CAG Kichere: Licha ya kupewa Ruzuku ya Tsh. Bilioni 31.55, ATCL imepata hasara ya Tsh. Bilioni 56.64, ongezeko la 61% kutoka hasara ya Mwaka 2021/22

Ni USA au bongoland unasema mkuu?
 
Wewe bora dingi wako angevaa condom kipind anamnyadua maza wako kuliko kutuletea kubwa jinga kichwa kubwa akili ndogo
Kwanini usingemleta mama yako sasa kwa dingi wangu atombwe bila kondom?
 
Na ikifika kwa dpp ndiyo kwishney,dpp anapigiwa tu simu moja kesi inatupiliwa mbali,sioni faida ya dpp, naye ni hasara kubwa tu kwa taifa.
Unaweza ukaweka kesi japo 3 za ufisadi ambazo DPP alipigiwa simu? Na nani alimpigia?
 
Ubwa
 
Kuna Jambo watu hawa taki kusema, kuna Ndege ililetwa Kwa aijili ya kufanya biashara , lakini sasa hivi inafanya safari za sirikali au Kwa maelekezo ya sirikali , matokeo yake hakuna mrejesho wa uwekezaji uliofanyika zaidi ya gharama juu ya gharama.
 
Kwanini usingemleta mama yako sasa kwa dingi wangu atombwe bila kondom?
Ili upatikane wewe taila kwenye ukoo wetu hatutaki majitu majinga majinga kama wewe
Uko kwenu kwenyewe wanajuta unataka uje utuletee matatizo sisi
 
Lazima litaenselea kupata hasara ya mabilioni kila mwaka.

Mheshimwa akitaka kusafiri na mojawapo ya ndege za abiria anaichukua, abiria wanaahirishiwa safari unategemea Shirika lipate faida!

Unanunua nfege kubwa ya abiria unasafirisha abiria nusu ama chini ya hiyo idafi kwenda mataifa ya nje unategemea shirika lipate faida!

Inanunua ndege kubwa ya mizigo wakati mizigo ya kudafirisha nje ya nchi kwa ndege ni midogo unategemea shirika lipate faida!
 
Hizo pesa tunazopoteza kwenye ndege zingeweza kufanya ishu zenye faida sana kwa nchi. Kama kujenga miradi ya umwagiliaji na kuajiri maelfu ya vijana. Hii miradi ya kufanya ili kujionyesha imeziumiza nchi za Kiafrika toka zinapata Uhuru.
 
Haya mambo haya ni kama kuna kadalili cha kwenda kubinafsisha embu ngoja tuone. Hivi ni mashirika mangapi ya ndege duniani yamepata faida mwaka huu.
 
Ngoja watu waendelee kuiba mpaka ndege zote zisimame na shirika liwe na madeni yasiyolipika ndiyo tutaanza kutafuta mwendeshaji shirika anaeweza.
 
Hatuitaji ubora, tunahitaji uwajibikaji


Nasikia waafrica mnalaana ; wakati wa nuhu mlimchungulia baba yenu akiwa uchi, kisha akawalaani, nasikia ile laana inawala hadi leo !

Eti ni kweli ?
Ni kweli
Angalia muendelezo hata humu jf
Ni CHAPUTA na Mipalange.....na mambo ya hivyo.....
 
naona report iandaliwe na wakuu wa mikoa kwa kushirikiana na ras na maded ili kupunguza gharama ya uendeshaji. report ya mwaka uliopta iliichafua sana chama kwenye upigaji wa halmashauri na ilitokea hadi haja ya kukaa na kuangalia namna gani isijirudie. ikumbukwe mwenyekiti anaelekea kwenye maigzo mengne ya uchaguzi hvyo hataki sifa mbaya sijui ameshndwa kusimamia serikali n.k. hvyo halmashauri zitasemwa vizur haijarish nin kimetokea hadi pale maigzo yatakapoisha. ripot hii inaenda kusifiwa bungeni kama sehem ya usimamizi imara na kuvunja rekodi duniani. safari hii tutajua hadi ripot za eac countries na nchi kubwa kubwa duniani namna tulivyowapita kwa nidhamu ya matumizi ya hela.
 
NHIF imekuwa inashindwa kuhudumia wateja wake kutokana na Ufisadi, serikali kukopa hovyo, kukopesha hovyo na wizi wa viongozi wake na sio michango ya wateja wake kuwa kdg!
 
Great Thinkers

Huu mwaka unaisha bila kujua upigaji serikalini. Au imeshasomwa Mimi sijasikia.
Au mda Bado..uchaguzi mwakani kuna kitu wanajaribu kuficha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…