CAG: Hela za Plea Bargaining(Kesi za uhujumu) za mabilioni ziliingia mifukoni mwa watu-hazikuingia Serikalini!

CAG: Hela za Plea Bargaining(Kesi za uhujumu) za mabilioni ziliingia mifukoni mwa watu-hazikuingia Serikalini!

Katika kile kinachoonekana kama kumbe kesi za Uhujumu Uchumi zilizofungliwa kwa wingi Awamu ya Tano, ule ulikuwa mradi wa kuwachuna wafanya biasharra na wahasimu wa Awamu hiyo.

Watuhumiwa wengi walilazimishwa kuingia kitu inaitwa plea bargainning kitu ambacho sasa ikawa kama hivi:

  • Kesi ya kubambikwa inatayarishwa
  • Polisi wanaamriwa kukuweka ndani
  • Wanasheria wa Ofisi ya DPP ambao hawana hata habari kesi inahusu nini, watajifaragua mwaka mzima au hata mpaka mitano
  • Ofisi ya DPP mwishowe inakukaribisha mtuhumiwa na mshitaki mkae chini, ili kiofisi ununue uhuru wako!!

Picha ndiyo hiyo, na CAG sasa inaelekea amethibitisha ile mihela mabilioni ya Harbinder Singh(wa IPTL) na hata yule Mohammed (wa milioni saba kwa dakika), hela hizo si ajabu hazimo kwenye vitabu vya serikali!



View attachment 2202262

Hongera Awamu ya Tano kwa ufisadi wa kiwango cha PhD.
Lakini hii ni tetesi tu ya mtu wetu CAG!
Hiyo attachment mbona haipo? Hii siyo propaganda chafu hii [emoji53]
 
Kuna watu hata wakifa unatamani wafe tena kwa uovu walio watendea Binadamu wenzao.
Na wakishakufa tena wafe tena na tena, yani maisha yao yawe ni kifo kila wakifa, kufa meko kufa!!!!
 
Katika kile kinachoonekana kama kumbe kesi za Uhujumu Uchumi zilizofungliwa kwa wingi Awamu ya Tano, ule ulikuwa mradi wa kuwachuna wafanya biasharra na wahasimu wa Awamu hiyo.

Watuhumiwa wengi walilazimishwa kuingia kitu inaitwa plea bargainning kitu ambacho sasa ikawa kama hivi:

  • Kesi ya kubambikwa inatayarishwa
  • Polisi wanaamriwa kukuweka ndani
  • Wanasheria wa Ofisi ya DPP ambao hawana hata habari kesi inahusu nini, watajifaragua mwaka mzima au hata mpaka mitano
  • Ofisi ya DPP mwishowe inakukaribisha mtuhumiwa na mshitaki mkae chini, ili kiofisi ununue uhuru wako!!

Picha ndiyo hiyo, na CAG sasa inaelekea amethibitisha ile mihela mabilioni ya Harbinder Singh(wa IPTL) na hata yule Mohammed (wa milioni saba kwa dakika), hela hizo si ajabu hazimo kwenye vitabu vya serikali!


View attachment 2202262

Hongera Awamu ya Tano kwa ufisadi wa kiwango cha PhD.
Lakini hii ni tetesi tu ya mtu wetu CAG!
This is a sin and crime. Hawa jamaa hawa.......
 
Hizo PESA m



Hizo PESA ndo Zimejenga izo Flyover mnazopita, zmenunua ndege nk. Tofauti ni kuwa hazikupita mfumo rasmi. Yaani MTOTO unamwona halafu unasema MZAZI alikuwa MGUMBA!!!!!!! Tuambieni mlichofanya Hadi sasa ninyi.
Mkuu usitetee wizi.
Flyover zote zimejengwa kwa misaada toka nje.
Tunasubiri CAG adondoshe bomu la ununuzi wa ndege.
 
