CAG na waliojikopesha Sh41 bilioni NHIF

CAG na waliojikopesha Sh41 bilioni NHIF

Dar es Salaam. Wakati ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere ikibainisha wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) walijikopesha Sh41.42 bilioni na kusuasua kuzilipa, menejimenti ya uongozi wa mfuko huo umetoa ufafanuzi.

Katika ripoti hiyo ya mwaka 2021/22, CAG Kichere anasema kuna kupungua kwa ukwasi wa mfuko huo unaochangiwa na mambo mengi, kutorejeshwa kwa mikopo ya watumishi wa NHIF.

“Nilibaini kuwa hadi Juni 30, 2022, NHIF ilikuwa na mikopo ya wafanyakazi ambayo haijalipwa Sh41.42 bilioni, kati yake Sh11.18 bilioni ikiwa mikopo mipya iliyotolewa 2021/22.”

CAG anasema mikopo hiyo ilitolewa bila kuzingatia mahitaji ya aya 1.4 ya sera ya mikopo ya wafanyakazi wa mfuko ambayo inahitaji mikopo kutolewa chini ya mfumo wa kukopa na kulipa,” anasema CAG.

Aliongeza: “Nilibaini kupungua kwa ukwasi wa fedha za mfuko huo, hata hivyo mfuko uliongeza ukomo wa mkopo kwa wafanyakazi, hii inatokana na mfumo usioridhisha wa usimamizi wa mfuko wa mkopo kwa wafanyakazi”

Akitoa ufafanuzi kuhusu suala hilo, Mkuu wa kitengo cha mawasiliano NHIF, Angela Mziray alisema “mikopo inayotolewa kwa wafanyakazi wa mfuko ipo kisera kama ilivyo kwa taasisi nyingine za umma na binafsi kwa ajili ya motisha na inarejeshwa kila mwezi na watumishi kupitia mishahara yao pamoja na riba, pia ina bima ili kuhakikisha hakuna hasara,” alifafanua Mziray.

Hata hivyo, katika mapendekezo yake, CAG anasema NHIF itekeleze sera ya mikopo na kuanzisha mfuko wa kukopa na kulipa ili kuepuka kuathiri ukwasi wa mfuko.

cag-info.png


Malipo hewa
Si mikopo tu, ripoti hiyo ya CAG imeonyesha NHIF ilivilipa vituo vya afya madai yasiyo ya kweli yanayofikia Sh14.46 bilioni kwa kipindi cha mwaka 2019/20 hadi 2021/22.

Mbali na hili, CAG amebaini watumishi 146 wakiwemo 129 wa vituo vya afya na wa mfuko huo walijihusisha na vitendo vya udanganyifu.

“Watumishi 146 wa NHIF na wa vituo vya afya walijihusisha na vitendo vya udanganyifu, lakini Kitengo cha Kupambana na Udanganyifu kiliripoti maofisa 17 tu wa mfuko waliojihusisha na vitendo vya udanganyifu kwa kamati za nidhamu,” anasema CAG.

Kuhusu suala hilo, Mziray alisema; "hapa 129 ni watumishi wa vituo vya matibabu, hawa NHIF tuliwaripoti kwenye mabaraza ya kitaaluma na watumishi wa NHIF 17 wameripotiwa kwenye kamati za nidhamu za Mfuko na Jumla ni 146.”

Vilevile, CAG anasema ripoti za kupambana na udanganyifu kati ya 2019/20 na 2021/22 zilibaini kuwepo na madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi ambayo NHIF ilivilipa vituo vya afya.

“Kati ya Sh1.71 trilioni ambazo zililipwa kwa vituo vya kutolea huduma za afya kwa miaka mitatu ya fedha kuanzia 2019/20 hadi 2021/22, Sh14.46 bilioni zililipwa kwa madai ya uongo na yasiyo sahihi.

“Uchambuzi zaidi ulifanyika ili kupata malipo ya madai yasiyo ya kweli, katika vituo vya afya vya binafsi, Serikali na vile vya mashirika ya dini na kubaini vituo binafsi vya huduma ya afya vilikuwa na kiasi kikubwa cha madai yaliyolipwa yasiyo ya kweli ikilinganishwa na vya Serikali.

“Zaidi ya Sh10.38 bilioni zililipwa kwa vituo binafsi na madai katika vituo vya mashirika ya dini ilikuwa ni Sh2.49 bilioni na vituo vya Serikali ilikuwa Sh1.57 bilioni,” alisema CAG.

CAG alisema kumekuwa na ongezeko la madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi kutoka Sh4.32 bilioni mwaka wa fedha 2019/20 hadi Sh4.55 bilioni kwa mwaka wa fedha 2020/21 na Sh5.59 bilioni katika mwaka wa fedha 2021/22.

Kufuatia hilo, Mziray alisema, "hiyo ya Sh14.46 bilioni ni madai yaliyowasilishwa na vituo vya huduma za matibabu yasiyo ya kweli, ambayo yamepatikana kwenye ripoti za udanganyifu baada ya mfuko kufanya uchunguzi. Na sababu za madai haya zimetajwa hapo kwenye ripoti."

Hasara
Kwa upande mwingine, CAG alibaini mfuko huo ulipata hasara ya Sh205 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/2022, ikilinganishwa na hasara ya kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 ambapo ni Sh104 bilioni.
Akifafanua hilo, Mziray alisema fedha hizo si hasara, bali nakisi iliyotokana na mfuko kuelemewa kwa kuhudumia wagonjwa wengi ikilinganishwa na kiasi kinachokusanywa.

“Nakisi ya Sh205 bilioni inatokana na kwamba mfuko unalipa fedha nyingi zaidi za huduma wanazopata wanachama wake kwenye vituo, kuliko michango wanachama wanayochangia.”

Alisema kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza ambayo awali hayakuwepo nchini ambayo gharama yake ni kubwa kuyatibia ni mojawapo ya NHIF kupata nakisi hiyo.

Katika ripoti hiyo, CAG alisema katika mfuko huo kumekuwa na mtiririko hasi wa fedha katika shughuli zake za uendeshaji ambapo michango inaongezeka kwa asilimia 12.9 wakati matumizi yanaongezeka kwa asilimia 24.6.
CAG anasema taarifa ya tathmini ya mfuko kujiendesha inaonyesha mapato ya matumizi yataendelea kuwa chini na mfuko utatumia ziada iliyokusanywa na hivyo kusababisha ukwasi kuwa hasi ifikapo mwaka 2025.

CAG anapendekeza kuangaliwa upya namna ya kuuboresha mfuko, kuongeza wanachama wa hiari na kuboresha kanzidata ya Tehama na kuboresha usimamizi wa watoa huduma za afya.

Akizungumzia matokeo ya ukaguzo huo, Mwenyekiti wa Chama cha watoa huduma za afya binafsi Tanzania (Aphta), Dk Egina Makwabe alisema vituo binafsi vinaonekana kutumia fedha nyingi katika udanganyifu kwa kuwa hata malipo, kwa asilimia kubwa yanakwenda huko.

