Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Get serious...
Haya mmeshinda kudanga time is back [emoji3][emoji3]
Haya mmeshinda kudanga time is back [emoji3][emoji3]
Mmezoea kutishia watu na kesi za uchochezi na uhujumu uchumi eeh!! Zama za udikteta uchwa... zimekwisha! zama zakutisha watu ili maovu yasisemwe,zama za kupiga watu risasi,kuteka na kutesa,zama za kutukana wanaoshauri,zama za kishamba MTU mmoja kujiona nchi yake,zama za kugawa hela barabarani na kumtaja Mungu kilasaa kumbe chini ya kapeti kuna uovu,zama za chuki kwa wanaokukosoa,zama za chama kimoja,zama za kilamtu mpumbavu isipokuwa yeye...
Tumejionea uongozi wa ajabu haijawahi tokea!! alivyosema Lissu. Angekuwepo hata "SIEIGII" angeogopa kusema haya
Jina limechafuka watu wakiliona wanajiskia hata kupu... endelea na uchawi sore uchawa labda itakusaidia!!