CAG: ATCL imetengeneza hasara ya Tsh. Bilioni 153.542 ndani ya miaka Mitano

Nchi ishauzwa
 
SAFI SAAAANA
 
Mh 😳😳
 
Duniani nilichokigundua watu hupenda kusikia mabayatu nawala siyo mazuri.
Huwa tunalaumu sana vyombo vya magharibu kumbe wenzetu walishafanya research na kugundua kuwa binadamu anapenda kusikia yale yapo negative tuu.
Tanzania tutafika tunakokutafuta nimudatu.
 
Bora mungu katuepushia balaa la mwendazake
Najua Mtanikumbuka Siyo Kwa Mabaya Lakini Kwa Mazuri
πŸ˜€πŸ˜„πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜πŸ˜£πŸ˜£πŸ™„πŸ˜πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜„
 
CAG ameamua
 

Ushauri mzuri sana ,tukiuza midege kadhaa tukawekeza kwenye kilimo na kuwapa ajira vijana wetu mil 12 hakika tungeuza mazao nje na pia soko la ndani price ingeshuka,mzungukuko wa pesa ungeongezeka ,mnyororo wa thamani ungeongezeka.

Midege ni hasara kubwa sana, Jiwe alitupiga mchana kweupe kwenye MV DAR-ES-SALAAM ,eti ilinunuliwa kwa Bil 8 wakati Bakhresa alinunua ya kisasa na yenye speed kubwa kwa bil 4.
 
Bambushka unacheka nini? Lol! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mkuu nimecheka ulivyoingia maktaba! Kufukua kaburi.
Kutukumbusha tunanunua KESHI fedha zetu za ndani.
Aiseee hii injiii....mamaa Tanzania...πŸ˜†
Kuna chama fulani kinapendelea tuwe wajinga kiendelee kututawala..sad

Everyday is Saturday................................😎
 
Reactions: BAK
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ siku nyingine huwa nakumbuka issues mbali mbali baada ya kusoma magazetini au kule Twitter. Basi huja hapa kufukua makaburi kwa kujua nitalipata tu kaburi husika.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…