Dk Makwabe alifafanua kuwa madai ya udanganyifu kwa mfuko yapo chini ya asilimia 2 ambayo ni ndogo, kwani kwa viwango vya dunia ni asilimia 5.

Hata hivyo alisisitiza hatua za Serikali kuelekea Bima ya Afya kwa Wote ni suluhisho kwa sababu wengi wakichangia si wote wataugua kwa wakati mmoja, hivyo huduma zitaongezeka na wengi watanufaika.

MWANANCHI
Sio kila kitu ni ubadhilifu. Mikopo ya watumishi iko kila mahali na ina utaratibu wake wa kurejesha. Huu kama ni ubadhilifu mamlaka zitachukua hatua stahiki
 
Dar es Salaam. Wakati ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere ikibainisha wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) walijikopesha Sh41.42 bilioni na kusuasua kuzilipa, menejimenti ya uongozi wa mfuko huo umetoa ufafanuzi.

Katika ripoti hiyo ya mwaka 2021/22, CAG Kichere anasema kuna kupungua kwa ukwasi wa mfuko huo unaochangiwa na mambo mengi, kutorejeshwa kwa mikopo ya watumishi wa NHIF.

“Nilibaini kuwa hadi Juni 30, 2022, NHIF ilikuwa na mikopo ya wafanyakazi ambayo haijalipwa Sh41.42 bilioni, kati yake Sh11.18 bilioni ikiwa mikopo mipya iliyotolewa 2021/22.”

CAG anasema mikopo hiyo ilitolewa bila kuzingatia mahitaji ya aya 1.4 ya sera ya mikopo ya wafanyakazi wa mfuko ambayo inahitaji mikopo kutolewa chini ya mfumo wa kukopa na kulipa,” anasema CAG.

Aliongeza: “Nilibaini kupungua kwa ukwasi wa fedha za mfuko huo, hata hivyo mfuko uliongeza ukomo wa mkopo kwa wafanyakazi, hii inatokana na mfumo usioridhisha wa usimamizi wa mfuko wa mkopo kwa wafanyakazi”

Akitoa ufafanuzi kuhusu suala hilo, Mkuu wa kitengo cha mawasiliano NHIF, Angela Mziray alisema “mikopo inayotolewa kwa wafanyakazi wa mfuko ipo kisera kama ilivyo kwa taasisi nyingine za umma na binafsi kwa ajili ya motisha na inarejeshwa kila mwezi na watumishi kupitia mishahara yao pamoja na riba, pia ina bima ili kuhakikisha hakuna hasara,” alifafanua Mziray.

Hata hivyo, katika mapendekezo yake, CAG anasema NHIF itekeleze sera ya mikopo na kuanzisha mfuko wa kukopa na kulipa ili kuepuka kuathiri ukwasi wa mfuko.

cag-info.png


Malipo hewa
Si mikopo tu, ripoti hiyo ya CAG imeonyesha NHIF ilivilipa vituo vya afya madai yasiyo ya kweli yanayofikia Sh14.46 bilioni kwa kipindi cha mwaka 2019/20 hadi 2021/22.

Mbali na hili, CAG amebaini watumishi 146 wakiwemo 129 wa vituo vya afya na wa mfuko huo walijihusisha na vitendo vya udanganyifu.

“Watumishi 146 wa NHIF na wa vituo vya afya walijihusisha na vitendo vya udanganyifu, lakini Kitengo cha Kupambana na Udanganyifu kiliripoti maofisa 17 tu wa mfuko waliojihusisha na vitendo vya udanganyifu kwa kamati za nidhamu,” anasema CAG.

Kuhusu suala hilo, Mziray alisema; "hapa 129 ni watumishi wa vituo vya matibabu, hawa NHIF tuliwaripoti kwenye mabaraza ya kitaaluma na watumishi wa NHIF 17 wameripotiwa kwenye kamati za nidhamu za Mfuko na Jumla ni 146.”

Vilevile, CAG anasema ripoti za kupambana na udanganyifu kati ya 2019/20 na 2021/22 zilibaini kuwepo na madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi ambayo NHIF ilivilipa vituo vya afya.

“Kati ya Sh1.71 trilioni ambazo zililipwa kwa vituo vya kutolea huduma za afya kwa miaka mitatu ya fedha kuanzia 2019/20 hadi 2021/22, Sh14.46 bilioni zililipwa kwa madai ya uongo na yasiyo sahihi.

“Uchambuzi zaidi ulifanyika ili kupata malipo ya madai yasiyo ya kweli, katika vituo vya afya vya binafsi, Serikali na vile vya mashirika ya dini na kubaini vituo binafsi vya huduma ya afya vilikuwa na kiasi kikubwa cha madai yaliyolipwa yasiyo ya kweli ikilinganishwa na vya Serikali.

“Zaidi ya Sh10.38 bilioni zililipwa kwa vituo binafsi na madai katika vituo vya mashirika ya dini ilikuwa ni Sh2.49 bilioni na vituo vya Serikali ilikuwa Sh1.57 bilioni,” alisema CAG.

CAG alisema kumekuwa na ongezeko la madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi kutoka Sh4.32 bilioni mwaka wa fedha 2019/20 hadi Sh4.55 bilioni kwa mwaka wa fedha 2020/21 na Sh5.59 bilioni katika mwaka wa fedha 2021/22.

Kufuatia hilo, Mziray alisema, "hiyo ya Sh14.46 bilioni ni madai yaliyowasilishwa na vituo vya huduma za matibabu yasiyo ya kweli, ambayo yamepatikana kwenye ripoti za udanganyifu baada ya mfuko kufanya uchunguzi. Na sababu za madai haya zimetajwa hapo kwenye ripoti."

Hasara
Kwa upande mwingine, CAG alibaini mfuko huo ulipata hasara ya Sh205 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/2022, ikilinganishwa na hasara ya kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 ambapo ni Sh104 bilioni.
Akifafanua hilo, Mziray alisema fedha hizo si hasara, bali nakisi iliyotokana na mfuko kuelemewa kwa kuhudumia wagonjwa wengi ikilinganishwa na kiasi kinachokusanywa.

“Nakisi ya Sh205 bilioni inatokana na kwamba mfuko unalipa fedha nyingi zaidi za huduma wanazopata wanachama wake kwenye vituo, kuliko michango wanachama wanayochangia.”

Alisema kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza ambayo awali hayakuwepo nchini ambayo gharama yake ni kubwa kuyatibia ni mojawapo ya NHIF kupata nakisi hiyo.

