Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
Naomba utofautiTafautisha kuendeshwa kwa hasara na kurudisha faida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba utofautiTafautisha kuendeshwa kwa hasara na kurudisha faida
Hasara kubwa Sana.ATCL ifumuliwe,au ibinafsishwe haraka Sana.bilioni 60 jumlisha manunuzi ya ndege
Yangefichwa under the carpet halafu tukihojihoji tunaambiwa ni mawakala wa MabeberuAngekuwepo yangesemwa haya?
Kwaiyo bora zijiendeshe kwa hasara?
Asad mbona alisema ndio hadi jiwe akahamishia kitengo cha ndege ikulu?Kweli mambo yanaenda kasi sana.
Miaka 5 iliyopita nani alikuwa anawasilisha ripoti, Kichele au Prof Assad?
Praise team mbona mtakaa tu wenyewe soon.Bilioni 60 hasara ambayo inatakiwa ilipwe ili turudi kwenye zero kwanza.
Bilioni 60 ingefanya mabadiliko kiasi gani kama ingewekwa kwenye kilimo au elimu?
Unabisha nn ww? Umeambiwa hasara imetengenezwa kwa miaka 5 mfululizo. Mbona huwa mnapenda kusifia penye hamna?Mmmhhh Bilion 60 unajenga uwanja gani? Au unafananisha kuchukua watu elfu 60? Embu tafiti kwanza?
Praise team mbona mtakaa tu wenyewe soon.
Tofauti na ATCL kugenerate -ve tukiingia tu kwenye hesabu za manunuzi ya hizo ndege mtalia upyaa.
Nimeangalia gharama za ujenzi wa ile stadium..ni $53..hiyo loss ikiwa mara mbili uwanja unajengwa..Mmmhhh Bilion 60 unajenga uwanja gani? Au unafananisha kuchukua watu elfu 60? Embu tafiti kwanza?
Yule mchaga Kakoko amesimamishwa kazi!Praise team mbona mtakaa tu wenyewe soon.
Tofauti na ATCL kugenerate -ve tukiingia tu kwenye hesabu za manunuzi ya hizo ndege mtalia upyaa.
Kumbuka itatuchukua forever ku-break even na hii Pandemic inavyoumaKutengeneza Hasara tu haitoshi kama habari..., habari ya maana zaidi ni Je tutaendelea kutengeneza hasara au forecast inaonyesha tutaanza kupata faida lini au hata ku-break even...
Kama ni mwendo wa kuendelea kuchoma kodi zetu hii ni biashara kichaa
Eti marehemu alikuwa mzalendoViongozi wazito walienda kukata viuno airport kupokea huu utopolo unaotuletea hasara tupu.
Kenya Airways imeingia hasara ya bilioni karibia 30 ndani ya mwaka mmoja kutokana na Corona.So issue ya Hasara kwenye makampuni ya ndege kwa kipindi hiki ni kawaida.
Kwa mfano umenunu coster M30,Naomba utofauti
Yule siyo mchaga ni mtu wa KigomaYule mchaga Kakoko amesimamishwa kazi!