Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Anzisha uzi juu ya hoja ya slaa, tuna hoja mezani kwa sasa lete hoja zako!Slaa amesema red brigade ya chadema hua inateka watu na kuua watu.
Hiyo mada sioni ikijadiliwa vya kutosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anzisha uzi juu ya hoja ya slaa, tuna hoja mezani kwa sasa lete hoja zako!Slaa amesema red brigade ya chadema hua inateka watu na kuua watu.
Hiyo mada sioni ikijadiliwa vya kutosha.
Kwa jinsi serikali ilivyoonyesha ina mtamani Mbowe mpaka kumpa kesi ya kubumba, Unafikiri hizi tuhuma zingekuwa za kweli saizi angekuwa uraiani?Slaa amesema red brigade ya chadema hua inateka watu na kuua watu.
Hiyo mada sioni ikijadiliwa vya kutosha.
Nakazia hapoKwa jinsi serikali ilivyoonyesha ina mtamani Mbowe mpaka kumpa kesi ya kubumba, Unafikiri hizi tuhuma zingekuwa za kweli saizi angekuwa uraiani?
Nyie masalia ya mwendazake naona aliendazake na akili zenu!.
Anayefisadi anapeleka pesa benki ili ushahidi uwepo?Kwa
Kwa hiyo zipo bank gani?Kama wahuni wanatuhakikishia kwamba pesa hizo zilichukuliwa.Watuambie zipo bank ipi.Sio kutuletea maneno ya uongo yasuo na ushahid.
Kanusha kwa hoja basi hayo wanomsingizia nayoCag huyu na aliyepita ni waongo sana,nchi hii imekaa kiuzushi zushi sana. Hahaaaaaa! Ndo maana wanamsingizia marehemu eti alivuruga uchaguzi wa serikali za mitaa (2019) na wanaenda mbali zaidi wanadai kulikuwa na kura feki kwenye mabegi(2020) [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
The vice versa is true😀😀😀😀😀😀😀Kanusha kwa hoja basi hayo wanomsingizia nayo
Hapana hakuna Sheria iliyokua imetungwa kuwa hizo pesa ziende wapi. Nadhani huo mwanya alioacha JPM ndio ulihalalisha watu kujimilikisha hizo pesa.Either mnasoma vibaya hiyo ripoti na kupotosha, au CAG wetu ni kiazi.
Waliohusika na Jambo hili bado wapo hai na wengine wamepewa vyeo vipya , akiwemo aliyekuwa DPP , Hii nchi ilipofikia hata Mungu kishaikatia Tamaa .Katika kile kinachoonekana kama kumbe kesi za Uhujumu Uchumi zilizofungliwa kwa wingi Awamu ya Tano, ule ulikuwa mradi wa kuwachuna wafanya biasharra na wahasimu wa Awamu hiyo.
Watuhumiwa wengi walilazimishwa kuingia kitu inaitwa plea bargainning kitu ambacho sasa ikawa kama hivi:
- Kesi ya kubambikwa inatayarishwa
- Polisi wanaamriwa kukuweka ndani
- Wanasheria wa Ofisi ya DPP ambao hawana hata habari kesi inahusu nini, watajifaragua mwaka mzima au hata mpaka mitano
- Ofisi ya DPP mwishowe inakukaribisha mtuhumiwa na mshitaki mkae chini, ili kiofisi ununue uhuru wako!!
Picha ndiyo hiyo, na CAG sasa inaelekea amethibitisha ile mihela mabilioni ya Harbinder Singh(wa IPTL) na hata yule Mohammed (wa milioni saba kwa dakika), hela hizo hazimo kwenye vitabu vya serikali!
View attachment 2202262
Hongera Awamu ya Tano kwa ufisadi wa kiwango cha PhD.
Lakini hii ni tetesi tu ya mtu wetu CAG!