Katika ripoti hiyo, CAG alisema katika mfuko huo kumekuwa na mtiririko hasi wa fedha katika shughuli zake za uendeshaji ambapo michango inaongezeka kwa asilimia 12.9 wakati matumizi yanaongezeka kwa asilimia 24.6.
CAG anasema taarifa ya tathmini ya mfuko kujiendesha inaonyesha mapato ya matumizi yataendelea kuwa chini na mfuko utatumia ziada iliyokusanywa na hivyo kusababisha ukwasi kuwa hasi ifikapo mwaka 2025.

CAG anapendekeza kuangaliwa upya namna ya kuuboresha mfuko, kuongeza wanachama wa hiari na kuboresha kanzidata ya Tehama na kuboresha usimamizi wa watoa huduma za afya.

Akizungumzia matokeo ya ukaguzo huo, Mwenyekiti wa Chama cha watoa huduma za afya binafsi Tanzania (Aphta), Dk Egina Makwabe alisema vituo binafsi vinaonekana kutumia fedha nyingi katika udanganyifu kwa kuwa hata malipo, kwa asilimia kubwa yanakwenda huko.

Dk Makwabe alifafanua kuwa madai ya udanganyifu kwa mfuko yapo chini ya asilimia 2 ambayo ni ndogo, kwani kwa viwango vya dunia ni asilimia 5.

Hata hivyo alisisitiza hatua za Serikali kuelekea Bima ya Afya kwa Wote ni suluhisho kwa sababu wengi wakichangia si wote wataugua kwa wakati mmoja, hivyo huduma zitaongezeka na wengi watanufaika.

MWANANCHI
Mapungufu ya NHIF yaangaliwe kwa umakini kwani mengine yamesababishwa na kutoongezeka kwa michango, wizi wa vituo, wanachama kuuza kadi zao na kuwatibia watu wasiostahili, kwa mawazo yangu NHIF inastahili pongezi na sio haya
 
Dar es Salaam. Wakati ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere ikibainisha wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) walijikopesha Sh41.42 bilioni na kusuasua kuzilipa, menejimenti ya uongozi wa mfuko huo umetoa ufafanuzi.

Katika ripoti hiyo ya mwaka 2021/22, CAG Kichere anasema kuna kupungua kwa ukwasi wa mfuko huo unaochangiwa na mambo mengi, kutorejeshwa kwa mikopo ya watumishi wa NHIF.

“Nilibaini kuwa hadi Juni 30, 2022, NHIF ilikuwa na mikopo ya wafanyakazi ambayo haijalipwa Sh41.42 bilioni, kati yake Sh11.18 bilioni ikiwa mikopo mipya iliyotolewa 2021/22.”

CAG anasema mikopo hiyo ilitolewa bila kuzingatia mahitaji ya aya 1.4 ya sera ya mikopo ya wafanyakazi wa mfuko ambayo inahitaji mikopo kutolewa chini ya mfumo wa kukopa na kulipa,” anasema CAG.

Aliongeza: “Nilibaini kupungua kwa ukwasi wa fedha za mfuko huo, hata hivyo mfuko uliongeza ukomo wa mkopo kwa wafanyakazi, hii inatokana na mfumo usioridhisha wa usimamizi wa mfuko wa mkopo kwa wafanyakazi”

Akitoa ufafanuzi kuhusu suala hilo, Mkuu wa kitengo cha mawasiliano NHIF, Angela Mziray alisema “mikopo inayotolewa kwa wafanyakazi wa mfuko ipo kisera kama ilivyo kwa taasisi nyingine za umma na binafsi kwa ajili ya motisha na inarejeshwa kila mwezi na watumishi kupitia mishahara yao pamoja na riba, pia ina bima ili kuhakikisha hakuna hasara,” alifafanua Mziray.

Hata hivyo, katika mapendekezo yake, CAG anasema NHIF itekeleze sera ya mikopo na kuanzisha mfuko wa kukopa na kulipa ili kuepuka kuathiri ukwasi wa mfuko.

cag-info.png


Malipo hewa
Si mikopo tu, ripoti hiyo ya CAG imeonyesha NHIF ilivilipa vituo vya afya madai yasiyo ya kweli yanayofikia Sh14.46 bilioni kwa kipindi cha mwaka 2019/20 hadi 2021/22.

Mbali na hili, CAG amebaini watumishi 146 wakiwemo 129 wa vituo vya afya na wa mfuko huo walijihusisha na vitendo vya udanganyifu.

“Watumishi 146 wa NHIF na wa vituo vya afya walijihusisha na vitendo vya udanganyifu, lakini Kitengo cha Kupambana na Udanganyifu kiliripoti maofisa 17 tu wa mfuko waliojihusisha na vitendo vya udanganyifu kwa kamati za nidhamu,” anasema CAG.

Kuhusu suala hilo, Mziray alisema; "hapa 129 ni watumishi wa vituo vya matibabu, hawa NHIF tuliwaripoti kwenye mabaraza ya kitaaluma na watumishi wa NHIF 17 wameripotiwa kwenye kamati za nidhamu za Mfuko na Jumla ni 146.”

Vilevile, CAG anasema ripoti za kupambana na udanganyifu kati ya 2019/20 na 2021/22 zilibaini kuwepo na madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi ambayo NHIF ilivilipa vituo vya afya.

“Kati ya Sh1.71 trilioni ambazo zililipwa kwa vituo vya kutolea huduma za afya kwa miaka mitatu ya fedha kuanzia 2019/20 hadi 2021/22, Sh14.46 bilioni zililipwa kwa madai ya uongo na yasiyo sahihi.

“Uchambuzi zaidi ulifanyika ili kupata malipo ya madai yasiyo ya kweli, katika vituo vya afya vya binafsi, Serikali na vile vya mashirika ya dini na kubaini vituo binafsi vya huduma ya afya vilikuwa na kiasi kikubwa cha madai yaliyolipwa yasiyo ya kweli ikilinganishwa na vya Serikali.

“Zaidi ya Sh10.38 bilioni zililipwa kwa vituo binafsi na madai katika vituo vya mashirika ya dini ilikuwa ni Sh2.49 bilioni na vituo vya Serikali ilikuwa Sh1.57 bilioni,” alisema CAG.

CAG alisema kumekuwa na ongezeko la madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi kutoka Sh4.32 bilioni mwaka wa fedha 2019/20 hadi Sh4.55 bilioni kwa mwaka wa fedha 2020/21 na Sh5.59 bilioni katika mwaka wa fedha 2021/22.

Kufuatia hilo, Mziray alisema, "hiyo ya Sh14.46 bilioni ni madai yaliyowasilishwa na vituo vya huduma za matibabu yasiyo ya kweli, ambayo yamepatikana kwenye ripoti za udanganyifu baada ya mfuko kufanya uchunguzi. Na sababu za madai haya zimetajwa hapo kwenye ripoti."

