Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Ndiyo madhara ya kutokuwa na ushindani , 'competition improves business'Hasara kubwa Sana.ATCL ifumuliwe,au ibinafsishwe haraka Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo madhara ya kutokuwa na ushindani , 'competition improves business'Hasara kubwa Sana.ATCL ifumuliwe,au ibinafsishwe haraka Sana.
Hayati halaumiwi, tugange yajayo.Magufuli alikuwa haambiliki na haya ndio madhara yake
Marehemu alikuwa mpiga dili balaaWana ndege nyingi kuliko sisi na zinazofanya safari nyingi kuliko sisi. Wao walikuwa kwenye lockdown sisi tunapeta. Kwanini wawe na hasara ndogo sisi tuwe na hasara kubwa?
Aliyekuwa anapiga naye deal ameenda ndiyo mambo yameharibika.Yule mchaga Kakoko amesimamishwa kazi!
Brother..!! Embu elewa mantiki yangi basi..!! Ni hivi tumejenga uwanja wa mpira kwa Tsh Bilion 100, je ndani ya miaka 5 utakuwa umerudisha uwekezaji na faida yake?Unabisha nn ww? Umeambiwa hasara imetengenezwa kwa miaka 5 mfululizo. Mbona huwa mnapenda kusifia penye hamna?
Wao hufanyaje kuhusu usafiri wa anga?Uendeshaji wa vyombo vya usafiri unahitaji umakini,ubunifu na uzoefu wa kutosha..ndio mana nchi kama USA hawataki hizo stress
Lazima alaumiwe hiyo ndiyo Legacy yake aliyoachaHayati halaumiwi, tugange yajayo.
Ni mrundi?Yule siyo mchaga ni mtu wa Kigoma
Watanzania walionyesha sura moja ya Shillingi na Muheshimia Albana Kazi .Lkn Ukweli muheshimiwa Albana Kazi shilingi ina sura 2 sasa watanzania wanaonyesha upande wa pili wanaanza kushangaa.ATCL wapeni emirates or fly dubai or Qatar hawa ndio air lines za uhakika .nawasubiri team kusifu na kuabudu waje kupinga report.
hivi bilioni 60 ni pesa nyingi hii?Bilioni 60 hasara ambayo inatakiwa ilipwe ili turudi kwenye zero kwanza.
Bilioni 60 ingefanya mabadiliko kiasi gani kama ingewekwa kwenye kilimo au elimu?
Ndugu yakoNi mrundi?
hivi bilioni 60 ni pesa nyingi hii?
Tuacheni na shirika letu, it's a long term project.Maendeleo ya vitu yaendane na maendeleo ya vitu. Nani atafidia hii hasara. Hizo ndege ziuzwe tununue madawa na kuendeleza elimu
View attachment 1736466