Si ukasome ripoti ya CAG ipo public mbona mnakuza wavivu kiasi hiki!! Badala udai PAC ipeleke Hilo suala bungeni unatetea mafisadi. CAG aandike uongo anufaike nini? Wakati cheo chake hawezi tumbuliwa na bajeti yake haiandaliwi na serikali Bali na Kamati ya bunge!!Kwa
Kwa hiyo zipo bank gani?Kama wahuni wanatuhakikishia kwamba pesa hizo zilichukuliwa.Watuambie zipo bank ipi.Sio kutuletea maneno ya uongo yasuo na ushahid.
Sitaki.jikite kwenye mada
Ile ripoti ya CAG bado haijawa Tabled kule Bungeni.Katika kile kinachoonekana kama kumbe kesi za Uhujumu Uchumi zilizofungliwa kwa wingi Awamu ya Tano, ule ulikuwa mradi wa kuwachuna wafanya biasharra na wahasimu wa Awamu hiyo.
Watuhumiwa wengi walilazimishwa kuingia kitu inaitwa plea bargainning kitu ambacho sasa ikawa kama hivi:
- Kesi ya kubambikwa inatayarishwa
- Polisi wanaamriwa kukuweka ndani
- Wanasheria wa Ofisi ya DPP ambao hawana hata habari kesi inahusu nini, watajifaragua mwaka mzima au hata mpaka mitano
- Ofisi ya DPP mwishowe inakukaribisha mtuhumiwa na mshitaki mkae chini, ili kiofisi ununue uhuru wako!!
Picha ndiyo hiyo, na CAG sasa inaelekea amethibitisha ile mihela mabilioni ya Harbinder Singh(wa IPTL) na hata yule Mohammed (wa milioni saba kwa dakika), hela hizo hazimo kwenye vitabu vya serikali!
View attachment 2202262
Hongera Awamu ya Tano kwa ufisadi wa kiwango cha PhD.
Lakini hii ni tetesi tu ya mtu wetu CAG!
Nani amezusha!! Mbona hata Diallo amekiri mlipora kura huko Mwanza mkapitisha madiwani wa mchongo.Cag huyu na aliyepita ni waongo sana,nchi hii imekaa kiuzushi zushi sana. Hahaaaaaa! Ndo maana wanamsingizia marehemu eti alivuruga uchaguzi wa serikali za mitaa (2019) na wanaenda mbali zaidi wanadai kulikuwa na kura feki kwenye mabegi(2020) 😀😀😀😀
Hawa jamaa wamejipanga kwelikweli!, kwa kushirikiana na wahuni ili adhima yao itimie!, lakini watanzania sio wa enzi hizo!Ile ripoti ya CAG bado haijawa Tabled kule Bungeni.
Kamati ya kudumu ya hesabu za serikali,bado haijaipitia na kuwaita wahusika ili kufanya verification ya taarifa.
Kuna project mnayoiendeleza kwa ushirika na Msoga ili kujiimarisha tena ili kuelekea 2025.
Tunawaona......Tunawajua.....na tunazijua mbinu zenu enyi Team Kinana & Msoga Company.
Endeleeni kumchezea huyo mateka wenu!
Lakini sio kundi la watanzania.
Msipotoshe hiyo ripoti kabla haijawa tabled huwa mna siku sio chini ya 21 kujibu hizo queries kama hamjibu ndio Zina appear kwa ripoti na hizo ni baada ya vikao na Accounting officers wa wizara na taasisi zilizokaguliwa kushindwa kujibu hizo hoja in time.Ile ripoti ya CAG bado haijawa Tabled kule Bungeni.
Kamati ya kudumu ya hesabu za serikali,bado haijaipitia na kuwaita wahusika ili kufanya verification ya taarifa.
Kuna project mnayoiendeleza kwa ushirika na Msoga ili kujiimarisha tena ili kuelekea 2025.
Tunawaona......Tunawajua.....na tunazijua mbinu zenu enyi Team Kinana & Msoga Company.
Endeleeni kumchezea huyo mateka wenu!
Lakini sio kundi la watanzania.
Waliohusika na Jambo hili bado wapo hai na wengine wamepewa vyeo vipya , akiwemo aliyekuwa DPP , Hii nchi ilipofikia hata Mungu kishaikatia Tamaa .
Hata kuiombea ni sawa na kupoteza muda tu .