CAG: Mradi wa Umeme wa Bwawa la Nyerere unatumia upembuzi wa mwaka 1970

CAG: Mradi wa Umeme wa Bwawa la Nyerere unatumia upembuzi wa mwaka 1970

Get serious...

Haya mmeshinda kudanga time is back [emoji3][emoji3]
Mmezoea kutishia watu na kesi za uchochezi na uhujumu uchumi eeh!! Zama za udikteta uchwa... zimekwisha! zama zakutisha watu ili maovu yasisemwe,zama za kupiga watu risasi,kuteka na kutesa,zama za kutukana wanaoshauri,zama za kishamba MTU mmoja kujiona nchi yake,zama za kugawa hela barabarani na kumtaja Mungu kilasaa kumbe chini ya kapeti kuna uovu,zama za chuki kwa wanaokukosoa,zama za chama kimoja,zama za kilamtu mpumbavu isipokuwa yeye...
Tumejionea uongozi wa ajabu haijawahi tokea!! alivyosema Lissu. Angekuwepo hata "SIEIGII" angeogopa kusema haya
Jina limechafuka watu wakiliona wanajiskia hata kupu... endelea na uchawi sore uchawa labda itakusaidia!!
 
So what!!?
nyuzi za upondaji na watu wenye wivu zipo nyingi sana humu....nyuzi mojawapo hii hapa.
kazi nzuri za JPM zimeonekana.
Umenena vema kabisa, "kazi nzuri inayokwenda kufa kifo cha mende?!"; Mataga bhana!!
 
Magufuli kashakufa siku nyingi, mbona mnateseka sana na kivuli chake!?
Taifa lazima "riende mbere"!, Kwa hiyo kusahihisha makosa ni muhimu sana kwa mustakabali mwema wa taifa letu, Magu awe hai au kafa, ila sasa kufa kwake ni fursa bora zaidi.
 
Sasa kama miradi haifai si mbomoe ili msikie vizuri.bomoeni kila kitu anzisheni vyenu.
Acheni Magu apumzike,enough is enough.
It is not enough until it is enough! Mataga tulieni msumari wa moto upenye sawasawa!
 
Nchi ipo hivyo hivyo tu, ni nyie tu na mihemko yenu kwani kwa JK mlisemaje?.. watu wenye upeo mdogo sana wa kufikiri(Low thinking capacity) ndo wanaongeaga huo uk.uma. hakuna Raisi aliyeharibu wala kuipaisha nchi. Nchi ipo hivyo hivyo na CCM ni ileile tu. Nyie mnaofuata upepo na akili finyu ndo mnakuja na hivi vioja.
Hakuna kioja hapo bali kiroja zuzu ni wewe usiyeweza kuona umuhimu wa kusahihisha makosa taifa "likasonga mbere"!
 
Nchi ilikuwa inaendeshwa kwa utashi was MTU sheria zooote ziliwekwa pending!!
Kwa taratibu za kifedha karibu miradi yooote ya stoni itakuwa nje ya utaratibu!!
Kunahaja serikali yooote ijiuzulu tufanye uchaguzi upyaaa!! Stone hakushauriwa vyema na makamu wake,waziri mkuu,spika,bunge,chama nk.
Kama walijua hashauriki kwanini walituletea kama mgombea na wakawa wanamsifu kila dakika??
Kistaarabu serikali yooote ijiuzulu tuchague upya asisingiziwe MTU mmoja asiyeweza kurudi kuitetea!!!
  • bandari hovyo
  • atcl hovyo
  • utalii hovyo
  • mawasiliano hovyo
  • elimu hovyo
  • afya hovyo
  • demokrasia hovyo
Embu serikali istep down kidogo turudie uchaguzi maana Samoa alisema stone alikuwa mwalimu wake sasa kama mwalimu kaharibu hivi mwanafunzi wake je??
Imagine jitu zima na Phd ya sayansi linadiriki kutamka hadharani eti "akija muwekezaji anataka kujenga kiwanda mpeni kibari haraka haraka, ripoti ya tathmini ya mazingira itakuja baadae"?! Kuna kitu hapo au utopolo mtupu?!
 
