Katika kile kinachoonekana kama kumbe kesi za Uhujumu Uchumi zilizofungliwa kwa wingi Awamu ya Tano, ule ulikuwa mradi wa kuwachuna wafanya biasharra na wahasimu wa Awamu hiyo.
Watuhumiwa wengi walilazimishwa kuingia kitu inaitwa plea bargainning kitu ambacho sasa ikawa kama hivi:
Kesi ya kubambikwa inatayarishwa
Polisi wanaamriwa kukuweka ndani
Wanasheria wa Ofisi ya DPP ambao hawana hata habari kesi inahusu nini, watajifaragua mwaka mzima au hata mpaka mitano
Ofisi ya DPP mwishowe inakukaribisha mtuhumiwa na mshitaki mkae chini, ili kiofisi ununue uhuru wako!!
Picha ndiyo hiyo, na CAG sasa inaelekea amethibitisha ile mihela mabilioni ya Harbinder Singh(wa IPTL) na hata yule Mohammed (wa milioni saba kwa dakika), hela hizo si ajabu hazimo kwenye vitabu vya serikali!
Your browser is not able to display this video.
Hongera Awamu ya Tano kwa ufisadi wa kiwango cha PhD.
Lakini hii ni tetesi tu ya mtu wetu CAG!
Katika kile kinachoonekana kama kumbe kesi za Uhujumu Uchumi zilizofungliwa kwa wingi Awamu ya Tano, ule ulikuwa mradi wa kuwachuna wafanya biasharra na wahasimu wa Awamu hiyo.
Watuhumiwa wengi walilazimishwa kuingia kitu inaitwa plea bargainning kitu ambacho sasa ikawa kama hivi;
Kesi ya kubambikwa inatayarishwa
Polisi wanaamriwa kukuweka ndani
Wanasheria ambao hawana hata habari kesi inahusu nini, watajifaragua mwaka mzima au hata mpaka mitano
Ofisi ya DPP mwishowe inakukaribisha mtuhumiwa na mshitaki mkae chini, ili kiofisi ununue uhuru wako!!
Picha ndiyo hiyo, na CAG sasa inaelekea amethibitisha ile mihela mabilioni ya Harbinder Singh(wa IPTL) na hata yule Mohammed (wa milioni saba kwa dakika), hela hizo hazimo kwenye vitabu vya serikali!
Hongera Awamu ya Tano kwa ufisadi wa kiwango cha PhD.
Katika kile kinachoonekana kama kumbe kesi za Uhujumu Uchumi zilizofungliwa kwa wingi Awamu ya Tano, ule ulikuwa mradi wa kuwachuna wafanya biasharra na wahasimu wa Awamu hiyo.
Watuhumiwa wengi walilazimishwa kuingia kitu inaitwa plea bargainning kitu ambacho sasa ikawa kama hivi;
Kesi ya kubambikwa inatayarishwa
Polisi wanaamriwa kukuweka ndani
Wanasheria ambao hawana hata habari kesi inahusu nini, watajifaragua mwaka mzima au hata mpaka mitano
Ofisi ya DPP mwishowe inakukaribisha mtuhumiwa na mshitaki mkae chini, ili kiofisi ununue uhuru wako!!
Picha ndiyo hiyo, na CAG sasa inaelekea amethibitisha ile mihela mabilioni ya Harbinder Singh(wa IPTL) na hata yule Mohammed (wa milioni saba kwa dakika), hela hizo hazimo kwenye vitabu vya serikali!
Hongera Awamu ya Tano kwa ufisadi wa kiwango cha PhD.
Lakini hii ni tetesi tu ya mtu wetu CAG!
oKatika kile kinachoonekana kama kumbe kesi za Uhujumu Uchumi zilizofungliwa kwa wingi Awamu ya Tano, ule ulikuwa mradi wa kuwachuna wafanya biasharra na wahasimu wa Awamu hiyo.
