CAG mstaafu Uttoh: Hakuna Shirika lolote la ndege duniani lililopata faida baada tu ya kuanzishwa, ATCL haijawahi kulipa Gawio Serikalini

CAG mstaafu Uttoh: Hakuna Shirika lolote la ndege duniani lililopata faida baada tu ya kuanzishwa, ATCL haijawahi kulipa Gawio Serikalini

Huwezi pia kupata faida hata kwa miaka 500 kwa mishahara yetu ya Tanzania. Kwanini ameshindwa kuweka wazi hiyo faida itaanza kupatikana lini!? Miaka mitano zaidi ya 3 trillions zimetumika kununua ndege na hasara kwa miaka mitano hasara ni 153 billions. Taifa liendelee kupata hasara kwa miaka mingapi mingine?

Kwenye private companies UPUMBAVU kama huu wa hasara ya 153 billions kwa miaka mitano mfululizo haikubaliki kwanini walipa kodi tuendelee kubeba huu mzigo mzito!? Former CAG Assad yuko sawa kufufua ATCL ilikuwa ni maamuzi ya kipumbavu.

Kuna ka ukweli Mkuu. Si rahisi kupata faida mara tu unapoanzisha biashara. Lakini ni muhimu kujua lini utaanza kupata faida itakayofidia hasara za mwanzo. Ukiona unaendelea kupata hasara bila tegemeo lolote la faida huko mbeleni unatakiwa ku cut your loses na kuachana na hiyo biashara. Tofauti ni kama unafanya hiyo biashara kwa sifa tu au kutoa huduma na una uwezo wa kuibeba kwa sababu vyanzo vyako vingine vinafidia hasara unayoipata. Hali sio hivyo kwa ATCL. Shirika lina madeni ambayo yanaizuia kufanya biashara katika sehemu ambazo ndio soko kuu. Shirika halituambii lini linategemea ku break even lakini kidogo walicho nacho wanakitoa serikalini kama "dividend". Taifa letu halina pesa za kuchezea kiasi hicho.

Amandla...
 
Ungekuwa unajua go slow ya Wafanyakazi wa Serikali kwa kutoongezewa mishahara kwa miaka sita usingeandika huu upumbavu wako.
Wafanyakazi wanaishi kwa mikopo chungu nzima kutokana na gharama za maisha kupanda sana ndani ya miaka mitano lakini mishahara imebaki pale pale.
Mishahara inapokuwa mikubwa watu hujiongeza kwa kufungua biashara zao na kujiongeza kipato ili kukidhi gharama zao za maisha na haya ndiyo yanayofanya nchi nyingi duniani kuendelea kwamba Wafanyakazi wana vipato vikubwa hivyo huweza kufanya investments mbali mbali zenye faida na hivyo kuongeza vipato vyao na pato la Taifa pia lakini Tanzania hakuna hilo kwani wengi wana mishahara midogo sana matokeo yake mtu ana mikopo minne au hata mitano tofauti. Mishahara ikiingia wanaanza kufikiria walipe deni lipi kwanza. Fungua

Tatizo la hayati hakuwa mwongo...Mishahara aliongeza kwakupunguza
1. Paye
2. Inflation
3. Deflation kwenye assets
4. Kupunguza riba za mikopo mf. CRDB ilipunguza riba kutoka 22% mpaka sasa 14% kwa service loans, Bank ya poster mortgage 8% dhidi ya Azania ambao walikuwa wanatoa kwa 18% ulitaka aongeze absolute figure?

Lakini njoo kwenye social services, bima ya afya kwamfano alitengeneza bima ya community nakuingiza watu wengi kwenye scheme, elimu bure ambayo ni nyongeza ya mshahara kwaambaye angelipia hiyo pesa kwa mtoto wake...Acheni uzwazwa tuweni honest kama JPM tusiishi kwakuridhisha watu huku wakiendelea kudidimia na sisi tukie delea kuneemeka huku institutions zikizidi kuwa weak...
 
Umeeleweka mkuu ila nyumb hawataelewa andiko lako!!

Zama za hofu zimepita, sasa hivi watu wanafunguka tu, sukuma Gang subirini mpewe ukweli wa jinsi dhalimu alivyoharibu nchi. Nashukuru ibilisi mpaka anaelekea motoni, hakuwahi kunishawishi wala kubadili ufahamu wangu, mbali ya propaganda kubwa zilizoondoa uelewa wa watu kadhaa.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Eti hayati hakuwa muongo 🤣🤣🤣🤣🤣🥲🤣
Tatizo la hayati hakuwa mwongo...Mishahara iluongezqa kwakupunguza
1. Paye
2. Inflation
3. Deflation kwenye assets
4. Kupunguza riba za mikopo mf. CRDB ililunguza riba kutoka 22% mpaka sasa 14% kwa service loans, Bank ya poster mortgage 8% dhodi ya Azania ambao walikuwa wanatoa kwa 18% ulitaka aongeze absolute figure?

