Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
sura nyingine ilifichwa kwa makusudi kabisa ili ionekane kuwa kila kitu kinaenda smooth. kumbe sio.Watanzania walionyesha sura moja ya Shillingi na Muheshimia Albana Kazi .Lkn Ukweli muheshimiwa Albana Kazi shilingi ina sura 2 sasa watanzania wanaonyesha upande wa pili wanaanza kushangaa.ATCL wapeni emirates or fly dubai or Qatar hawa ndio air lines za uhakika .
nadhani mama aki un-earth haya mafail.. pichanya marehem inaweza kuwa na taswira nyingine kiutendaji