Hasara
Kwa upande mwingine, CAG alibaini mfuko huo ulipata hasara ya Sh205 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/2022, ikilinganishwa na hasara ya kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 ambapo ni Sh104 bilioni.
Akifafanua hilo, Mziray alisema fedha hizo si hasara, bali nakisi iliyotokana na mfuko kuelemewa kwa kuhudumia wagonjwa wengi ikilinganishwa na kiasi kinachokusanywa.

“Nakisi ya Sh205 bilioni inatokana na kwamba mfuko unalipa fedha nyingi zaidi za huduma wanazopata wanachama wake kwenye vituo, kuliko michango wanachama wanayochangia.”

Alisema kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza ambayo awali hayakuwepo nchini ambayo gharama yake ni kubwa kuyatibia ni mojawapo ya NHIF kupata nakisi hiyo.

Katika ripoti hiyo, CAG alisema katika mfuko huo kumekuwa na mtiririko hasi wa fedha katika shughuli zake za uendeshaji ambapo michango inaongezeka kwa asilimia 12.9 wakati matumizi yanaongezeka kwa asilimia 24.6.
CAG anasema taarifa ya tathmini ya mfuko kujiendesha inaonyesha mapato ya matumizi yataendelea kuwa chini na mfuko utatumia ziada iliyokusanywa na hivyo kusababisha ukwasi kuwa hasi ifikapo mwaka 2025.

CAG anapendekeza kuangaliwa upya namna ya kuuboresha mfuko, kuongeza wanachama wa hiari na kuboresha kanzidata ya Tehama na kuboresha usimamizi wa watoa huduma za afya.

Akizungumzia matokeo ya ukaguzo huo, Mwenyekiti wa Chama cha watoa huduma za afya binafsi Tanzania (Aphta), Dk Egina Makwabe alisema vituo binafsi vinaonekana kutumia fedha nyingi katika udanganyifu kwa kuwa hata malipo, kwa asilimia kubwa yanakwenda huko.

Dk Makwabe alifafanua kuwa madai ya udanganyifu kwa mfuko yapo chini ya asilimia 2 ambayo ni ndogo, kwani kwa viwango vya dunia ni asilimia 5.

Hata hivyo alisisitiza hatua za Serikali kuelekea Bima ya Afya kwa Wote ni suluhisho kwa sababu wengi wakichangia si wote wataugua kwa wakati mmoja, hivyo huduma zitaongezeka na wengi watanufaika.

MWANANCHI
Mchango wa NHIF anaolipa mwanachama ni mdogo sana haulingani na huduma mnazopata hilo nalo kwani hamlioni
 
Dar es Salaam. Wakati ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere ikibainisha wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) walijikopesha Sh41.42 bilioni na kusuasua kuzilipa, menejimenti ya uongozi wa mfuko huo umetoa ufafanuzi.

Katika ripoti hiyo ya mwaka 2021/22, CAG Kichere anasema kuna kupungua kwa ukwasi wa mfuko huo unaochangiwa na mambo mengi, kutorejeshwa kwa mikopo ya watumishi wa NHIF.

“Nilibaini kuwa hadi Juni 30, 2022, NHIF ilikuwa na mikopo ya wafanyakazi ambayo haijalipwa Sh41.42 bilioni, kati yake Sh11.18 bilioni ikiwa mikopo mipya iliyotolewa 2021/22.”

CAG anasema mikopo hiyo ilitolewa bila kuzingatia mahitaji ya aya 1.4 ya sera ya mikopo ya wafanyakazi wa mfuko ambayo inahitaji mikopo kutolewa chini ya mfumo wa kukopa na kulipa,” anasema CAG.

Aliongeza: “Nilibaini kupungua kwa ukwasi wa fedha za mfuko huo, hata hivyo mfuko uliongeza ukomo wa mkopo kwa wafanyakazi, hii inatokana na mfumo usioridhisha wa usimamizi wa mfuko wa mkopo kwa wafanyakazi”

Akitoa ufafanuzi kuhusu suala hilo, Mkuu wa kitengo cha mawasiliano NHIF, Angela Mziray alisema “mikopo inayotolewa kwa wafanyakazi wa mfuko ipo kisera kama ilivyo kwa taasisi nyingine za umma na binafsi kwa ajili ya motisha na inarejeshwa kila mwezi na watumishi kupitia mishahara yao pamoja na riba, pia ina bima ili kuhakikisha hakuna hasara,” alifafanua Mziray.

Hata hivyo, katika mapendekezo yake, CAG anasema NHIF itekeleze sera ya mikopo na kuanzisha mfuko wa kukopa na kulipa ili kuepuka kuathiri ukwasi wa mfuko.

cag-info.png


Malipo hewa
Si mikopo tu, ripoti hiyo ya CAG imeonyesha NHIF ilivilipa vituo vya afya madai yasiyo ya kweli yanayofikia Sh14.46 bilioni kwa kipindi cha mwaka 2019/20 hadi 2021/22.

Mbali na hili, CAG amebaini watumishi 146 wakiwemo 129 wa vituo vya afya na wa mfuko huo walijihusisha na vitendo vya udanganyifu.

“Watumishi 146 wa NHIF na wa vituo vya afya walijihusisha na vitendo vya udanganyifu, lakini Kitengo cha Kupambana na Udanganyifu kiliripoti maofisa 17 tu wa mfuko waliojihusisha na vitendo vya udanganyifu kwa kamati za nidhamu,” anasema CAG.

Kuhusu suala hilo, Mziray alisema; "hapa 129 ni watumishi wa vituo vya matibabu, hawa NHIF tuliwaripoti kwenye mabaraza ya kitaaluma na watumishi wa NHIF 17 wameripotiwa kwenye kamati za nidhamu za Mfuko na Jumla ni 146.”

Vilevile, CAG anasema ripoti za kupambana na udanganyifu kati ya 2019/20 na 2021/22 zilibaini kuwepo na madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi ambayo NHIF ilivilipa vituo vya afya.

“Kati ya Sh1.71 trilioni ambazo zililipwa kwa vituo vya kutolea huduma za afya kwa miaka mitatu ya fedha kuanzia 2019/20 hadi 2021/22, Sh14.46 bilioni zililipwa kwa madai ya uongo na yasiyo sahihi.

“Uchambuzi zaidi ulifanyika ili kupata malipo ya madai yasiyo ya kweli, katika vituo vya afya vya binafsi, Serikali na vile vya mashirika ya dini na kubaini vituo binafsi vya huduma ya afya vilikuwa na kiasi kikubwa cha madai yaliyolipwa yasiyo ya kweli ikilinganishwa na vya Serikali.

“Zaidi ya Sh10.38 bilioni zililipwa kwa vituo binafsi na madai katika vituo vya mashirika ya dini ilikuwa ni Sh2.49 bilioni na vituo vya Serikali ilikuwa Sh1.57 bilioni,” alisema CAG.

CAG alisema kumekuwa na ongezeko la madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi kutoka Sh4.32 bilioni mwaka wa fedha 2019/20 hadi Sh4.55 bilioni kwa mwaka wa fedha 2020/21 na Sh5.59 bilioni katika mwaka wa fedha 2021/22.