Lakini njoo kwenyw social services, bima ya afya kwamfano, elimu bure ambayo ni nyongeza ya mshahara kwaambaye angelipia hiyo pesa kwa mtoto wake...Acheni uzwazwa tuweni honest kama JPM tusiishi kwakuridhisha watu huku wakiendelea kudidimia na sisi tukie delea kuneemeka huku institutions zikizidi kuwa weak...
 
Hebu acha kuandika ujinga wako!

Tatizo la hayati hakuwa mwongo...Mishahara iluongezqa kwakupunguza

1. Paye
2. Inflation
3. Deflation kwenye assets
4. Kupunguza riba za mikopo mf. CRDB ilipunguza riba kutoka 22% mpaka sasa 14% kwa service loans, Bank ya poster mortgage 8% dhidi ya Azania ambao walikuwa wanatoa kwa 18% ulitaka aongeze absolute figure?

Lakini njoo kwenye social services, bima ya afya kwamfano alitengeneza bima ya community nakuingiza watu wengi kwenye scheme, elimu bure ambayo ni nyongeza ya mshahara kwaambaye angelipia hiyo pesa kwa mtoto wake...Acheni uzwazwa tuweni honest kama JPM tusiishi kwakuridhisha watu huku wakiendelea kudidimia na sisi tukie delea kuneemeka huku institutions zikizidi kuwa weak...
 
Unateseka ukiwa wapi ndugu!?hiyo kudouble bajeti ya afya ni kwenye makaratasi na mdomoni tu,lakini uhalisia hamna kitu,fuatilia mijadala ya bunge kabla ya uchaguzi 2020 usikie wabunge walisema nini?
Yaani hata zile hospital zilizojengwa utazifichaje kwamfano, unadhani kupunguza gharama za usafiri na malazi kwakwenda mbali siyo increament through substitution?
 
Tatizo la hayati hakuwa mwongo...Mishahara iluongezqa kwakupunguza
1. Paye
2. Inflation
3. Deflation kwenye assets
4. Kupunguza riba za mikopo mf. CRDB ilipunguza riba kutoka 22% mpaka sasa 14% kwa service loans, Bank ya poster mortgage 8% dhidi ya Azania ambao walikuwa wanatoa kwa 18% ulitaka aongeze absolute figure?

Lakini njoo kwenye social services, bima ya afya kwamfano alitengeneza bima ya community nakuingiza watu wengi kwenye scheme, elimu bure ambayo ni nyongeza ya mshahara kwaambaye angelipia hiyo pesa kwa mtoto wake...Acheni uzwazwa tuweni honest kama JPM tusiishi kwakuridhisha watu huku wakiendelea kudidimia na sisi tukie delea kuneemeka huku institutions zikizidi kuwa weak...
Huyo Bavicha hawezi kukuelewa!
 
Sasa kama unaandika ujinga kwamba dhalimu magufuli hakuwa muongo unataka nikuite GENIUS!? 😳😳😳😳
Sasa ukinitukana si unajiumiza tu wewe? Ni indicator kwamba umeshindwa kuja na hoja una substitute na maneno makali...
 
Mzee uttoh yuko sahihi kabisa, mashirika yote ya ndege huwa hayaleti faida ya moja kwa moja kwa taifa. Biashara ya ndege kama yenyewe huwa haiingizi faida, ila faida zake huja kutokana na shughuli mbalimbali za kiuchumi ambazo safari hizo za ndege hufanikisha ndani ya nchi husika.

Mfano mzuri shirika kubwa kama la Fly-Emirates au Air-China hayapati faida za moja kwa moja, lakini shughuli za kiuchumi ambazo haya mashirika yamezifanyikisha ndizo huingiza faida. Fly-Emirates linafanikisha shughuli za kiutalii na biashara ya kimataifa ndani ya ile falme ya Kiarabu.

Faida ambazo zinapatikana kutoka kwenye utalii na biashara ya kimataifa ndiyo hutumika kufidia (Compensate) gharama ya uendeshaji wa shirika la Fly-Emirates. Biashara ya ndege ina gharama kubwa sana kuendesha, na mashirika yanayoingiza faida kama Ethiopian Airlines hayaingizi kutokana na safari za anga bali kazi nyingine (Kufundisha marubani na wahudumu, pamoja na kufanya marekebisho ya ndege) ambazo shirika hufanya.

Ambacho sisi hatukukubaliana na Raisi Magufuli ni ile tabia ya kusema unanunua ndege kwa pesa taslimu kuinua UTALII nchini, ilhali umeweka sera mbovu ambazo zinawakimbiza watalii: Hata mpango-mkakati wa biashara hajatupa wananchi.

Lingine ni hili la kununua ndege kwa pesa taslimu bila kuweka wazi mikataba yake linatia ukakasi sana. Jingine shirika bado liko kwenye majaribio ya kufufuliwa na halijasimama vizuri: Tungejaribu kwanza kuchukua ndege chache chini ya Lease (Dry or Wet Leases ) huku tukipima upepo unaendaje.....

