Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Sawa kwa kodi zetu,saizi tunapigwa mpaka na Tozo...Haya yote yanahalslisha ufisadi? Pia kumbuka kilichojengwa ni kwa kodi zetu, yeye alikuwa msimamizi, ok na tulimlipa. Pesa iliyofisadiwa ni kodi zetu, tunapaswa kumuuliza na tuna haki ya kupewa majibu na wezi wawajibishwe.
Dah.....mkuu.....Hakuna mradi hata mmoja wa JPM ambao unaweza kuuita white elephant.....miradi yote inaoneka kwa uhalisi wake wa thamani. Kasome Tena Nini maana ya miradi ya white elephant 😂😂😂😂Una ufahamu na kitu kinachojulikana Kama WHITE ELEPHANT? Ni miradi mikubwa inayobatizwa jina la miradi ya kimkamkati ambayo pesa nyingi hutumbukizwa humo na kuliwa na wajanja! Miradi yote uliyoitaja ni sampuli za white elephant ma ina vinasaba vyote vya white elephant!
So, wanasiasa na viongozi wote wanatia mikono Yao na kuchota fedha zilizoelekezwa humo na kuzitumia na familia zao! Usimlaumu CAG Bali wanasiasa waliobuni miradi hiyo Kwa lengo la kuiba fedha za umma!
Mkopo Tril. 42- 70 for five years, hata pierce liquid mlevi anawezaMimi maswali yangu ni haya;~
Utawala wa Magufuli unaonekana ulikuwa wa kipigaji sana, je aliwezaje
1. Kununua ndege 11 mpya tena bila mkopo?
2. Kujenga madaraja yote haya?
3. Kujenga Fly over hizi?
4. Kujenga meli kubwa mpya zile na kukarabati meli za zamani?
5. Kuhamishia serikali Dodoma na kuanza ujenzi wa Ikulu kubwa namna ile?
6. Kujenga viwanja vya ndege na kukarabati vya zamani kwa ujumla wake 13?
7. Kujenga Vituo vya Afya takriban 500 na Zahanati 1800?
8. Kujenga Hospitali za Wilaya, za rufaa na za kanda kwa kiwango kile?
9. Kusambaza umeme katika vijiji 7,000?
10. Kujenga masoko ya kimataifa ? Ukianzia Dar es salaam yako masoko kadhaa ya kimataifa, Kisutu, Magomeni, Mwananyamala, Iringa mjini, Dodoma pale soko la Ndungai.
11. Kujenga Mahakama za kisasa karibu kila mkoa?
12. Kujenga barabara za lami kila mahali mijini? Tena barabara za kiwango cha kimataifa na taa za barabarani?
13. Kujenga SGR_ Standard Gauge Railway tena yakutumia umeme?
14. Kujenga Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere?
15. Kujenga maabara za shule za kata na kuzikarabati shule zote za Sekondari Kongwe?
16. Elimu bure nchi nzima kuanzia shule za msingi mpaka kidato cha nne?
17. Ununuzi na ufungaji wa Rada kuilinda anga ya Tanzania?
18. Kufufua Reli ya Dar es Salaam, Tanga Moshi Arusha iliyosimama kwa miaka 30?
Najiuliza aliwezaje kufanya yote haya kwa muda wa Miaka Mitano na Miezi Mitano tu? Aliwezaje kuimudu Corona na hatukupigwa Lockdown? Kwa muda wote wa uongozi wake.
Haya ndio maswali nahitaji majibu.
Mkuu wangu Zito pia mwanauchumi naomba jitokeze kuokoa hili jahazi.
Nchii ina wapumbavu wengi Sana badala ya kuumizwa na huu ufisadi unaandika upuuziMimi namsubiri CAG ashushe nondo hapa.
Kupanda kwa vitu hata ulaya na nchi jirani vimepanda, wewe huko dunia ipi?? Ream kampala ni tsh 21,000JPM will remain as the best president Tanzania have had. Ukiwa na akili za kijinga na malaya wa rushwa, ufisadi na wizi wa mali ya umma ndio utasimama na kumtukana Late JPM.
