CAG: ATCL imeendeshwa kwa hasara kwa miaka 5 mfululizo

CAG: ATCL imeendeshwa kwa hasara kwa miaka 5 mfululizo

Umeona wafanyabiashara wengi walio hamia mbezi baada ya stendi kuanza? Mzunguko wa hela mbezi umeongezeka mji umepanuka maisha ya wakazi kuzunguka stendi yameboreshwa kuna faida nyingi indirect lakini sio kwa ndege
Umewaza Vizuri sana tena nje ya Boksi ila umeshindwa kuwaza hivo nje ya Boks juu ya umuhimu wa Ndege..!! Ndege zinaleta faida indirect kwa nchi..!! Kwa mfano kuna wawekezaji watakuja kutumia hizo ndege, watalii watakuja kutumia hizo ndege kutokana na uhakika wa usafiri wa anga. Inawezekana pia ongezeko la watalii kwa miaka 5 pia limechangiwa na kuwepo kwa usafiri wa uhakika wa anga, umewaza ilo?
 
Serikali kufanya biashara ya ndege ni kuteketeza pesa za walipa kodi tu. Hakuna siku hili shirika litatengeneza faida hata lingewezeshwa miaka milioni moja.
Sio tuu ndege hata reli,hizi reli za mjini au metro ndio huwa ni huduma lakini za masafa lazima zilete faida sasa subiri sgr ikamilike itakuwa ni kodi kuendesha,kodi kulipia madeni .

Huu kama sio wehu ni nini
 
Umewaza Vizuri sana tena nje ya Boksi ila umeshindwa kuwaza hivo nje ya Boks juu ya umuhimu wa Ndege..!! Ndege zinaleta faida indirect kwa nchi..!! Kwa mfano kuna wawekezaji watakuja kutumia hizo ndege, watalii watakuja kutumia hizo ndege kutokana na uhakika wa usafiri wa anga. Inawezekana pia ongezeko la watalii kwa miaka 5 pia limechangiwa na kuwepo kwa usafiri wa uhakika wa anga, umewaza ilo?

Una ndege gani imebeba mwekezaji. Watalii wote wanatoka nje ya Africa ndege zako zinafika huko au zinapiga ruti za Songwe-Chato
 
Sio tuu ndege hata reli,hizi reli za mjini au metro ndio huwa ni huduma lakini za masafa lazima zilete faida sasa subiri sgr ikamilike itakuwa ni kodi kuendesha,kodi kulipia madeni .

Huu kama sio wehu ni nini
wewe ndio mwehu, hiyo ndio miradi ya maendeleo mkuu,
 
Brother..!! Embu elewa mantiki yangi basi..!! Ni hivi tumejenga uwanja wa mpira kwa Tsh Bilion 100, je ndani ya miaka 5 utakuwa umerudisha uwekezaji na faida yake?
Mbona nimeshakufafanulia pale juu
 
Muda mchache
Hope kigogo alipo anachekelea Kwa hotuba ya muheshimiwa
3B
Ukaguzi maaalumu WA fedha zilizoingia na kutoka BOT
 
Ufipa achen ujinga Kenya Wana hasara ya more than 89B na bado Hali sio nzur
 
[emoji2772] tenaaa [emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
 
Ndio maana tunashsuri mh.Rais asitishe kutekeza mamiradi ya Magu kwa pupa Ili pesa ifanye mambo muhimu ya uchumi wa watu.

Imagine mtu alikuwa anatenga 2/3 ya bajeti ya maendeleo kwenye mamiradi ya sgr,stiglaz sijui nn huko.

Mh.Rais hayo mamiradi yape pesa ndogo na peleka nguvu kubwa kwa kujenga barabara zote kuu na za mikoa,barabara za Tarura,maji, hospital na vituo vya afya,mashule,saidia biashara ndogondogo na matumiz bora ya ardhi yaani mipango miji,saidia kilimo kwenye Mazao ya kimkakati,waalike wawekezaji waje nchini,ongeza salary watumishi na piga marufuku serikali kufanya biashara

Mzunguko wa pesa ukirudi utakusanya kodi nyingi,vijana watataka kujiajiri badala ya kuwaza kuajiriwa na utakumbukwa kwa vizazi.Ila tuu usisahau kukaza uwajibikaji,rushwa na matumizi mazuri ya pesa za umma
 
Back
Top Bottom