Halafu Kuna watu bado wapo ofisini na mishahara mikubwa na marupurupu manono yanaendelea kumiminika kwenye account zao! Huu ni ujinga uliopitiliza! Dpp yupo tu naye anashangaa badala ya kuchukua hatua!Kampuni ya Ndege imekuwa ikitengeneza hasara kwa miaka 5 mfululizo na mwaka huu ilitengeneza hasara ya Sh. Bilioni 60.246. Kwa miaka mitano imetengeneza hasara ya Sh. Bilioni 153.542
anakuambia kwa hiyo mnataka kupanuliwaHii nchi tulichezewa saaana..! Kumbe ye ndio anatuchezea anatuangalia tu halafu anasema hiiiiiiiiiiiiii!!!
Avator yako inafanana na ya ELWATEGE nikashangaa kapata wapi nguvu za kuandika.Hii nchi tulichezewa saaana..! Kumbe ye ndio anatuchezea anatuangalia tu halafu anasema hiiiiiiiiiiiiii!!!
Afu walikuwa hawatangazwi ndio mbya zaidi,hakuna wapinzani wa kusema tena kama zamaniWapigaji wamekuwa ni wengi sana awamu ya JPM
Mgonja kwanza ,nafikili ifike muda wenye nchi ambao ni wanachi tuwe na maamuzi ya busara tu kwamba JPM KWA ufisadi huu uliofanyika chini yake chini ya wapambe njaa ,ni mda wa kutafuta namna ya kumfuta Kama Rais alie wahi kiongozi wa taifa Hili haiwezekani watumishi hawakuwai pandishiwa mishahara,wananchi wa kila namna wamefunga mikanda, katangulia mbele but mchakato vyema kuanza kumfuta katika record za viongozi ambao wamewahi kua marais wa inchi hii full stop so.Kampuni ya Ndege imekuwa ikitengeneza hasara kwa miaka 5 mfululizo na mwaka huu ilitengeneza hasara ya Sh. Bilioni 60.246. Kwa miaka mitano imetengeneza hasara ya Sh. Bilioni 153.542
Hizo ndege ziuzwe tu hata kwa bei ya hasara, yaliyotokea yanatosha kuwa funzo kwetu, na kuanzia leo kila awamu itakayoingia madarakani iweke wazi mikataba yote itakayoingia wananchi waisome, waichambue wajue hasara na faida zake, isiwe siri tena, kuwaachia hawa CCM waendelee kufikiria kwa niaba yetu kuna siku tutauzwa kwa wawekezaji.
Hzi ripoti za CAG kila awamu zinakuja na madudu tu, tutaendelea kushangaa mpaka lini, wenye nchi tuamke sasa, hiyo mikataba watakayoingia mbele ya safari itangazwe hata kwenye magazeti ya serikali.
Inasikitisha sana kusikia hizi habari lakini huko nyuma tuliaminishwa hakuna weziMnyonge mnyongeni
Duh Mataga MsaliaNi shirika la umma, kazi yake ni huduma sio biashara.
HUNA AKILI!Aisee kaburi la mwendazake lifukuliwe atandikwe viboko hata kama ni Marehemu shenzi taip!