CAG: Mradi wa Umeme wa Bwawa la Nyerere unatumia upembuzi wa mwaka 1970

CAG: Mradi wa Umeme wa Bwawa la Nyerere unatumia upembuzi wa mwaka 1970

Sioni sababu watu kupata pressure. CÀG ametuambia kuwa feasibility study iliyotumika ni ya miaka 50 uliyopita sasa ni juu kujiuliza je ni sahihi? Hivi unaweza kujenga nyumba/project kutegemea study ya miaka 10 uliyopita?
 
Kituko cha karne,mambo ya 1979 kwa 2021......yaani hatujui hata kama kuna maji ya kutosha kufanya mradi uwe endelevu,alafu tunaweka Trillions????? [emoji1544]
 
Sasa kama miradi haifai si mbomoe ili msikie vizuri.bomoeni kila kitu anzisheni vyenu.
Acheni Magu apumzike,enough is enough.
Pole sana,
Waliyokandamizwa na kunyanyaswa kwa kipindi chote hiki ndo kwanza wameanza, mpaka waje kumaliza kuweka hadharani madudu ya huyu mungu mtu, jiandae kuja KULIA SANA.
La muhimu mwishowe jiruhusu upate somo kuwa; malipo ya UDHALIMU ni fedheha ya milele.
 
Sioni sababu watu kupata pressure. CÀG ametuambia kuwa feasibility study iliyotumika ni ya miaka 50 uliyopita sasa ni juu kujiuliza je ni sahihi? Hivi unaweza kujenga nyumba/project kutegemea study ya miaka 10 uliyopita?
Na presdaa atakapopunguza uwekezaji kwenye hii miradi hatapata ukinzani.
Ingelikuwa nchi zinzojielewa, uchaguzi ingeitishwa fasta.
 
Kwani kuna mtu anamsumbua hadi utake aachwe apumzike??

Pole sana,
Waliyokandamizwa na kunyanyaswa kwa kipindi chote hiki ndo kwanza wameanza, mpaka waje kumaliza kuweka hadharani madudu ya huyu mungu mtu, jiandae kuja KULIA SANA.
La muhimu mwishowe jiruhusu upate somo kuwa; malipo ya UDHALIMU ni fedheha ya
Haiyaaa jifunzeni kutazama mbele,
Sasa mnataka kuongea mbaya mpaka lini juu ya mwendazake?
Mngesema akiwa hai,sasa hivi haimake sense.
 
Wakuu tumuombee SAMIA atimize walau miradi miwili ya Ya Magu. Kinyume na hapo ni disaster..

Sikubali kodi yangu iende bure.

NO.
 
Ilani ya ccm 2020 - 2025 inasema tutaendelea kupambana na rushwa na ufisadi kwa nguvu zote.

Haisemi ufisadi umeisha.

Hata Ulaya kina Morinyo, Messi, Ronaldo mara kwa mara tunasikia aamepelekwa mahakamani kwa kukwepa kodi.

Hata Chadema wabunge wengi walihama mwaka jana sababu ya ufisadi michango yao. Kinachotakiwa ni kuendelea kupambana na ufisadi
Acha ubazazi wewe wa "Mapenxi ya Jiwe niue"!
Jinga mkubwa wewe!
 
CAG ndo anateseka sio sisi mkuu

Sisi tulishateseka mpaka tukawa wapole siku nyingi.

Swali kweny: CAG alikua na ripoti mbili au ni hii hii alikua kajiandaa kumsomea Chuma??? Manaake sipatii picha ingekuwaje
Mwendazake kaificha ya Assad lkn hii ya sasa ndio hivyo tena.matokeo ya utawala wa mabavu ni huu.huku tunawaza kuwa mabilionea kumbe mabilioni yanatafunwa.sasa tumebaki kusema mabeberu,wachina wabaya.mbona mwendazake aliwaita na kuongea na Rais wa China kwa saa moja?
 
Swine wakitakiwa Watu very Brainy na Wewe Pimbi utajitokeza kabisa ukiwa mkavu hivi?

Utamtetea ila bila hata hiyo CAG Report inajulikana kuwa Mnafiki wenu kasabisha Hasara kubwa tu.

Kuwa mwana CCM au Team Hayati hakukufanyi usimkosoe eti kwakuwa ameshafariki. Hopeless!!

Wakongo na Waganda hadi leo wanawasema akina Mobutu na Idi Amin kwa Matendo yao mabaya.

Sasa kama mnampenda hivi si nanyi Mfe makusudi tu mkazikwe mkabala ( jirani ) nae huko Ziwani alikolala?

Mmekalia tu Unafiki na kumfanya Hayati kama alikuwa ni Mungu Mtu hapa Tanzania. Tumewachokeni!!

Wenzake waliiba Kistaha ( Kidiplomasia ) ila Yeye alikuwa anakwapua na Kunyakua kwa fujo.
Kweli kabisa.Mwanafalsafa wa kifaransa aliwahi kuandika kuwa Viongozi wote wakiwemo Marais,Wafalme,Maquuen wanaojifanya wakali sana na kuvuruga kila kitu wana mambo yao wanayaficha.Sasa nimeamini.RIPOTI YA CAG INATUPA USHAHIDI TOSHA.Ama kweli mwendazake alitupatia sana wanyonge.Kumbe anatanguliza mkokoteni,Punda anafuata.DUH.
 
Injinia upo? Soma hiyoooooo!
1617911618951.jpeg

Kazi kubwa ipo. Yaani upembuxi wa miaka 51 iliyopita? Mbona kuna mambo mengi ambayo yataathiri maana muda mrefu umepita hasa. Kifedha, kimazingira n.k
 
Sasa kama miradi haifai si mbomoe ili msikie vizuri.bomoeni kila kitu anzisheni vyenu.
Acheni Magu apumzike,enough is enough.

Akili za namna hii ndio zimeharibu nchi. Yaani wabomoe walichoanza tayari?? Haukui kuwa inafaa kuachwa ilipofikia kama haifai??

Hata hivo kinachosemwa hapa ni tofauti. Tunaambiwa tu jinsi mambo yakivofanyika ndivyo sivyo, kinyuma na walivokuwa wakihubiri. Tulia dawa iingie - anayeibua haya si mgeni kutika nje - ndio walewale wazalendo!!
 
Back
Top Bottom