Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bilioni 60 jumlisha manunuzi ya ndegeBilioni 60 hasara ambayo inatakiwa ilipwe ili turudi kwenye zero kwanza.
Bilioni 60 ingefanya mabadiliko kiasi gani kama ingewekwa kwenye kilimo au elimu?
ThubutuuuAngekuwepo yangesemwa haya?
Payback Period ya mashirika ya ndege huwa ipoje mkuukuna kundi fulani liliqah kutaka kumshauri. akawa blinded na political view. even though alijua hili shirika lina run on hasara.
hapana Babu m...aswekwe ndani ..lupango wakati uchunguzi ukiendelea..Meneja hajiuzulu na board ivunjwe! Na matumizi yachunguzwe!
Payback Period ya mashirika ya ndege huwa ipoje mkuu?Haina maana yoyote kwa sasa kujua nani alikuwa anawasilisha hizo ripoti. Uzeni hayo mandege mpeleke maji ya bomba vijijini na muajiri madaktari.
bilioni 60 jumlisha manunuzi ya ndege
Kenya Airways imetengeneza hasara ya 36 billions Kenya shilngsKuna Kenya airways, Ethiopia airways, Rwanda airways. Ili la kwetu ni uongozi mbovu na kukosa ubunifu!
Na hata uendeshaji wao ni todauti na huu wetu wa sasaKenya Airways imetengeneza hasara ya 36 billions Kenya shilngs
Bilioni 60 ni hela ya kujenga uwanja kama ule wa Mkapa. Kweli mipango si matumizi.Bilioni 60 hasara ambayo inatakiwa ilipwe ili turudi kwenye zero kwanza.
Bilioni 60 ingefanya mabadiliko kiasi gani kama ingewekwa kwenye kilimo au elimu?
Kenya airways imefilisika Siku nying mbona,ndege nyingi sio za Kenya airways zikikodishwa.Kuna Kenya airways, Ethiopia airways, Rwanda airways. Ili la kwetu ni uongozi mbovu na kukosa ubunifu!
Kama kuna ushahidi hizi hasara zimechangiwa na ubadhirifu ndio awekwe lupango! Lakini kama ni kukosa ubunifu afukuzwe kazi!hapana Babu m...aswekwe ndani ..lupango wakati uchunguzi ukiendelea..
Huko Ni kucheza na jasho la mtanzania...
Tumeminywa Sana ...tutaminywa Sana.
Hiyo izidishe mara tano ni Bilioni za kutoshaBilioni 60 hasara ambayo inatakiwa ilipwe ili turudi kwenye zero kwanza.
Bilioni 60 ingefanya mabadiliko kiasi gani kama ingewekwa kwenye kilimo au elimu?
Haya mashirika ya ndege yanashida gani??Na hata uendeshaji wao ni todauti na huu wetu wa sasa