Slaa keshawehuka hasa baada ya kuona mwenzake Mrema kaoa binti mbichi mweupe yeye akaishia kukamatishwa lisimbe la kihaya tena lenye mapepo 7Slaa amesema red brigade ya chadema hua inateka watu na kuua watu.
Hiyo mada sioni ikijadiliwa vya kutosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Slaa keshawehuka hasa baada ya kuona mwenzake Mrema kaoa binti mbichi mweupe yeye akaishia kukamatishwa lisimbe la kihaya tena lenye mapepo 7Slaa amesema red brigade ya chadema hua inateka watu na kuua watu.
Hiyo mada sioni ikijadiliwa vya kutosha.
Ndio mkaona mumuue sio?.Yule shetani aliharibu sn nchi
Unauhakika ni magufuli huyu mtu shujaa au unaharisha maneno tu?. Nonsensehivi màgufool alikuwa akijiaminia kitu gani kufanya ujambazi wa wazi kiasi hiki
Halafu uwezo wenu was kuelewa Mambo pia ni mdogo Sana.Kwa kuwa unaposema serikali ni watu wengi.Hamjui pia mnamtukana Rais aliyepo kwa kuwa na yeye alikuwa ni miongoni mwa wasaidizi.Au mnamtukana Dr Mpango na mawaziri Kama Mwiguru kwa kuwa nao ilikuwa sehemu ya serikali.Serikali haiwezi kuwa ya mtu mmoja.Halafu report ya CAG,tuna inteprete sio siasa za mavi mnazozianzisha.Tuna interprete kuwa hii pesa ilitumika kujenga Barbara.Document zake zilikuwa hazijafika.Hiyo inaitwa physical verification.Nyie wapumbavu Sana.Si ukasome ripoti ya CAG ipo public mbona mnakuza wavivu kiasi hiki!! Badala udai PAC ipeleke Hilo suala bungeni unatetea mafisadi. CAG aandike uongo anufaike nini? Wakati cheo chake hawezi tumbuliwa na bajeti yake haiandaliwi na serikali Bali na Kamati ya bunge!!
Funny
SSH hahusiki, mwizi ni JPMHalafu uwezo wenu was kuelewa Mambo pia ni mdogo Sana.Kwa kuwa unaposema serikali ni watu wengi.Hamjui pia mnamtukana Rais aliyepo kwa kuwa na yeye alikuwa ni miongoni mwa wasaidizi.Au mnamtukana Dr Mpango na mawaziri Kama Mwiguru kwa kuwa nao ilikuwa sehemu ya serikali.Serikali haiwezi kuwa ya mtu mmoja.Halafu report ya CAG,tuna inteprete sio siasa za mavi mnazozianzisha.Tuna interprete kuwa hii pesa ilitumika kujenga Barbara.Document zake zilikuwa hazijafika.Hiyo inaitwa physical verification.Nyie wapumbavu Sana.
Siasa za kike hizi. Kama anaushahidi apeleke kwa vyombo husika, ili vichunguze na kuchukua hatua.Slaa amesema red brigade ya chadema hua inateka watu na kuua watu.
Hiyo mada sioni ikijadiliwa vya kutosha.
Nasema uongo Ndugu zangu?😁Cag huyu na aliyepita ni waongo sana,nchi hii imekaa kiuzushi zushi sana. Hahaaaaaa! Ndo maana wanamsingizia marehemu eti alivuruga uchaguzi wa serikali za mitaa (2019) na wanaenda mbali zaidi wanadai kulikuwa na kura feki kwenye mabegi(2020) 😀😀😀😀
Kama Mwanamlya una doubt ripoti ya CAG Kicheere, na kura za uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na uchaguzi Mkuu wa 2020 kuwa hazikuibiwa na Magufuli basi jihesabu wewe ni MPUMBAVU.Cag huyu na aliyepita ni waongo sana,nchi hii imekaa kiuzushi zushi sana. Hahaaaaaa! Ndo maana wanamsingizia marehemu eti alivuruga uchaguzi wa serikali za mitaa (2019) na wanaenda mbali zaidi wanadai kulikuwa na kura feki kwenye mabegi(2020) 😀😀😀😀
Katika kile kinachoonekana kama kumbe kesi za Uhujumu Uchumi zilizofungliwa kwa wingi Awamu ya Tano, ule ulikuwa mradi wa kuwachuna wafanya biasharra na wahasimu wa Awamu hiyo.
