CAG kama umo humu naomba unijibu haya maswali

CAG kama umo humu naomba unijibu haya maswali

Haya yote yanahalslisha ufisadi? Pia kumbuka kilichojengwa ni kwa kodi zetu, yeye alikuwa msimamizi, ok na tulimlipa. Pesa iliyofisadiwa ni kodi zetu, tunapaswa kumuuliza na tuna haki ya kupewa majibu na wezi wawajibishwe.
Sawa kwa kodi zetu,saizi tunapigwa mpaka na Tozo...
Na bado sioni maendeleo
 
Huu uzi utawavua nguo janja janja na jingajinga wamchukiao mpendwa wetu JPM...
 
Una ufahamu na kitu kinachojulikana Kama WHITE ELEPHANT? Ni miradi mikubwa inayobatizwa jina la miradi ya kimkamkati ambayo pesa nyingi hutumbukizwa humo na kuliwa na wajanja! Miradi yote uliyoitaja ni sampuli za white elephant ma ina vinasaba vyote vya white elephant!
So, wanasiasa na viongozi wote wanatia mikono Yao na kuchota fedha zilizoelekezwa humo na kuzitumia na familia zao! Usimlaumu CAG Bali wanasiasa waliobuni miradi hiyo Kwa lengo la kuiba fedha za umma!
Dah.....mkuu.....Hakuna mradi hata mmoja wa JPM ambao unaweza kuuita white elephant.....miradi yote inaoneka kwa uhalisi wake wa thamani. Kasome Tena Nini maana ya miradi ya white elephant 😂😂😂😂
 
Ni kweli hayo yote yamefanyika lkn waliodhurumiwa haki zao ni wengi mno, mfano, watumishi kitopanda vyeo, hela ya likizo, kuunganisha familia za watumishi, OC hazitumwi, kutoajiri, nk hivyo vyote hakufanya kwa kisingizio kuwa hakuna hela. Watumishi maofisi walikuwa wananunua karatasi au wino wenyewe kwa hela yao, night allowance unapewa siku 3 wakati kazi ni ya siku 5.
 
Mimi maswali yangu ni haya;~

Utawala wa Magufuli unaonekana ulikuwa wa kipigaji sana, je aliwezaje

1. Kununua ndege 11 mpya tena bila mkopo?

2. Kujenga madaraja yote haya?

3. Kujenga Fly over hizi?

4. Kujenga meli kubwa mpya zile na kukarabati meli za zamani?

5. Kuhamishia serikali Dodoma na kuanza ujenzi wa Ikulu kubwa namna ile?

6. Kujenga viwanja vya ndege na kukarabati vya zamani kwa ujumla wake 13?

7. Kujenga Vituo vya Afya takriban 500 na Zahanati 1800?

8. Kujenga Hospitali za Wilaya, za rufaa na za kanda kwa kiwango kile?

9. Kusambaza umeme katika vijiji 7,000?

10. Kujenga masoko ya kimataifa ? Ukianzia Dar es salaam yako masoko kadhaa ya kimataifa, Kisutu, Magomeni, Mwananyamala, Iringa mjini, Dodoma pale soko la Ndungai.

11. Kujenga Mahakama za kisasa karibu kila mkoa?

12. Kujenga barabara za lami kila mahali mijini? Tena barabara za kiwango cha kimataifa na taa za barabarani?

13. Kujenga SGR_ Standard Gauge Railway tena yakutumia umeme?

14. Kujenga Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere?

15. Kujenga maabara za shule za kata na kuzikarabati shule zote za Sekondari Kongwe?

16. Elimu bure nchi nzima kuanzia shule za msingi mpaka kidato cha nne?

17. Ununuzi na ufungaji wa Rada kuilinda anga ya Tanzania?

18. Kufufua Reli ya Dar es Salaam, Tanga Moshi Arusha iliyosimama kwa miaka 30?

Najiuliza aliwezaje kufanya yote haya kwa muda wa Miaka Mitano na Miezi Mitano tu? Aliwezaje kuimudu Corona na hatukupigwa Lockdown? Kwa muda wote wa uongozi wake.