Katika kile kinachoonekana kama kumbe kesi za Uhujumu Uchumi zilizofungliwa kwa wingi Awamu ya Tano, ule ulikuwa mradi wa kuwachuna wafanya biasharra na wahasimu wa Awamu hiyo.

Watuhumiwa wengi walilazimishwa kuingia kitu inaitwa plea bargainning kitu ambacho sasa ikawa kama hivi:

  • Kesi ya kubambikwa inatayarishwa
  • Polisi wanaamriwa kukuweka ndani
  • Wanasheria wa Ofisi ya DPP ambao hawana hata habari kesi inahusu nini, watajifaragua mwaka mzima au hata mpaka mitano
  • Ofisi ya DPP mwishowe inakukaribisha mtuhumiwa na mshitaki mkae chini, ili kiofisi ununue uhuru wako!!

Picha ndiyo hiyo, na CAG sasa inaelekea amethibitisha ile mihela mabilioni ya Harbinder Singh(wa IPTL) na hata yule Mohammed (wa milioni saba kwa dakika), hela hizo si ajabu hazimo kwenye vitabu vya serikali!


View attachment 2202262

Hongera Awamu ya Tano kwa ufisadi wa kiwango cha PhD.
Lakini hii ni tetesi tu ya mtu wetu CAG!

MAKAMU MWENYEKITI CCM ABDURAHMAN KINANA NAYE AKOLEZA

Ataka shutuma za CAG zichukuliwe hatua.
View attachment 2202712

Kuna harufu ya uongo hapa maana mwaka jana tuliambiwa pesa za plea bergain ziko benki kuu na hakuna sheria ya kuzitumia na ziko mabillion
 
Hapana hakuna Sheria iliyokua imetungwa kuwa hizo pesa ziende wapi. Nadhani huo mwanya alioacha JPM ndio ulihalalisha watu kujimilikisha hizo pesa.

Afu utasikia eti ufisadi uliisha [emoji23][emoji23][emoji23]

Hapana hii taarifa inaweza kuwa ya uongo maana pesa za plea bargain zilikuwa zinawekwa kwenye account maalum na mwaka jana CAG alisema hakuna sheria ya kuzitumia ziko bank tuu! Hii habari ya kutafunwa ni uongo!
 
Yaan Chinembe nilishakwambia kuwa elimu yako ni ya form four na ukiwa umesoma Sana Basi una degree ya kuunga unga.Yaan unatumiwa Sana kuandika humu lakin upo shalowa Sana.Nitakupa somo kidogo.Unapoongelea masuala ya serikali ,unaongelea team work.Kuna Rais,Wazir mkuu,mawaziri,wakuu wa mikoa na wilaya.Wakurugenzi na nk.Sasa kwa Sasa suala linalotengenezwa na wahuni wachache ,wanataka kuwafanya watanzania kuwa hawana uelewa wowote.Kumbe wao ndio sisi tunawaona Kama mazombi tu.Nitaongea issue mbili.Kwanza issue ya kusema serikali iliyopita iliiba pesa.Basi wote waliokuwemo watakuwa wameiba.Pili.Unaposema GAG ,ametoa report.Ni suala la interpretation tu.Report inakuwepo lakin je physical verification zimefanyika kuhusu hizo document?Zitto Kabwe ni mburura.Hajui kitu.Amesoma economic.Sisi wataalamu wa uhasibu ,tunajua kuwa ni mpumbavu tu.Halafu kwa Sasa ategemee maadui wengi.
Mkuu Tshs 1.5 Trilioni ilivyokwapuliwa CAG akaisemea, akakatwa panga.
Tatizo lako wewe mnyonge unayeletewa kitoweo , mkate na mchele na baba, unakuja gundua baba ni jizi na kaiba kazini.
Endelea kuunga mkono wizi, tuachie CAG aendelee kuwaumbua.
 