Kimantiki unashangilia upandaji madaraja na nyongeza ya 5000 ya mshahara wakati... ulipopanda hapajaboreshwa na unaendelea kutekeleza majukumu yaleyale..kwa usimamizi uleule refer maafisa magereza wanaorudi kushinda na wafungwa wakiwa na nyota mabegani... unashangilia ongezeko la mishahara wakati gharama za bidhaa bei juu zaidi ya 45% ya bei za kawaida... mfano karanga kilo ilikuwa 1800 leo 2800 mpya 3000 za last year... sijaongelea karatasi ...Rim toka 8000 mpaka 20,000 bado kuna mijitu mijinga na mifisadi kama Zitto, Bi tozo na genge lao la msoga aka anaupigwa mwingi wanamtukana JPM... mbwa kabisa.
Na huyu mama yenu muuongaza vikoba mwisho hii mitano ya marehemu baada ya hapo tutajua cha kufanya.
Mikopo ile tena ya riba ya nuualiwezaje kujenga daraja la tanzanite ? aliwezaje kujenga daraja la busisi ? aliwezaje kuhamisha makao makuu dodoma wakati marais wote walishidwa kwa ukosefu wa pesa?
Wamezikwa naye kama alivyoshauri zitoWananchi waliowengi wapo na JPM propaganda za kumchafua Magufuli wala awakubaliani nazo hata chembe.
Hello daraja lilikuwa kwenye 95% wakati jpm anafariki ,ndo hizo 5% mama kamalizia kwa shida kweli .hata njia ya 8 kutoka kimara kibaha ujenz ulikuw kwa 91 lakini huwezi amin mpaka sasa ndo hivyo mradi haumalizilkiAwamu hii mwaka mzima wamemalizia daraja moja tu la Tanzanite.
Wanaongea sana ila matendo hakuna.Hello daraja lilikuwa kwenye 95% wakati jpm anafariki ,ndo hizo 5% mama kamalizia kwa shida kweli .hata njia ya 8 kutoka kimara kibaha ujenz ulikuw kwa 91 lakini huwezi amin mpaka sasa ndo hivyo mradi haumalizilki
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo hela walizopiga zimeenda wapi? Maana JPM anatakiwa kuwa tajiri wa AfricaWewe ni mpumbavu,huto tumiradi ambayo hata hatukumalizika ndio tunafanya mtu asiwe fisadi?
Kwanza humo humo kwenye miradi ndio walikuwa wanapiga.
Hajawahi kuimudu corona hebu tuache uzandikiMimi maswali yangu ni haya;~
Utawala wa Magufuli unaonekana ulikuwa wa kipigaji sana, je aliwezaje
1. Kununua ndege 11 mpya tena bila mkopo?
2. Kujenga madaraja yote haya?
3. Kujenga Fly over hizi?
4. Kujenga meli kubwa mpya zile na kukarabati meli za zamani?
5. Kuhamishia serikali Dodoma na kuanza ujenzi wa Ikulu kubwa namna ile?
6. Kujenga viwanja vya ndege na kukarabati vya zamani kwa ujumla wake 13?
7. Kujenga Vituo vya Afya takriban 500 na Zahanati 1800?
8. Kujenga Hospitali za Wilaya, za rufaa na za kanda kwa kiwango kile?
9. Kusambaza umeme katika vijiji 7,000?
10. Kujenga masoko ya kimataifa ? Ukianzia Dar es salaam yako masoko kadhaa ya kimataifa, Kisutu, Magomeni, Mwananyamala, Iringa mjini, Dodoma pale soko la Ndungai.