Haya ndio maswali nahitaji majibu.

Mkuu wangu Zito pia mwanauchumi naomba jitokeze kuokoa hili jahazi.
Mkopo Tril. 42- 70 for five years, hata pierce liquid mlevi anaweza
 
JPM will remain as the best president Tanzania have had. Ukiwa na akili za kijinga na malaya wa rushwa, ufisadi na wizi wa mali ya umma ndio utasimama na kumtukana Late JPM.

Kimantiki unashangilia upandaji madaraja na nyongeza ya 5000 ya mshahara wakati... ulipopanda hapajaboreshwa na unaendelea kutekeleza majukumu yaleyale..kwa usimamizi uleule refer maafisa magereza wanaorudi kushinda na wafungwa wakiwa na nyota mabegani... unashangilia ongezeko la mishahara wakati gharama za bidhaa bei juu zaidi ya 45% ya bei za kawaida... mfano karanga kilo ilikuwa 1800 leo 2800 mpya 3000 za last year... sijaongelea karatasi ...Rim toka 8000 mpaka 20,000 bado kuna mijitu mijinga na mifisadi kama Zitto, Bi tozo na genge lao la msoga aka anaupigwa mwingi wanamtukana JPM... mbwa kabisa.

Na huyu mama yenu muuongaza vikoba mwisho hii mitano ya marehemu baada ya hapo tutajua cha kufanya.
Kupanda kwa vitu hata ulaya na nchi jirani vimepanda, wewe huko dunia ipi?? Ream kampala ni tsh 21,000
 
aliwezaje kujenga daraja la tanzanite ? aliwezaje kujenga daraja la busisi ? aliwezaje kuhamisha makao makuu dodoma wakati marais wote walishidwa kwa ukosefu wa pesa?
Mikopo ile tena ya riba ya nuu
 
Ofisi ya CAG huwa wanajisikiaje pindi ngonjera zao wasomazo kimya mwaka then Hakuna mamlaka yeyeto inayochukua hatua kuhusu upigaji
 
CAG wa sasa ambae alikuwa swahiba wa jiwe akiwa boss wa TRA alishushwa cheo kuwa DAS Njombe kisha baada ya Asad kupigwa chini akapewa nafasi hio na swahiba wake naona kaamua kumchafua jiwe.
 
Kwani Ripoti ya CAG ni ya nini?

CAG analeta Ripoti humu, tena yenye kulenga kuendeleza uhasama? Wapi! Halitawezekana!


Eti CAG aje humu?

Taarifa zote anazozitafuta huyu mleta mada zimejaa tele humu JF.

Najiuliza anatafuta nini huyu mleta mada.

Kinachochekesha ni kuona jinsi ma-CAG walivyo wengi, tsk tsk🧐
Ripoti zipo kwenye tovuti za Serikali. Kama unapoteza bando kuja kulaghahiwa hapa ni shauri yako.

Nilikuwemo-simo.
 
Mimi maswali yangu ni haya;~

Utawala wa Magufuli unaonekana ulikuwa wa kipigaji sana, je aliwezaje

1. Kununua ndege 11 mpya tena bila mkopo?

2. Kujenga madaraja yote haya?

3. Kujenga Fly over hizi?

4. Kujenga meli kubwa mpya zile na kukarabati meli za zamani?

5. Kuhamishia serikali Dodoma na kuanza ujenzi wa Ikulu kubwa namna ile?

6. Kujenga viwanja vya ndege na kukarabati vya zamani kwa ujumla wake 13?

7. Kujenga Vituo vya Afya takriban 500 na Zahanati 1800?

8. Kujenga Hospitali za Wilaya, za rufaa na za kanda kwa kiwango kile?

9. Kusambaza umeme katika vijiji 7,000?

10. Kujenga masoko ya kimataifa ? Ukianzia Dar es salaam yako masoko kadhaa ya kimataifa, Kisutu, Magomeni, Mwananyamala, Iringa mjini, Dodoma pale soko la Ndungai.

