Pinga ripotii yake kwa vigezoMkuu Mh. CPA Kichere ile ripoti kaipika kwa viungo toka Zanzibar. Yaani ukaguzi wake yeye kaangalia vitu ambavyo vinafanya vionekane ni vibaya tu. Hata ile ripoti baada ya Dkt Magufuli ilikuwa ya kupikwa maana alifumua na kuanza kupika vitu.
Magufuli alikopa trilioni 29 kwa miaka 5 tu...Huu ni mkopo mkubwa zaidi kuchukuliwa na Rais wa Tanzania
Na huyu CAG alichaguliwa na Magufuli baada ya kumuona Assad hafai
Swali ni je kwa nini utawala wa Magufuli unagombana na kila CAG?
Hao waliokopa karibia Trillion 10 ndani ya mwaka mmoja wamefanya nini zaidi kujenga vyoo? Rejea kauli ya spika mstaafu.Magufuli alikopa trilioni 29 kwa miaka 5 tu...Huu ni mkopo mkubwa zaidi kuchukuliwa na Rais wa Tanzania
Na huyu CAG alichaguliwa na Magufuli baada ya kumuona Assad hafai
Swali ni je kwa nini utawala wa Magufuli unagombana na kila CAG?
CAG akujibu nini hapo Sasa,yeye ni kukagua na kubaini dosari na kuimba ufafanuzi au maelezo kuhusiana na dosori yenyewe kabisa.🤔Mimi maswali yangu ni haya;~
Utawala wa Magufuli unaonekana ulikuwa wa kipigaji sana, je aliwezaje
1. Kununua ndege 11 mpya tena bila mkopo?
2. Kujenga madaraja yote haya?
3. Kujenga Fly over hizi?
4. Kujenga meli kubwa mpya zile na kukarabati meli za zamani?
5. Kuhamishia serikali Dodoma na kuanza ujenzi wa Ikulu kubwa namna ile?
6. Kujenga viwanja vya ndege na kukarabati vya zamani kwa ujumla wake 13?
7. Kujenga Vituo vya Afya takriban 500 na Zahanati 1800?
8. Kujenga Hospitali za Wilaya, za rufaa na za kanda kwa kiwango kile?
9. Kusambaza umeme katika vijiji 7,000?
10. Kujenga masoko ya kimataifa ? Ukianzia Dar es salaam yako masoko kadhaa ya kimataifa, Kisutu, Magomeni, Mwananyamala, Iringa mjini, Dodoma pale soko la Ndungai.
11. Kujenga Mahakama za kisasa karibu kila mkoa?
12. Kujenga barabara za lami kila mahali mijini? Tena barabara za kiwango cha kimataifa na taa za barabarani?
13. Kujenga SGR_ Standard Gauge Railway tena yakutumia umeme?
14. Kujenga Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere?
15. Kujenga maabara za shule za kata na kuzikarabati shule zote za Sekondari Kongwe?
16. Elimu bure nchi nzima kuanzia shule za msingi mpaka kidato cha nne?
17. Ununuzi na ufungaji wa Rada kuilinda anga ya Tanzania?
18. Kufufua Reli ya Dar es Salaam, Tanga Moshi Arusha iliyosimama kwa miaka 30?
Najiuliza aliwezaje kufanya yote haya kwa muda wa Miaka Mitano na Miezi Mitano tu? Aliwezaje kuimudu Corona na hatukupigwa Lockdown? Kwa muda wote wa uongozi wake.
Haya ndio maswali nahitaji majibu.
Mkuu wangu Zito pia mwanauchumi naomba jitokeze kuokoa hili jahazi.
Watu gani hao?Hao waliokopa karibia Trillion 10 ndani ya mwaka mmoja wamefanya nini zaidi kujenga vyoo? Rejea kauli ya spika mstaafu.
Wanatafuta pesa bado 😂Hawa wasio wapigaji tungetarajia wafanye makubwa zaidi, lakini blah blah tupu.
Na ambaye haifanyi hiyo pesa zinaenda wapi? Tuambie makusanyo ya tozo taarifa zake unazo? Kama hazikutangazwa mwanzoni tu baada ya hapo kimya. Pesa inatumika wapi?Wewe ni mpumbavu,huto tumiradi ambayo hata hatukumalizika ndio tunafanya mtu asiwe fisadi?
