuni hizo bado zinaendelea kufanya kazi, mfano KQ 351mil Usd loss, Ethiopian 550 mil usd, Air France-Klm 12 bil usd loss. Hiyo ni mifano michache tu.
Faida kwa sekta nyingine zipo kwahiyo kama unafikiri hiyo biashara itaachwa ujue tu uko ndotoni.
 
watu hawaelewi kitu kimoja, kwamba kukaguliwa kwa ATCL ni njia mojawapo ya kuiandaa hadhara ya Tanzania ili shirika liki binafsishwa kwa mabeberu na wenye fedha kuwepo na jibu kwamba shirika halileti faida... tunaelekea kule kule tulipo toka, deal na madeal ya upigaji kwa kisingizio cha hasara kama Rwanda air inavyotaka kufanya sasa na Qatar airways...
Hizi mambo za ubinafsishaji ni kupiga deal tu maana hatukuweza tulipo shirikiana na Soutyh Africa airways . Amekeni Watanzania, CAG na ndugu zake ni matayarisho tu ya ubinafsishaji wa ATCL ujao. Ni maoni yangu...
Meko kaku brainwash sana
 
Kwasasa hamna airline inapata faida na bado kampuni hizo bado zinaendelea kufanya kazi, mfano KQ 351mil Usd loss, Ethiopian 550 mil usd, Air France-Klm 12 bil usd loss. Hiyo ni mifano michache tu.
Faida kwa sekta nyingine zipo kwahiyo kama unafikiri hiyo biashara itaachwa ujue tu uko ndotoni.
Mataga mlidhani biashara ya airline ni kama biashara ya ufugaji wa ng'ombe 🤣🤣🤣
 
Kwasasa hamna airline inapata faida na bado kampuni hizo bado zinaendelea kufanya kazi, mfano KQ 351mil Usd loss, Ethiopian 550 mil usd, Air France-Klm 12 bil usd loss. Hiyo ni mifano michache tu.
Faida kwa sekta nyingine zipo kwahiyo kama unafikiri hiyo biashara itaachwa ujue tu uko ndotoni.
Kwa hiyo unajifunza kutoka Kwa waliofeli?
 
Tukishajua Hasara Bil.60 tujue na Faida ni Bil.ngapi,usikute Faida ni Bil.90,sasa tukitoa 90 - 60 tunapata 30.bil hii ndio faida yetu japo ni kidogo ila si mbaya,hebu tuache jadili Hasara tuulize na Faida iliyopatikana kwa miaka hiyo mi 5 ni kiasi gani.
Wewe unaambiwa imepata hasara wewe unataka uambiwe na faida. Faida gani sasa? Wewe kweli ni kiazi
 
Tukishajua Hasara Bil.60 tujue na Faida ni Bil.ngapi,usikute Faida ni Bil.90,sasa tukitoa 90 - 60 tunapata 30.bil hii ndio faida yetu japo ni kidogo ila si mbaya,hebu tuache jadili Hasara tuulize na Faida iliyopatikana kwa miaka hiyo mi 5 ni kiasi gani.
Wewe unaambiwa imepata hasara wewe unataka uambiwe na faida. Faida gani sasa? Wewe kweli ni kiazi
 
Tukishajua Hasara Bil.60 tujue na Faida ni Bil.ngapi,usikute Faida ni Bil.90,sasa tukitoa 90 - 60 tunapata 30.bil hii ndio faida yetu japo ni kidogo ila si mbaya,hebu tuache jadili Hasara tuulize na Faida iliyopatikana kwa miaka hiyo mi 5 ni kiasi gani.
Pole sana.
Hata huelewi kinachoongelewa. Upate hasara then utafute faida. Unajua maana ya faida, hasara au kitu kinachoitwa break even
 
Kuna wengine bado hawajaamka kule ng'ambo ili wakutane na hii habari
 
Back
Top Bottom