Kufuatia hilo, Mziray alisema, "hiyo ya Sh14.46 bilioni ni madai yaliyowasilishwa na vituo vya huduma za matibabu yasiyo ya kweli, ambayo yamepatikana kwenye ripoti za udanganyifu baada ya mfuko kufanya uchunguzi. Na sababu za madai haya zimetajwa hapo kwenye ripoti."

Hasara
Kwa upande mwingine, CAG alibaini mfuko huo ulipata hasara ya Sh205 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/2022, ikilinganishwa na hasara ya kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 ambapo ni Sh104 bilioni.
Akifafanua hilo, Mziray alisema fedha hizo si hasara, bali nakisi iliyotokana na mfuko kuelemewa kwa kuhudumia wagonjwa wengi ikilinganishwa na kiasi kinachokusanywa.

“Nakisi ya Sh205 bilioni inatokana na kwamba mfuko unalipa fedha nyingi zaidi za huduma wanazopata wanachama wake kwenye vituo, kuliko michango wanachama wanayochangia.”

Alisema kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza ambayo awali hayakuwepo nchini ambayo gharama yake ni kubwa kuyatibia ni mojawapo ya NHIF kupata nakisi hiyo.

Katika ripoti hiyo, CAG alisema katika mfuko huo kumekuwa na mtiririko hasi wa fedha katika shughuli zake za uendeshaji ambapo michango inaongezeka kwa asilimia 12.9 wakati matumizi yanaongezeka kwa asilimia 24.6.
CAG anasema taarifa ya tathmini ya mfuko kujiendesha inaonyesha mapato ya matumizi yataendelea kuwa chini na mfuko utatumia ziada iliyokusanywa na hivyo kusababisha ukwasi kuwa hasi ifikapo mwaka 2025.

CAG anapendekeza kuangaliwa upya namna ya kuuboresha mfuko, kuongeza wanachama wa hiari na kuboresha kanzidata ya Tehama na kuboresha usimamizi wa watoa huduma za afya.

Akizungumzia matokeo ya ukaguzo huo, Mwenyekiti wa Chama cha watoa huduma za afya binafsi Tanzania (Aphta), Dk Egina Makwabe alisema vituo binafsi vinaonekana kutumia fedha nyingi katika udanganyifu kwa kuwa hata malipo, kwa asilimia kubwa yanakwenda huko.

Dk Makwabe alifafanua kuwa madai ya udanganyifu kwa mfuko yapo chini ya asilimia 2 ambayo ni ndogo, kwani kwa viwango vya dunia ni asilimia 5.

Hata hivyo alisisitiza hatua za Serikali kuelekea Bima ya Afya kwa Wote ni suluhisho kwa sababu wengi wakichangia si wote wataugua kwa wakati mmoja, hivyo huduma zitaongezeka na wengi watanufaika.

MWANANCHI
Hii ripoti tuisomage kwa ujumla wake. Mbona inaonesha kabisa kwamba Mfuko unachukua hatua kwa vituo vinavyowasilisha madai ya udanganyifu na tayari takriban Bil. 7 zimesharejeshwa kwa Mfuko kati ya takriban Bil. 14 za udanganyifu zilizolipwa. Aidha vituo 32 vimeshasitishiwa mkataba na kuripotiwa kwa mamlaka husika
 
Dar es Salaam. Wakati ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere ikibainisha wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) walijikopesha Sh41.42 bilioni na kusuasua kuzilipa, menejimenti ya uongozi wa mfuko huo umetoa ufafanuzi.

Katika ripoti hiyo ya mwaka 2021/22, CAG Kichere anasema kuna kupungua kwa ukwasi wa mfuko huo unaochangiwa na mambo mengi, kutorejeshwa kwa mikopo ya watumishi wa NHIF.

“Nilibaini kuwa hadi Juni 30, 2022, NHIF ilikuwa na mikopo ya wafanyakazi ambayo haijalipwa Sh41.42 bilioni, kati yake Sh11.18 bilioni ikiwa mikopo mipya iliyotolewa 2021/22.”

CAG anasema mikopo hiyo ilitolewa bila kuzingatia mahitaji ya aya 1.4 ya sera ya mikopo ya wafanyakazi wa mfuko ambayo inahitaji mikopo kutolewa chini ya mfumo wa kukopa na kulipa,” anasema CAG.

Aliongeza: “Nilibaini kupungua kwa ukwasi wa fedha za mfuko huo, hata hivyo mfuko uliongeza ukomo wa mkopo kwa wafanyakazi, hii inatokana na mfumo usioridhisha wa usimamizi wa mfuko wa mkopo kwa wafanyakazi”

Akitoa ufafanuzi kuhusu suala hilo, Mkuu wa kitengo cha mawasiliano NHIF, Angela Mziray alisema “mikopo inayotolewa kwa wafanyakazi wa mfuko ipo kisera kama ilivyo kwa taasisi nyingine za umma na binafsi kwa ajili ya motisha na inarejeshwa kila mwezi na watumishi kupitia mishahara yao pamoja na riba, pia ina bima ili kuhakikisha hakuna hasara,” alifafanua Mziray.

Hata hivyo, katika mapendekezo yake, CAG anasema NHIF itekeleze sera ya mikopo na kuanzisha mfuko wa kukopa na kulipa ili kuepuka kuathiri ukwasi wa mfuko.

cag-info.png


Malipo hewa
Si mikopo tu, ripoti hiyo ya CAG imeonyesha NHIF ilivilipa vituo vya afya madai yasiyo ya kweli yanayofikia Sh14.46 bilioni kwa kipindi cha mwaka 2019/20 hadi 2021/22.

Mbali na hili, CAG amebaini watumishi 146 wakiwemo 129 wa vituo vya afya na wa mfuko huo walijihusisha na vitendo vya udanganyifu.

“Watumishi 146 wa NHIF na wa vituo vya afya walijihusisha na vitendo vya udanganyifu, lakini Kitengo cha Kupambana na Udanganyifu kiliripoti maofisa 17 tu wa mfuko waliojihusisha na vitendo vya udanganyifu kwa kamati za nidhamu,” anasema CAG.

Kuhusu suala hilo, Mziray alisema; "hapa 129 ni watumishi wa vituo vya matibabu, hawa NHIF tuliwaripoti kwenye mabaraza ya kitaaluma na watumishi wa NHIF 17 wameripotiwa kwenye kamati za nidhamu za Mfuko na Jumla ni 146.”

Vilevile, CAG anasema ripoti za kupambana na udanganyifu kati ya 2019/20 na 2021/22 zilibaini kuwepo na madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi ambayo NHIF ilivilipa vituo vya afya.