Watuhumiwa wengi walilazimishwa kuingia kitu inaitwa plea bargainning kitu ambacho sasa ikawa kama hivi:
- Kesi ya kubambikwa inatayarishwa
- Polisi wanaamriwa kukuweka ndani
- Wanasheria wa Ofisi ya DPP ambao hawana hata habari kesi inahusu nini, watajifaragua mwaka mzima au hata mpaka mitano
- Ofisi ya DPP mwishowe inakukaribisha mtuhumiwa na mshitaki mkae chini, ili kiofisi ununue uhuru wako!!
Picha ndiyo hiyo, na CAG sasa inaelekea amethibitisha ile mihela mabilioni ya Harbinder Singh(wa IPTL) na hata yule Mohammed (wa milioni saba kwa dakika), hela hizo hazimo kwenye vitabu vya serikali!
View attachment 2202262
Hongera Awamu ya Tano kwa ufisadi wa kiwango cha PhD.
Lakini hii ni tetesi tu ya mtu wetu CAG!
Hizo PESA ndo Zimejenga izo Flyover mnazopita, zmenunua ndege nk. Tofauti ni kuwa hazikupita mfumo rasmi. Yaani MTOTO unamwona halafu unasema MZAZI alikuwa MGUMBA!!!!!!! Tuambieni mlichofanya Hadi sasa ninyi.Katika kile kinachoonekana kama kumbe kesi za Uhujumu Uchumi zilizofungliwa kwa wingi Awamu ya Tano, ule ulikuwa mradi wa kuwachuna wafanya biasharra na wahasimu wa Awamu hiyo.
Watuhumiwa wengi walilazimishwa kuingia kitu inaitwa plea bargainning kitu ambacho sasa ikawa kama hivi:
- Kesi ya kubambikwa inatayarishwa
- Polisi wanaamriwa kukuweka ndani
- Wanasheria wa Ofisi ya DPP ambao hawana hata habari kesi inahusu nini, watajifaragua mwaka mzima au hata mpaka mitano
- Ofisi ya DPP mwishowe inakukaribisha mtuhumiwa na mshitaki mkae chini, ili kiofisi ununue uhuru wako!!
Picha ndiyo hiyo, na CAG sasa inaelekea amethibitisha ile mihela mabilioni ya Harbinder Singh(wa IPTL) na hata yule Mohammed (wa milioni saba kwa dakika), hela hizo hazimo kwenye vitabu vya serikali!
View attachment 2202262
Hongera Awamu ya Tano kwa ufisadi wa kiwango cha PhD.
Lakini hii ni tetesi tu ya mtu wetu CAG!
Yaan Chinembe nilishakwambia kuwa elimu yako ni ya form four na ukiwa umesoma Sana Basi una degree ya kuunga unga.Yaan unatumiwa Sana kuandika humu lakin upo shalowa Sana.Nitakupa somo kidogo.Unapoongelea masuala ya serikali ,unaongelea team work.Kuna Rais,Wazir mkuu,mawaziri,wakuu wa mikoa na wilaya.Wakurugenzi na nk.Sasa kwa Sasa suala linalotengenezwa na wahuni wachache ,wanataka kuwafanya watanzania kuwa hawana uelewa wowote.Kumbe wao ndio sisi tunawaona Kama mazombi tu.Nitaongea issue mbili.Kwanza issue ya kusema serikali iliyopita iliiba pesa.Basi wote waliokuwemo watakuwa wameiba.Pili.Unaposema GAG ,ametoa report.Ni suala la interpretation tu.Report inakuwepo lakin je physical verification zimefanyika kuhusu hizo document?Zitto Kabwe ni mburura.Hajui kitu.Amesoma economic.Sisi wataalamu wa uhasibu ,tunajua kuwa ni mpumbavu tu.Halafu kwa Sasa ategemee maadui wengi.SSH hahusiki, mwizi ni JPM
DPP aliuepewa ujaji anajua kila kitu, tafadhali atupe majibu huyu shetaniKatika kile kinachoonekana kama kumbe kesi za Uhujumu Uchumi zilizofungliwa kwa wingi Awamu ya Tano, ule ulikuwa mradi wa kuwachuna wafanya biasharra na wahasimu wa Awamu hiyo.