Fly emirates halipati faida? Emirates imekuwa ikipata profit mpaka 2019/2020 due to Covid-19 impact before that it has been making big profit.
 
Hivi TTCL sio shirika la uma?Mbona tumeliona likitoa gawiwo serikalini?

Kuna hoja nyingine za wasomi zinapelekea kina musukuma waseme bora waaminiwe wao darasa la saba watafanya vizuri kuliko wasomi,
 
BAK unaniangusha, yaani unaendekeza mambo ya from hands to mouth?

Mishahara itapanda kama tutazalisha kiwango cha juu na hakiji tu bila kutoka jasho...Imagine miradi yote ya kimkakati iishe mishahara si ita triple?

So far hayati alijitahidi sana kwanza kupunguza inflation na deflation kwenye riba, kisha social service kama elimu na afya aliiongezea budget even three times mlitakaje? Aliigawa cake ya taifa kwa wemgi zaidi...Wafanyakazi Tanzania hawafiki hata 11% kisha wanachukua 60% ya budget...Aliilipa mishahara bila kuchelewesha hata sekunde na in a very sustainable way

Tuongeze tija ndiyo mishahara kuongezeka iwe justified, otherwise tunafanya unyonyaji kwenye population ya amabo hawajaajiriwa...Ubinafsi wa hali ya juu!
Sio kwamba wao wananyonya wengine? Wengine wanapokea huduma bure muda mrefu.
 
Kilikuwa kitu kingine!

Jiwe angeendelea kuwepo angeweza hata kubadili tarehe ya uhuru wa Tanganyika kuwa 28 Oktoba 2015 na sisi tukasherehekea!

No wonder kule Mbarali wananchi walimpongeza kwa kuleta kupatwa kwa jua nchini! Kweli CCM ni msiba wa taifa (national tragedy)!
 
Tatizo la hayati hakuwa mwongo...Mishahara iluongezqa kwakupunguza
1. Paye
2. Inflation
3. Deflation kwenye assets
4. Kupunguza riba za mikopo mf. CRDB ilipunguza riba kutoka 22% mpaka sasa 14% kwa service loans, Bank ya poster mortgage 8% dhidi ya Azania ambao walikuwa wanatoa kwa 18% ulitaka aongeze absolute figure?

Lakini njoo kwenye social services, bima ya afya kwamfano alitengeneza bima ya community nakuingiza watu wengi kwenye scheme, elimu bure ambayo ni nyongeza ya mshahara kwaambaye angelipia hiyo pesa kwa mtoto wake...Acheni uzwazwa tuweni honest kama JPM tusiishi kwakuridhisha watu huku wakiendelea kudidimia na sisi tukie delea kuneemeka huku institutions zikizidi kuwa weak...
Eti tatizo la hayati hakuwa muongo, halafu akaitisha matangazo mubashara ATCL, TTCL nk zikitoa gawio serekalini, huku ukiwa ni uongo wa wazi. Kwa kutetea ujinga ni bora ungepewa kazi ya kulinda kaburi lake ungepata neema ya kuwa muongo msaidizi. Kama watu mnaoweza kutumia mitandao bado ni wajinga hivi, hao wakulima huko vijijini wana ujinga wa kiasi gani?
 
Hivi TTCL sio shirika la uma?Mbona tumeliona likitoa gawiwo serikalini?

Kuna hoja nyingine za wasomi zinapelekea kina musukuma waseme bora waaminiwe wao darasa la saba watafanya vizuri kuliko wasomi,
Umeambiwa " kimsingi "

Uwe unaelewa bwashee!
 
Vipi kuhusu kituo cha mabasi Mbezi ni kweli kitaleta foleni?
 
Sio kwamba wao wananyonya wengine? Wengine wanapokea huduma bure muda mrefu.
No ni kuku na yai...Leo umemsikia waziri wa Kilimo watanzania 70% wapo kwenye kilimo lakini mchango wao hauzidi robo kwenye pato ghafi la taifa...Hapo utasema nini? Si ni utendaji usio natija? Hapo kuna ma bwana shamba, bwana mifugo, watendaji wa vijiji etc woote hao wanalipwa mishahara huku wanaowasimamia pamoja na wao mchango wao ni huo...Huo mshahara utatoka wapi?

Kunashida kwenye utendaji wa watumishi wa umma, na viongozi wao!
 
Uttoh ni muongo.
Uttoh amesema mashirika ya ndege huwa yanapata faida baada ya miaka mingapi?


Hizo pesa wanazogawiwa serikalini sio dividend zitafutiwe jina lingine, hata Tume ya uchaguzi ilitoa hizo pesa kwa serikali wakati walikuwa wakidaiwa posho na wasimamizi wa uchaguzi.
 
Back
Top Bottom