“Kati ya Sh1.71 trilioni ambazo zililipwa kwa vituo vya kutolea huduma za afya kwa miaka mitatu ya fedha kuanzia 2019/20 hadi 2021/22, Sh14.46 bilioni zililipwa kwa madai ya uongo na yasiyo sahihi.

“Uchambuzi zaidi ulifanyika ili kupata malipo ya madai yasiyo ya kweli, katika vituo vya afya vya binafsi, Serikali na vile vya mashirika ya dini na kubaini vituo binafsi vya huduma ya afya vilikuwa na kiasi kikubwa cha madai yaliyolipwa yasiyo ya kweli ikilinganishwa na vya Serikali.

“Zaidi ya Sh10.38 bilioni zililipwa kwa vituo binafsi na madai katika vituo vya mashirika ya dini ilikuwa ni Sh2.49 bilioni na vituo vya Serikali ilikuwa Sh1.57 bilioni,” alisema CAG.

CAG alisema kumekuwa na ongezeko la madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi kutoka Sh4.32 bilioni mwaka wa fedha 2019/20 hadi Sh4.55 bilioni kwa mwaka wa fedha 2020/21 na Sh5.59 bilioni katika mwaka wa fedha 2021/22.

Kufuatia hilo, Mziray alisema, "hiyo ya Sh14.46 bilioni ni madai yaliyowasilishwa na vituo vya huduma za matibabu yasiyo ya kweli, ambayo yamepatikana kwenye ripoti za udanganyifu baada ya mfuko kufanya uchunguzi. Na sababu za madai haya zimetajwa hapo kwenye ripoti."

Hasara
Kwa upande mwingine, CAG alibaini mfuko huo ulipata hasara ya Sh205 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/2022, ikilinganishwa na hasara ya kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 ambapo ni Sh104 bilioni.
Akifafanua hilo, Mziray alisema fedha hizo si hasara, bali nakisi iliyotokana na mfuko kuelemewa kwa kuhudumia wagonjwa wengi ikilinganishwa na kiasi kinachokusanywa.

“Nakisi ya Sh205 bilioni inatokana na kwamba mfuko unalipa fedha nyingi zaidi za huduma wanazopata wanachama wake kwenye vituo, kuliko michango wanachama wanayochangia.”

Alisema kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza ambayo awali hayakuwepo nchini ambayo gharama yake ni kubwa kuyatibia ni mojawapo ya NHIF kupata nakisi hiyo.

Katika ripoti hiyo, CAG alisema katika mfuko huo kumekuwa na mtiririko hasi wa fedha katika shughuli zake za uendeshaji ambapo michango inaongezeka kwa asilimia 12.9 wakati matumizi yanaongezeka kwa asilimia 24.6.
CAG anasema taarifa ya tathmini ya mfuko kujiendesha inaonyesha mapato ya matumizi yataendelea kuwa chini na mfuko utatumia ziada iliyokusanywa na hivyo kusababisha ukwasi kuwa hasi ifikapo mwaka 2025.

CAG anapendekeza kuangaliwa upya namna ya kuuboresha mfuko, kuongeza wanachama wa hiari na kuboresha kanzidata ya Tehama na kuboresha usimamizi wa watoa huduma za afya.

Akizungumzia matokeo ya ukaguzo huo, Mwenyekiti wa Chama cha watoa huduma za afya binafsi Tanzania (Aphta), Dk Egina Makwabe alisema vituo binafsi vinaonekana kutumia fedha nyingi katika udanganyifu kwa kuwa hata malipo, kwa asilimia kubwa yanakwenda huko.

Dk Makwabe alifafanua kuwa madai ya udanganyifu kwa mfuko yapo chini ya asilimia 2 ambayo ni ndogo, kwani kwa viwango vya dunia ni asilimia 5.

Hata hivyo alisisitiza hatua za Serikali kuelekea Bima ya Afya kwa Wote ni suluhisho kwa sababu wengi wakichangia si wote wataugua kwa wakati mmoja, hivyo huduma zitaongezeka na wengi watanufaika.

MWANANCHI
Watanzania tujifunze kusoma ripoti nzima na kuelewa maana yake, hii mikopo iliyoelezewa hapa ni mikopo kama ilivyo mikopo mingine na hapo hakuna fedha ambayo imeropotiwa kupotea, tujifunze kuelewa na sio kuishambulia NHIF na kusahau mazuri yote yanayofanywa na Mfuko.

Kuna maelfu ya Watanzania wako Hospitalini muda huu na wanachotegemea ni NHIF, wapo ambao gharama zao kwa wiki ni zaidi ya Milioni moja na hizo gharama ni kwa maisha yao unadhani bila NHIF inawezekana? Tuache kuzua taharuki kwenye huu Mfuko unayo mazuri mengi unafanya.
 
Waondikane na nfuno huo, wawape madhirika binafsi ya bims ya uendeshe uone kama yatatokea huko yanayotojea hili shirika la serikali.

Serikqli haiwezi kuendesha biashara yoyote ile.
NHIF wanafanya biashara? Maana utasema hata muhimbili, Amana hodpitaly nazo wapewe watu binafsi
 
Mapungufu ya NHIF yaangaliwe kwa umakini kwani mengine yamesababishwa na kutoongezeka kwa michango, wizi wa vituo, wanachama kuuza kadi zao na kuwatibia watu wasiostahili, kwa mawazo yangu NHIF inastahili pongezi na sio haya
 
Hii ni propaganda chafu dhidi ya nhif kwani taasisi zingine hamjaona wakijikopesha au ndio NHIF tu mnataka kuionea acheni ukilitimba
 
Mchango wa NHIF anaolipa mwanachama ni mdogo sana haulingani na huduma mnazopata hilo nalo kwani hamlioni
 
Dar es Salaam. Wakati ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere ikibainisha wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) walijikopesha Sh41.42 bilioni na kusuasua kuzilipa, menejimenti ya uongozi wa mfuko huo umetoa ufafanuzi.

Katika ripoti hiyo ya mwaka 2021/22, CAG Kichere anasema kuna kupungua kwa ukwasi wa mfuko huo unaochangiwa na mambo mengi, kutorejeshwa kwa mikopo ya watumishi wa NHIF.

“Nilibaini kuwa hadi Juni 30, 2022, NHIF ilikuwa na mikopo ya wafanyakazi ambayo haijalipwa Sh41.42 bilioni, kati yake Sh11.18 bilioni ikiwa mikopo mipya iliyotolewa 2021/22.”

CAG anasema mikopo hiyo ilitolewa bila kuzingatia mahitaji ya aya 1.4 ya sera ya mikopo ya wafanyakazi wa mfuko ambayo inahitaji mikopo kutolewa chini ya mfumo wa kukopa na kulipa,” anasema CAG.