Watuhumiwa wengi walilazimishwa kuingia kitu inaitwa plea bargainning kitu ambacho sasa ikawa kama hivi:
Kesi ya kubambikwa inatayarishwa
Polisi wanaamriwa kukuweka ndani
Wanasheria wa Ofisi ya DPP ambao hawana hata habari kesi inahusu nini, watajifaragua mwaka mzima au hata mpaka mitano
Ofisi ya DPP mwishowe inakukaribisha mtuhumiwa na mshitaki mkae chini, ili kiofisi ununue uhuru wako!!
Picha ndiyo hiyo, na CAG sasa inaelekea amethibitisha ile mihela mabilioni ya Harbinder Singh(wa IPTL) na hata yule Mohammed (wa milioni saba kwa dakika), hela hizo hazimo kwenye vitabu vya serikali!
Katika kile kinachoonekana kama kumbe kesi za Uhujumu Uchumi zilizofungliwa kwa wingi Awamu ya Tano, ule ulikuwa mradi wa kuwachuna wafanya biasharra na wahasimu wa Awamu hiyo.
Watuhumiwa wengi walilazimishwa kuingia kitu inaitwa plea bargainning kitu ambacho sasa ikawa kama hivi:
Kesi ya kubambikwa inatayarishwa
Polisi wanaamriwa kukuweka ndani
Wanasheria wa Ofisi ya DPP ambao hawana hata habari kesi inahusu nini, watajifaragua mwaka mzima au hata mpaka mitano
Ofisi ya DPP mwishowe inakukaribisha mtuhumiwa na mshitaki mkae chini, ili kiofisi ununue uhuru wako!!
Picha ndiyo hiyo, na CAG sasa inaelekea amethibitisha ile mihela mabilioni ya Harbinder Singh(wa IPTL) na hata yule Mohammed (wa milioni saba kwa dakika), hela hizo hazimo kwenye vitabu vya serikali!
Kwa hiyo zipo bank gani?Kama wahuni wanatuhakikishia kwamba pesa hizo zilichukuliwa.Watuambie zipo bank ipi.Sio kutuletea maneno ya uongo yasuo na ushahid.
Cag huyu na aliyepita ni waongo sana,nchi hii imekaa kiuzushi zushi sana. Hahaaaaaa! Ndo maana wanamsingizia marehemu eti alivuruga uchaguzi wa serikali za mitaa (2019) na wanaenda mbali zaidi wanadai kulikuwa na kura feki kwenye mabegi(2020) ππππ
Aisee kweli wafuasi wa ******** ni misukule! Nalo hilo kuhusu uchaguzi kuwa uchafuzi ni uongo?
Kuna shule Mbalizi,Mbeya moja kati ya wanabodi walikuwa wanagombea 2019, alikusanya wanafunzi kujiandikisha vituo vyote vya kupigia kura, karibu wanafunzi wote wakaandikishwa(zaidi ya 800) ni bahati yake tu uchaguzi ukasusiwa na upinzani.
Muwe mnaushughulisha ubongo basi maana nyie misukule ni mnakera!
Aisee kweli wafuasi wa ******** ni misukule! Nalo hilo kuhusu uchaguzi kuwa uchafuzi ni uongo?
Kuna shule Mbalizi,Mbeya moja kati ya wanabodi walikuwa wanagombea 2019, alikusanya wanafunzi kujiandikisha vituo vyote vya kupigia kura, karibu wanafunzi wote wakaandikishwa(zaidi ya 800) ni bahati yake tu uchaguzi ukasusiwa na upinzani.
Muwe mnaushughulisha ubongo basi maana nyie misukule ni mnakera!
Vipi kuhusu ujenzi wa chato international airport mbona mnasingizia haukuwa na baraka za bunge wala taratibu za manunuzi ya umma hazikufatwa?πππ Acheni uzushi marehemu alikuwa muumini wa sheria za nchi asingeweza kijinasibisha na Mayanga construction company ππππππππ