11. Kujenga Mahakama za kisasa karibu kila mkoa?

12. Kujenga barabara za lami kila mahali mijini? Tena barabara za kiwango cha kimataifa na taa za barabarani?

13. Kujenga SGR_ Standard Gauge Railway tena yakutumia umeme?

14. Kujenga Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere?

15. Kujenga maabara za shule za kata na kuzikarabati shule zote za Sekondari Kongwe?

16. Elimu bure nchi nzima kuanzia shule za msingi mpaka kidato cha nne?

17. Ununuzi na ufungaji wa Rada kuilinda anga ya Tanzania?

18. Kufufua Reli ya Dar es Salaam, Tanga Moshi Arusha iliyosimama kwa miaka 30?

Najiuliza aliwezaje kufanya yote haya kwa muda wa Miaka Mitano na Miezi Mitano tu? Aliwezaje kuimudu Corona na hatukupigwa Lockdown? Kwa muda wote wa uongozi wake.

Haya ndio maswali nahitaji majibu.

Mkuu wangu Zito pia mwanauchumi naomba jitokeze kuokoa hili jahazi.
Hajawahi kuimudu corona hebu tuache uzandiki
 
Mimi maswali yangu ni haya;~

Utawala wa Magufuli unaonekana ulikuwa wa kipigaji sana, je aliwezaje

1. Kununua ndege 11 mpya tena bila mkopo?

2. Kujenga madaraja yote haya?

3. Kujenga Fly over hizi?

4. Kujenga meli kubwa mpya zile na kukarabati meli za zamani?

5. Kuhamishia serikali Dodoma na kuanza ujenzi wa Ikulu kubwa namna ile?

6. Kujenga viwanja vya ndege na kukarabati vya zamani kwa ujumla wake 13?

7. Kujenga Vituo vya Afya takriban 500 na Zahanati 1800?

8. Kujenga Hospitali za Wilaya, za rufaa na za kanda kwa kiwango kile?

9. Kusambaza umeme katika vijiji 7,000?

10. Kujenga masoko ya kimataifa ? Ukianzia Dar es salaam yako masoko kadhaa ya kimataifa, Kisutu, Magomeni, Mwananyamala, Iringa mjini, Dodoma pale soko la Ndungai.

11. Kujenga Mahakama za kisasa karibu kila mkoa?

12. Kujenga barabara za lami kila mahali mijini? Tena barabara za kiwango cha kimataifa na taa za barabarani?

13. Kujenga SGR_ Standard Gauge Railway tena yakutumia umeme?

14. Kujenga Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere?

15. Kujenga maabara za shule za kata na kuzikarabati shule zote za Sekondari Kongwe?

16. Elimu bure nchi nzima kuanzia shule za msingi mpaka kidato cha nne?

17. Ununuzi na ufungaji wa Rada kuilinda anga ya Tanzania?

18. Kufufua Reli ya Dar es Salaam, Tanga Moshi Arusha iliyosimama kwa miaka 30?

Najiuliza aliwezaje kufanya yote haya kwa muda wa Miaka Mitano na Miezi Mitano tu? Aliwezaje kuimudu Corona na hatukupigwa Lockdown? Kwa muda wote wa uongozi wake.

Haya ndio maswali nahitaji majibu.

Mkuu wangu Zito pia mwanauchumi naomba jitokeze kuokoa hili jahazi.
Hawezi kukujibu huyo, wanajitahidi kuondoa mazuri ya JPM ili ule upuuzi uendelee, hii nchi ni ya wabebaji
 
Magufuli alikopa trilioni 29 kwa miaka 5 tu...Huu ni mkopo mkubwa zaidi kuchukuliwa na Rais wa Tanzania

Na huyu CAG alichaguliwa na Magufuli baada ya kumuona Assad hafai

Swali ni je kwa nini utawala wa Magufuli unagombana na kila CAG?
Watu wanaweza kuchota pesa na wakamsingizia aliye kwenda kua alikopa, msicheze na wanadamu acheni kufikiri kudogo
 
Back
Top Bottom