Aliongeza: “Nilibaini kupungua kwa ukwasi wa fedha za mfuko huo, hata hivyo mfuko uliongeza ukomo wa mkopo kwa wafanyakazi, hii inatokana na mfumo usioridhisha wa usimamizi wa mfuko wa mkopo kwa wafanyakazi”

Akitoa ufafanuzi kuhusu suala hilo, Mkuu wa kitengo cha mawasiliano NHIF, Angela Mziray alisema “mikopo inayotolewa kwa wafanyakazi wa mfuko ipo kisera kama ilivyo kwa taasisi nyingine za umma na binafsi kwa ajili ya motisha na inarejeshwa kila mwezi na watumishi kupitia mishahara yao pamoja na riba, pia ina bima ili kuhakikisha hakuna hasara,” alifafanua Mziray.

Hata hivyo, katika mapendekezo yake, CAG anasema NHIF itekeleze sera ya mikopo na kuanzisha mfuko wa kukopa na kulipa ili kuepuka kuathiri ukwasi wa mfuko.

cag-info.png


Malipo hewa
Si mikopo tu, ripoti hiyo ya CAG imeonyesha NHIF ilivilipa vituo vya afya madai yasiyo ya kweli yanayofikia Sh14.46 bilioni kwa kipindi cha mwaka 2019/20 hadi 2021/22.

Mbali na hili, CAG amebaini watumishi 146 wakiwemo 129 wa vituo vya afya na wa mfuko huo walijihusisha na vitendo vya udanganyifu.

“Watumishi 146 wa NHIF na wa vituo vya afya walijihusisha na vitendo vya udanganyifu, lakini Kitengo cha Kupambana na Udanganyifu kiliripoti maofisa 17 tu wa mfuko waliojihusisha na vitendo vya udanganyifu kwa kamati za nidhamu,” anasema CAG.

Kuhusu suala hilo, Mziray alisema; "hapa 129 ni watumishi wa vituo vya matibabu, hawa NHIF tuliwaripoti kwenye mabaraza ya kitaaluma na watumishi wa NHIF 17 wameripotiwa kwenye kamati za nidhamu za Mfuko na Jumla ni 146.”

Vilevile, CAG anasema ripoti za kupambana na udanganyifu kati ya 2019/20 na 2021/22 zilibaini kuwepo na madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi ambayo NHIF ilivilipa vituo vya afya.

“Kati ya Sh1.71 trilioni ambazo zililipwa kwa vituo vya kutolea huduma za afya kwa miaka mitatu ya fedha kuanzia 2019/20 hadi 2021/22, Sh14.46 bilioni zililipwa kwa madai ya uongo na yasiyo sahihi.

“Uchambuzi zaidi ulifanyika ili kupata malipo ya madai yasiyo ya kweli, katika vituo vya afya vya binafsi, Serikali na vile vya mashirika ya dini na kubaini vituo binafsi vya huduma ya afya vilikuwa na kiasi kikubwa cha madai yaliyolipwa yasiyo ya kweli ikilinganishwa na vya Serikali.

“Zaidi ya Sh10.38 bilioni zililipwa kwa vituo binafsi na madai katika vituo vya mashirika ya dini ilikuwa ni Sh2.49 bilioni na vituo vya Serikali ilikuwa Sh1.57 bilioni,” alisema CAG.

CAG alisema kumekuwa na ongezeko la madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi kutoka Sh4.32 bilioni mwaka wa fedha 2019/20 hadi Sh4.55 bilioni kwa mwaka wa fedha 2020/21 na Sh5.59 bilioni katika mwaka wa fedha 2021/22.

Kufuatia hilo, Mziray alisema, "hiyo ya Sh14.46 bilioni ni madai yaliyowasilishwa na vituo vya huduma za matibabu yasiyo ya kweli, ambayo yamepatikana kwenye ripoti za udanganyifu baada ya mfuko kufanya uchunguzi. Na sababu za madai haya zimetajwa hapo kwenye ripoti."

Hasara
Kwa upande mwingine, CAG alibaini mfuko huo ulipata hasara ya Sh205 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/2022, ikilinganishwa na hasara ya kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 ambapo ni Sh104 bilioni.
Akifafanua hilo, Mziray alisema fedha hizo si hasara, bali nakisi iliyotokana na mfuko kuelemewa kwa kuhudumia wagonjwa wengi ikilinganishwa na kiasi kinachokusanywa.

“Nakisi ya Sh205 bilioni inatokana na kwamba mfuko unalipa fedha nyingi zaidi za huduma wanazopata wanachama wake kwenye vituo, kuliko michango wanachama wanayochangia.”

Alisema kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza ambayo awali hayakuwepo nchini ambayo gharama yake ni kubwa kuyatibia ni mojawapo ya NHIF kupata nakisi hiyo.

Katika ripoti hiyo, CAG alisema katika mfuko huo kumekuwa na mtiririko hasi wa fedha katika shughuli zake za uendeshaji ambapo michango inaongezeka kwa asilimia 12.9 wakati matumizi yanaongezeka kwa asilimia 24.6.
CAG anasema taarifa ya tathmini ya mfuko kujiendesha inaonyesha mapato ya matumizi yataendelea kuwa chini na mfuko utatumia ziada iliyokusanywa na hivyo kusababisha ukwasi kuwa hasi ifikapo mwaka 2025.

CAG anapendekeza kuangaliwa upya namna ya kuuboresha mfuko, kuongeza wanachama wa hiari na kuboresha kanzidata ya Tehama na kuboresha usimamizi wa watoa huduma za afya.

Akizungumzia matokeo ya ukaguzo huo, Mwenyekiti wa Chama cha watoa huduma za afya binafsi Tanzania (Aphta), Dk Egina Makwabe alisema vituo binafsi vinaonekana kutumia fedha nyingi katika udanganyifu kwa kuwa hata malipo, kwa asilimia kubwa yanakwenda huko.

Dk Makwabe alifafanua kuwa madai ya udanganyifu kwa mfuko yapo chini ya asilimia 2 ambayo ni ndogo, kwani kwa viwango vya dunia ni asilimia 5.

Hata hivyo alisisitiza hatua za Serikali kuelekea Bima ya Afya kwa Wote ni suluhisho kwa sababu wengi wakichangia si wote wataugua kwa wakati mmoja, hivyo huduma zitaongezeka na wengi watanufaika.

MWANANCHI
Kwanza kuna wanachama mnahujumu Mfuko halafu mnakimbilia hapa kushinikiza Uongozi uondolewe ili muendelee kuuibia, wapo watoa huduma ambao mnashirikiana na wachama kuhujumu Mfuko mbona hamsemi?
 
Dar es Salaam. Wakati ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere ikibainisha wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) walijikopesha Sh41.42 bilioni na kusuasua kuzilipa, menejimenti ya uongozi wa mfuko huo umetoa ufafanuzi.

Katika ripoti hiyo ya mwaka 2021/22, CAG Kichere anasema kuna kupungua kwa ukwasi wa mfuko huo unaochangiwa na mambo mengi, kutorejeshwa kwa mikopo ya watumishi wa NHIF.