Hiyo taarifa imo kwenye ripoti ya CAG kweli? Napitia ripoti sijaona hiyo taarifa. Nakumbuka kumsikia CAG akisema anaanzisha ukaguzi siku anakabidhi ripoti kwa Mh Rais. Kwa hiyo amemaliza ukaguzi na kutoa taarifa akionyesha kwamba pesa haIkuingia serikalini? Au mnapotosha tu taarifa?

Mkuu Kimbunga hii habari inaweza kuwa ni ya uongo kabisa japo mtoa mada kasema mwishoni kuwa ni tetesi maana hizi pesa na kumbuka CAG mwaka jana alisema ziko BOT zimekaa tuu hakuna sheria ya kuzitumia Kwa hiyo nina hakika asilimia mia hii habari ni ya uongo!
 
Hapana hii taarifa inaweza kuwa ya uongo maana pesa za plea bargain zilikuwa zinawekwa kwenye account maalum na mwaka jana CAG alisema hakuna sheria ya kuzitumia ziko bank tuu! Hii habari ya kutafunwa ni uongo!
Sasa ndio unaambiwa zimetafunwa na wahuni wachache.... Kumbuka zilikua zinalipwa in cash bila kutumia control number Wala nini. Sasa control yake unadhani ni nyepesi?

Nyumba imechukuliwa ila Kodi inaenda kwa mtu binafsi yote ni sababu Kuna gap ya kisheria inayotoa mwanya kwa ufisadi.

So hapa hakuna uongo unless hujasoma audit report
 
Kuna harufu ya uongo hapa maana mwaka jana tuliambiwa pesa za plea bergain ziko benki kuu na hakuna sheria ya kuzitumia na ziko mabillion
Weka kink ya habari hizo.
CAG mzee Assad aliposema Tshs 1.5Trilioni haonekani kwenye vitabu vya serikali mkasema anajidai na yeye ni mhilili.
Mkamla kichwa.
Sasa tukuamini wewe au CAG anayelipwa ku audit mahesabu ya serikali?
 
Nadhani anasoma vibaya! Siamini kama CAG ameishamaliza ukaguzi na kutoa taarifa. Uzoefu wangu unaonyesha CAG hutoa taarifa yake mara moja na huwa haongei na waandishi wa habari tena hadi wakati wa ripoti nyingine. Huenda mleta uzi kanukuu vibaya.

Mleta mada amesema ni tetesi soma para ya mwisho!
 
Slaa amesema red brigade ya chadema hua inateka watu na kuua watu.

Hiyo mada sioni ikijadiliwa vya kutosha.
I apeleke ushaidi polisi. Au polisi wamkamate wamuhoji na wahusika wakamatwe.

Hiyo habari ingekuwa ina ukweli unafikkllia awamu ya tano wangeipotezea tu? Maana awamu ya tano ilipambana sana kuona chadema inapotea
 
Sasa ndio unaambiwa zimetafunwa na wahuni wachache.... Kumbuka zilikua zinalipwa in cash bila kutumia control number Wala nini. Sasa control yake unadhani ni nyepesi?

Nyumba imechukuliwa ila Kodi inaenda kwa mtu binafsi yote ni sababu Kuna gap ya kisheria inayotoa mwanya kwa ufisadi.

So hapa hakuna uongo unless hujasoma audit report

Sio kweli walikuwa wanapewa control numbe kabisa! Watu wengi wanao ushahidi jinsi hela hii ilivyokuwa inakwenda bank mimi nina watu nawajua wamelipa hii hela na ilikuwa inakwenda BOT kwenye account maalum uwezi kusema hazijulikani zimekwenda wapi wakati contro numbe na account number inajulikana!

Mtoa mada kasema uongo maana hata kwenye CAG report hakuna hichi kitu halafu CAG alishasema hizi pesa zipo bank kuu na hakuna sheria inayotoa muongozo jinsi ya kuzitumia na hata mwanasheria wa serikali alishasema hili bungeni!

Jamani tupunguze uzushi! Hata hivyo mleta mada anasema ni tetesi!
 
Back
Top Bottom