Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
- #101
Kumbuka naye Kinana ameiquote ripoti ya CAG.Mleta mada amesema ni tetesi soma para ya mwisho!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka naye Kinana ameiquote ripoti ya CAG.Mleta mada amesema ni tetesi soma para ya mwisho!
CCM ni laana.Yule shetani aliharibu sn nchi
Waliohusika na Jambo hili bado wapo hai na wengine wamepewa vyeo vipya , akiwemo aliyekuwa DPP , Hii nchi ilipofikia hata Mungu kishaikatia Tamaa .
Hata kuiombea ni sawa na kupoteza muda tu .
Hapo ndio pa kuanzia uchunguzi.Aliyekuwa DPP achunguzwe na maafisa wa ofisi yake.
CAG huwa haongopi.Hapana hii taarifa inaweza kuwa ya uongo maana pesa za plea bargain zilikuwa zinawekwa kwenye account maalum na mwaka jana CAG alisema hakuna sheria ya kuzitumia ziko bank tuu! Hii habari ya kutafunwa ni uongo!
Nakubaliana na wewe kabis aCCM ni laana.
Kwa ulinzi wake wote ule kuna mtu angeweza kumuua? kafa kwa maovu yakeNdio mkaona mumuue sio?.
Na kama ziliingia serikalini ziiingilia wapi?Kwa
Kwa hiyo zipo bank gani?Kama wahuni wanatuhakikishia kwamba pesa hizo zilichukuliwa.Watuambie zipo bank ipi.Sio kutuletea maneno ya uongo yasuo na ushahid.
Bomu umdondoshee marehemu ni AKILI Kweli hiyo. Ameondoka mmoja WASAIDIZI wake wote wapo Badala ya kuwauliza WAWAJIBISHWE mnakalia siasa. Nasubiria KIFO Cha KINYONGA wa KIJANI na MANJANO Kwa hamu kubwa.Mkuu usitetee wizi.
Flyover zote zimejengwa kwa misaada toka nje.
Tunasubiri CAG adondoshe bomu la ununuzi wa ndege.
Kuwa insane ni Kutoa ripoti vidole vyote vikimuelekea MAREHEMU. Waziri wa fedha Yu hai, watumishi wa fuko kuu walotia Saini wote wapo, kwanini WASIWAJIBISHWE hao?Acha utani pesa za Miradi nyingi ni mikopo na Mama Samia mpaka Leo analipa madeni. Huwezi uka generalize eti pesa zimejenga flyover wakati ni mabilion yameliwa!!
Hizo ndege unazosifia hapa si umesikia zimetia serikali hasara ya mabilioni!! How comes ziwe pride kiasi kwamba tukiona ufisadi ukimbilie eti "ndege zimenunuliwa"
Are you insane?
Hata marehemu Hitler alidondoshewa mabomu ya kutosha tu baada ya kujiua kukwepa kukamatwa.Bomu umdondoshee marehemu ni AKILI Kweli hiyo. Ameondoka mmoja WASAIDIZI wake wote wapo Badala ya kuwauliza WAWAJIBISHWE mnakalia siasa. Nasubiria KIFO Cha KINYONGA wa KIJANI na MANJANO Kwa hamu kubwa.
Nikuulize tu swali la akili!Bomu umdondoshee marehemu ni AKILI Kweli hiyo. Ameondoka mmoja WASAIDIZI wake wote wapo Badala ya kuwauliza WAWAJIBISHWE mnakalia siasa. Nasubiria KIFO Cha KINYONGA wa KIJANI na MANJANO Kwa hamu kubwa.
Tumtaje tu huyu Jaji, si yule Biswalo Mganga, aliyekuwa DPP.Mwizi wa hizi pesa kapewa promotion kuwa Judge, shame government
Follow the money!Tumtaje tu huyu Jaji, si yule Biswalo Mganga, aliyekuwa DPP.
Afanyiwe Life Audit
CAG huwa haongopi.
Aongope kwa ajili ya nini?
Mliopania kutetea uchafu wa mwendazake si ajabu mko complicit of the crime.
Mbwa mwongo mwenye mkia mrefu aina barbaig sherpherd aka Slaa! elezea hapa!Katika kile kinachoonekana kama kumbe kesi za Uhujumu Uchumi zilizofungliwa kwa wingi Awamu ya Tano, ule ulikuwa mradi wa kuwachuna wafanya biasharra na wahasimu wa Awamu hiyo.
Watuhumiwa wengi walilazimishwa kuingia kitu inaitwa plea bargainning kitu ambacho sasa ikawa kama hivi:
- Kesi ya kubambikwa inatayarishwa
- Polisi wanaamriwa kukuweka ndani
- Wanasheria wa Ofisi ya DPP ambao hawana hata habari kesi inahusu nini, watajifaragua mwaka mzima au hata mpaka mitano
- Ofisi ya DPP mwishowe inakukaribisha mtuhumiwa na mshitaki mkae chini, ili kiofisi ununue uhuru wako!!
Picha ndiyo hiyo, na CAG sasa inaelekea amethibitisha ile mihela mabilioni ya Harbinder Singh(wa IPTL) na hata yule Mohammed (wa milioni saba kwa dakika), hela hizo si ajabu hazimo kwenye vitabu vya serikali!
View attachment 2202262
Hongera Awamu ya Tano kwa ufisadi wa kiwango cha PhD.
Lakini hii ni tetesi tu ya mtu wetu CAG!
MAKAMU MWENYEKITI CCM ABDURAHMAN KINANA NAYE AKOLEZA
Ataka shutuma za CAG zichukuliwe hatua.
View attachment 2202712