Kazi kubwa ipo. Yaani upembuxi wa miaka 51 iliyopita? Mbona kuna mambo mengi ambayo yataathiri maana muda mrefu umepita hasa. Kifedha, kimazingira n.k
Mapitio yangechelewesha na wananchi kukosa umeme. Kazi iendelee tusianze kutafuta sababu za kutafuna pesa
 
It is not enough until it is enough! Mataga tulieni msumari wa moto upenye sawasawa!
Who is mataga!!?

Mnawaste time tu endeni mbomoe,mnascream project zake ni mbovu na kubomoa hamtaki ina maana hata hamjui mnatakaje.
 
kama linatumia upembuzi wa 1970 ambao ndo wenyewe alitaka wafanye upembuzi mwingine?
 
Kwa taarifa yako umeme umekuwa ukisambazwa hapa nchini hatua kwa hatua, na hiyo ni toka enzi za ukoloni. Ni kweli inawezekana kiwango cha kuongezeka mtandao wa umeme nchini imekuwa juu kidogo chini ya watangulizi wake, lakini yeye pia aliminya sekta nyingine ambazo watangulizi wake waliwekeza nguvu huko. Upande wa hospitali, huduma hazijaboreshwa kwa kiwango kikubwa, lakini ni kweli majengo yameongezeka, lakini ubora wa huduma kwenye hospital, haukuwa na ubora unaotaka kutuongopea.

Halafu unapojenga utetezi wako, acha kuweka upotoshaji usio na tija ili kubeba hoja zako dhaifu. Hakuna anayesema miradi ya Magufuli ni ya hovyo, bali approach yake ya utekelezaji, na uchaguzi sahihi wa kipi afanye. Mradi wa SGR wakati anaingia madarakani alikuta kila kitu JK kashakamilisha ikiwa mkopo wa exim Bank ya China kwa kiwango cha $7b, akaingia yeye akabadili kwa maelezo ya kuwa anatumia fedha za ndani. Lakini hadi sasa ameshakopa $3.1, na bado huo mradi haujafika hata nusu. Cha ajabu alirudi huko huko China kukopa kwenye bank ya Standard Chartered, ili kuendelea na huo mradi wa SGR. Kama si wendawazimu ni nini?

Huo umeme wa SG, ukiacha mizengwe ambayo CAG kaanza kuonyesha, anasema ni mradi wa 6.5t, ili azalishe umeme wa 2,115m, wakati gas ambayo tayari bomba liko Dar, na tulikopa $1.2b, na matarajio ilikuwa ni kupata 5,000mg. Kwanini asiweke 3t tupate hizo 2,115mg, kisha hela inayobakia aingize pengine?
Kuhusu mradi wa Bagamoyo, kama kuna masharti mabaya ni kuyafanyia kazi, kisha kupima faida na hasara ya mradi huo. Hata hivyo ni wendawazimu mtu kujifanya mzalendo wa kuzuia mradi wa hivyo bila kuweka wazi mapungufu ya mradi, halafu akajenge uwanja wa ndege kijijini kwao wa 39b, ambao abiria kwa wiki hawafiki 20.
Kusema tutegemee umeme wa gesi ni kukaribisha akina dowans wengine na umeme ungekuwa ni anasa.naona kama vile umeibuka mtindo wa watu kubeza vya kwetu tunavyojenga na kumiliki wenyewe huku wakiviinua vya wageni ? Leo tunabeza sgr ya kwetu tukiipamba bandari ya bagamoyo ambayo sio kwamba si yetu tu bali tunawamilikisha kabisa na kipande cha nchi yetu ambayo wazee wetu waliipigania tukapata uhuru !!
 
Bwawa lina siasa nyingi sana hili tangu kuanza kwa mradi
 
Back
Top Bottom