11. Kujenga Mahakama za kisasa karibu kila mkoa?
12. Kujenga barabara za lami kila mahali mijini? Tena barabara za kiwango cha kimataifa na taa za barabarani?
13. Kujenga SGR_ Standard Gauge Railway tena yakutumia umeme?
14. Kujenga Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere?
15. Kujenga maabara za shule za kata na kuzikarabati shule zote za Sekondari Kongwe?
16. Elimu bure nchi nzima kuanzia shule za msingi mpaka kidato cha nne?
17. Ununuzi na ufungaji wa Rada kuilinda anga ya Tanzania?
18. Kufufua Reli ya Dar es Salaam, Tanga Moshi Arusha iliyosimama kwa miaka 30?
Najiuliza aliwezaje kufanya yote haya kwa muda wa Miaka Mitano na Miezi Mitano tu? Aliwezaje kuimudu Corona na hatukupigwa Lockdown? Kwa muda wote wa uongozi wake.
Haya ndio maswali nahitaji majibu.
Mkuu wangu Zito pia mwanauchumi naomba jitokeze kuokoa hili jahazi.
CAG wa zamani alitumika na genge la wale jamaa kutaka kumchafua Dkt Magufuli na serikali, nasema Prof ni mdini mno na hana weledi wa utumishi wa umma.
Hawezi kukujibu huyo, wanajitahidi kuondoa mazuri ya JPM ili ule upuuzi uendelee, hii nchi ni ya wabebajiMimi maswali yangu ni haya;~
Utawala wa Magufuli unaonekana ulikuwa wa kipigaji sana, je aliwezaje
1. Kununua ndege 11 mpya tena bila mkopo?
2. Kujenga madaraja yote haya?
3. Kujenga Fly over hizi?
4. Kujenga meli kubwa mpya zile na kukarabati meli za zamani?
5. Kuhamishia serikali Dodoma na kuanza ujenzi wa Ikulu kubwa namna ile?
6. Kujenga viwanja vya ndege na kukarabati vya zamani kwa ujumla wake 13?
7. Kujenga Vituo vya Afya takriban 500 na Zahanati 1800?
8. Kujenga Hospitali za Wilaya, za rufaa na za kanda kwa kiwango kile?
9. Kusambaza umeme katika vijiji 7,000?
10. Kujenga masoko ya kimataifa ? Ukianzia Dar es salaam yako masoko kadhaa ya kimataifa, Kisutu, Magomeni, Mwananyamala, Iringa mjini, Dodoma pale soko la Ndungai.
11. Kujenga Mahakama za kisasa karibu kila mkoa?
12. Kujenga barabara za lami kila mahali mijini? Tena barabara za kiwango cha kimataifa na taa za barabarani?
13. Kujenga SGR_ Standard Gauge Railway tena yakutumia umeme?
14. Kujenga Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere?
15. Kujenga maabara za shule za kata na kuzikarabati shule zote za Sekondari Kongwe?
16. Elimu bure nchi nzima kuanzia shule za msingi mpaka kidato cha nne?
17. Ununuzi na ufungaji wa Rada kuilinda anga ya Tanzania?
18. Kufufua Reli ya Dar es Salaam, Tanga Moshi Arusha iliyosimama kwa miaka 30?
Najiuliza aliwezaje kufanya yote haya kwa muda wa Miaka Mitano na Miezi Mitano tu? Aliwezaje kuimudu Corona na hatukupigwa Lockdown? Kwa muda wote wa uongozi wake.
Haya ndio maswali nahitaji majibu.
Mkuu wangu Zito pia mwanauchumi naomba jitokeze kuokoa hili jahazi.
Watu wanaweza kuchota pesa na wakamsingizia aliye kwenda kua alikopa, msicheze na wanadamu acheni kufikiri kudogoMagufuli alikopa trilioni 29 kwa miaka 5 tu...Huu ni mkopo mkubwa zaidi kuchukuliwa na Rais wa Tanzania
Na huyu CAG alichaguliwa na Magufuli baada ya kumuona Assad hafai
Swali ni je kwa nini utawala wa Magufuli unagombana na kila CAG?
Vile mwendakuzimu amefurahia uzi wako huu kutokea huko kuzimu[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2192174