Watuhumiwa wengi walilazimishwa kuingia kitu inaitwa plea bargainning kitu ambacho sasa ikawa kama hivi:
- Kesi ya kubambikwa inatayarishwa
- Polisi wanaamriwa kukuweka ndani
- Wanasheria wa Ofisi ya DPP ambao hawana hata habari kesi inahusu nini, watajifaragua mwaka mzima au hata mpaka mitano
- Ofisi ya DPP mwishowe inakukaribisha mtuhumiwa na mshitaki mkae chini, ili kiofisi ununue uhuru wako!!
Picha ndiyo hiyo, na CAG sasa inaelekea amethibitisha ile mihela mabilioni ya Harbinder Singh(wa IPTL) na hata yule Mohammed (wa milioni saba kwa dakika), hela hizo hazimo kwenye vitabu vya serikali!
View attachment 2202262
Hongera Awamu ya Tano kwa ufisadi wa kiwango cha PhD.
Lakini hii ni tetesi tu ya mtu wetu CAG!
Nenda kazikwe naye, alikuwa mwizi kuliko Rais yeyote tangu nchi ipate uhuru, hiyo certificate ya uhasibu si Mali kitu, pale Ofisi ya CAG waliofanya ukaguzi Wana CPA na ma digrii kama yote, alikuwepo mpaka Prof Assad, narudia, profesa alisema JPM kaiba trilioni moja na nusuYaan Chinembe nilishakwambia kuwa elimu yako ni ya form four na ukiwa umesoma Sana Basi una degree ya kuunga unga.Yaan unatumiwa Sana kuandika humu lakin upo shalowa Sana.Nitakupa somo kidogo.Unapoongelea masuala ya serikali ,unaongelea team work.Kuna Rais,Wazir mkuu,mawaziri,wakuu wa mikoa na wilaya.Wakurugenzi na nk.Sasa kwa Sasa suala linalotengenezwa na wahuni wachache ,wanataka kuwafanya watanzania kuwa hawana uelewa wowote.Kumbe wao ndio sisi tunawaona Kama mazombi tu.Nitaongea issue mbili.Kwanza issue ya kusema serikali iliyopita iliiba pesa.Basi wote waliokuwemo watakuwa wameiba.Pili.Unaposema GAG ,ametoa report.Ni suala la interpretation tu.Report inakuwepo lakin je physical verification zimefanyika kuhusu hizo document?Zitto Kabwe ni mburura.Hajui kitu.Amesoma economic.Sisi wataalamu wa uhasibu ,tunajua kuwa ni mpumbavu tu.Halafu kwa Sasa ategemee maadui wengi.
Ona sasa upuuzi unaoandika!! Pesa za barabara zinatoka road fund huko zinatunzwa hazina na pesa inatoka procedure zinafahamika.tuna inteprete sio siasa za mavi mnazozianzisha.Tuna interprete kuwa hii pesa ilitumika kujenga Barbara.Document zake zilikuwa hazijafika.
Acheni unafiki maendeleo yakitokea mnadai JPM amefanya... Ikitokea ufisadi mnadai kina SSH na Mpango wanahusika!!!mnamtukana Dr Mpango na mawaziri Kama Mwiguru kwa kuwa nao ilikuwa sehemu ya serikali.Serikali haiwezi kuwa ya mtu mmoja.
CAG aonyeshe cashflow?? Hivi unaongea vitu Gani wewe? Cashflow kwenye Plea Bargaining account iliyopo BOT?Inaonekana welewa wako ni mdogo Sana kwenye Mambo ya finance na accounting.Yaan umebase Sana kwenye siasa za uongo uongo tu.Hiyo pesa unayosema ni pesa ndefu Sana.Hata Kama mtu anatumia kwa siku million 10 haiwezi kuisha.GAG Sasa aonyshe cash outflow ,ili tujue ipo bank gani Kama ni kweli.Kama unabaki kupiga kelele kwa siasa za kihuni tu ,watanzania kwa Sasa wanaufahamu na wanaelewa.Kigoma Malima alihamisha pesa nyingi Sana kwenda Nje.Lakin zilijulikana kuwa zipo bank Fulani.Sasa nyie machawa wa Kikwete msio just kuwa mnajenga maadui kwa baadae.Mtajuta.