mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Duh bodi haina mjumbe hata mmoja mwenye uzoefu wa masuala ya ndege...CAG kichere
Nchi ina wataalam wazoefu wa masuala ya ndege wengine wame staafuu kwanini watu kama hao wasingekuwa wanawaweka kwenye bodi waache kuwaingiza wanasiasa.
Na wajanjajanja wengine.
Ova
Nchi ina wataalam wazoefu wa masuala ya ndege wengine wame staafuu kwanini watu kama hao wasingekuwa wanawaweka kwenye bodi waache kuwaingiza wanasiasa.
Na wajanjajanja wengine.
Ova