Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Mkuu, wewe ulikuwa unaamini?Inasikitisha sana kusikia hizi habari lakini huko nyuma tuliaminishwa hakuna wezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, wewe ulikuwa unaamini?Inasikitisha sana kusikia hizi habari lakini huko nyuma tuliaminishwa hakuna wezi
Halafu tumpe haki gani tukishamnyonga..!?Mnyonge mnyongeni
Kwa uongo uongo yule jamaa alikua na 1st class qualifications.Hu yu mwendazake alikua anatuchora alikua anapokea gawio la aina gan....au walikua wanagawana hasara?
ok okBora mungu katuepushia balaa la mwendazake
Asee kwa hali hii kila mtu anatamani kuwa mwizi tu,mana wezi hawaguswi na wanabafilishiwa kaziHalafu kuna wabunge wa CCM waliona haitoshi, walitaka akimaliza miaka 10 aongezewe miaka mingine hata 10.
Yani wabunge wa CCM wanatia hasira mpaka mtu unajikuta unacheka tu.
Alishatangulia mbele za haki mpumzisheni, na nyinyi pambaneni kufanya yenu. Tunajua kwamba now mtakuwa bize kututhibitishia kuwa JPM alikuwa lijizi ili kujijustfy nyie 'vijizi', ili tukija wauliza mbona mwaiba mjiteteee kwa kujilinganisha nae.View attachment 1746920
MATAGA bado hamjaamini kuwa bunge ni dhaifu? Bado ninaamini mwenda zake alikuwa rais wa wanyonge? Bado unaamini alipambana na ufisadi?
Mwenye takwimu za ufisadi enzi za JK na JPM tulinganishe.
Asante Mungu kwa kutupunguzia makali,sa hivi angeongeza miaka mitano ingekuaje?🤔🤔
Nchi ikiongozwa na mpigaji jua wa chini yake wote ni manyang'auWapigaji wamekuwa ni wengi sana awamu ya JPM
Ni shirika la umma, kazi yake ni huduma sio biashara.