zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Kwanini mnatetea mafisadi? Yaani hamtaki kuamini kilikua na majizi enzi za JPM? Mbona Sabaya kakutwa na hatia kupora mamilion au hakupo enzi za JPM? Vipi Nchambi si alihukumiwa kulipa Mabilion baada ya kukiri kuwa ni jangili au hakuwa enzi za JPM?Hawa jamaa wamejipanga kwelikweli!, kwa kushirikiana na wahuni ili adhima yao itimie!, lakini watanzania sio wa enzi hizo!
He was never a saint, but rather an overrated scumbag.