Kwanza humo humo kwenye miradi ndio walikuwa wanapiga.
Ktk professional ya ukaguzi naweza kuamua kucha baadhi ya evidence au process ili niandike majibu ya kile ninachotaka. Hivi hujiulizi kwa nini wakaguzi wa National Audit office (NAO) mishahara laki tatu tena wengine ACCA kabisa ila wana maisha kuzidi na wafanyakazi wa BOT au TRA? Hayo ndiyo majibu, yaani mkaguzi akija kukukagua anaweza aka ignore procedures au evidence ili akulime na mashirika mengi ya umma yanatoa rushwa kuwapoza wakaguzi, hakuna professional serikalini yenye rushwa kama wakaguzi. Na ndicho kilichofanyika kwa CAGPinga ripotii yake kwa vigezo
Yeye kataja objectives,scope,methodology alizotumia kufanya ukaguzi
Wewe unatumia hisia
CAG hayumo humu!Mimi maswali yangu ni haya;~
Utawala wa Magufuli unaonekana ulikuwa wa kipigaji sana, je aliwezaje
1. Kununua ndege 11 mpya tena bila mkopo?
2. Kujenga madaraja yote haya?
3. Kujenga Fly over hizi?
4. Kujenga meli kubwa mpya zile na kukarabati meli za zamani?
5. Kuhamishia serikali Dodoma na kuanza ujenzi wa Ikulu kubwa namna ile?
6. Kujenga viwanja vya ndege na kukarabati vya zamani kwa ujumla wake 13?
7. Kujenga Vituo vya Afya takriban 500 na Zahanati 1800?
8. Kujenga Hospitali za Wilaya, za rufaa na za kanda kwa kiwango kile?
9. Kusambaza umeme katika vijiji 7,000?
10. Kujenga masoko ya kimataifa ? Ukianzia Dar es salaam yako masoko kadhaa ya kimataifa, Kisutu, Magomeni, Mwananyamala, Iringa mjini, Dodoma pale soko la Ndungai.
11. Kujenga Mahakama za kisasa karibu kila mkoa?
12. Kujenga barabara za lami kila mahali mijini? Tena barabara za kiwango cha kimataifa na taa za barabarani?
13. Kujenga SGR_ Standard Gauge Railway tena yakutumia umeme?
14. Kujenga Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere?
15. Kujenga maabara za shule za kata na kuzikarabati shule zote za Sekondari Kongwe?
16. Elimu bure nchi nzima kuanzia shule za msingi mpaka kidato cha nne?
17. Ununuzi na ufungaji wa Rada kuilinda anga ya Tanzania?
18. Kufufua Reli ya Dar es Salaam, Tanga Moshi Arusha iliyosimama kwa miaka 30?
Najiuliza aliwezaje kufanya yote haya kwa muda wa Miaka Mitano na Miezi Mitano tu? Aliwezaje kuimudu Corona na hatukupigwa Lockdown? Kwa muda wote wa uongozi wake.
Haya ndio maswali nahitaji majibu.
Mkuu wangu Zito pia mwanauchumi naomba jitokeze kuokoa hili jahazi.
Kwahiyo CAG wa zamani na wasasa wote ni waongo? Upigaji ni upigaji tu maana hata ule 1.5tr mpaka ldo hakuna majibu yanayoeleweka
Chukua mkopo wa JK in Usd then u convert into Tzs using the current value ya 1usd = 2300.Magufuli alikopa trilioni 29 kwa miaka 5 tu...Huu ni mkopo mkubwa zaidi kuchukuliwa na Rais wa Tanzania
Na huyu CAG alichaguliwa na Magufuli baada ya kumuona Assad hafai
Swali ni je kwa nini utawala wa Magufuli unagombana na kila CAG?
Ndio maana nakwambia huna akili,nani hafanyi sasa?Na ambaye haifanyi hiyo pesa zinaenda wapi? Tuambie makusanyo ya tozo taarifa zake unazo? Kama hazikutangazwa mwanzoni tu baada ya hapo kimya. Pesa inatumika wapi?