“Nilibaini kuwa hadi Juni 30, 2022, NHIF ilikuwa na mikopo ya wafanyakazi ambayo haijalipwa Sh41.42 bilioni, kati yake Sh11.18 bilioni ikiwa mikopo mipya iliyotolewa 2021/22.”

CAG anasema mikopo hiyo ilitolewa bila kuzingatia mahitaji ya aya 1.4 ya sera ya mikopo ya wafanyakazi wa mfuko ambayo inahitaji mikopo kutolewa chini ya mfumo wa kukopa na kulipa,” anasema CAG.

Aliongeza: “Nilibaini kupungua kwa ukwasi wa fedha za mfuko huo, hata hivyo mfuko uliongeza ukomo wa mkopo kwa wafanyakazi, hii inatokana na mfumo usioridhisha wa usimamizi wa mfuko wa mkopo kwa wafanyakazi”

Akitoa ufafanuzi kuhusu suala hilo, Mkuu wa kitengo cha mawasiliano NHIF, Angela Mziray alisema “mikopo inayotolewa kwa wafanyakazi wa mfuko ipo kisera kama ilivyo kwa taasisi nyingine za umma na binafsi kwa ajili ya motisha na inarejeshwa kila mwezi na watumishi kupitia mishahara yao pamoja na riba, pia ina bima ili kuhakikisha hakuna hasara,” alifafanua Mziray.

Hata hivyo, katika mapendekezo yake, CAG anasema NHIF itekeleze sera ya mikopo na kuanzisha mfuko wa kukopa na kulipa ili kuepuka kuathiri ukwasi wa mfuko.

cag-info.png


Malipo hewa
Si mikopo tu, ripoti hiyo ya CAG imeonyesha NHIF ilivilipa vituo vya afya madai yasiyo ya kweli yanayofikia Sh14.46 bilioni kwa kipindi cha mwaka 2019/20 hadi 2021/22.

Mbali na hili, CAG amebaini watumishi 146 wakiwemo 129 wa vituo vya afya na wa mfuko huo walijihusisha na vitendo vya udanganyifu.

“Watumishi 146 wa NHIF na wa vituo vya afya walijihusisha na vitendo vya udanganyifu, lakini Kitengo cha Kupambana na Udanganyifu kiliripoti maofisa 17 tu wa mfuko waliojihusisha na vitendo vya udanganyifu kwa kamati za nidhamu,” anasema CAG.

Kuhusu suala hilo, Mziray alisema; "hapa 129 ni watumishi wa vituo vya matibabu, hawa NHIF tuliwaripoti kwenye mabaraza ya kitaaluma na watumishi wa NHIF 17 wameripotiwa kwenye kamati za nidhamu za Mfuko na Jumla ni 146.”

Vilevile, CAG anasema ripoti za kupambana na udanganyifu kati ya 2019/20 na 2021/22 zilibaini kuwepo na madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi ambayo NHIF ilivilipa vituo vya afya.

“Kati ya Sh1.71 trilioni ambazo zililipwa kwa vituo vya kutolea huduma za afya kwa miaka mitatu ya fedha kuanzia 2019/20 hadi 2021/22, Sh14.46 bilioni zililipwa kwa madai ya uongo na yasiyo sahihi.

“Uchambuzi zaidi ulifanyika ili kupata malipo ya madai yasiyo ya kweli, katika vituo vya afya vya binafsi, Serikali na vile vya mashirika ya dini na kubaini vituo binafsi vya huduma ya afya vilikuwa na kiasi kikubwa cha madai yaliyolipwa yasiyo ya kweli ikilinganishwa na vya Serikali.

“Zaidi ya Sh10.38 bilioni zililipwa kwa vituo binafsi na madai katika vituo vya mashirika ya dini ilikuwa ni Sh2.49 bilioni na vituo vya Serikali ilikuwa Sh1.57 bilioni,” alisema CAG.

CAG alisema kumekuwa na ongezeko la madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi kutoka Sh4.32 bilioni mwaka wa fedha 2019/20 hadi Sh4.55 bilioni kwa mwaka wa fedha 2020/21 na Sh5.59 bilioni katika mwaka wa fedha 2021/22.

Kufuatia hilo, Mziray alisema, "hiyo ya Sh14.46 bilioni ni madai yaliyowasilishwa na vituo vya huduma za matibabu yasiyo ya kweli, ambayo yamepatikana kwenye ripoti za udanganyifu baada ya mfuko kufanya uchunguzi. Na sababu za madai haya zimetajwa hapo kwenye ripoti."

Hasara
Kwa upande mwingine, CAG alibaini mfuko huo ulipata hasara ya Sh205 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/2022, ikilinganishwa na hasara ya kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 ambapo ni Sh104 bilioni.
Akifafanua hilo, Mziray alisema fedha hizo si hasara, bali nakisi iliyotokana na mfuko kuelemewa kwa kuhudumia wagonjwa wengi ikilinganishwa na kiasi kinachokusanywa.

“Nakisi ya Sh205 bilioni inatokana na kwamba mfuko unalipa fedha nyingi zaidi za huduma wanazopata wanachama wake kwenye vituo, kuliko michango wanachama wanayochangia.”

Alisema kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza ambayo awali hayakuwepo nchini ambayo gharama yake ni kubwa kuyatibia ni mojawapo ya NHIF kupata nakisi hiyo.

Katika ripoti hiyo, CAG alisema katika mfuko huo kumekuwa na mtiririko hasi wa fedha katika shughuli zake za uendeshaji ambapo michango inaongezeka kwa asilimia 12.9 wakati matumizi yanaongezeka kwa asilimia 24.6.
CAG anasema taarifa ya tathmini ya mfuko kujiendesha inaonyesha mapato ya matumizi yataendelea kuwa chini na mfuko utatumia ziada iliyokusanywa na hivyo kusababisha ukwasi kuwa hasi ifikapo mwaka 2025.

CAG anapendekeza kuangaliwa upya namna ya kuuboresha mfuko, kuongeza wanachama wa hiari na kuboresha kanzidata ya Tehama na kuboresha usimamizi wa watoa huduma za afya.

Akizungumzia matokeo ya ukaguzo huo, Mwenyekiti wa Chama cha watoa huduma za afya binafsi Tanzania (Aphta), Dk Egina Makwabe alisema vituo binafsi vinaonekana kutumia fedha nyingi katika udanganyifu kwa kuwa hata malipo, kwa asilimia kubwa yanakwenda huko.

Dk Makwabe alifafanua kuwa madai ya udanganyifu kwa mfuko yapo chini ya asilimia 2 ambayo ni ndogo, kwani kwa viwango vya dunia ni asilimia 5.

Hata hivyo alisisitiza hatua za Serikali kuelekea Bima ya Afya kwa Wote ni suluhisho kwa sababu wengi wakichangia si wote wataugua kwa wakati mmoja, hivyo huduma zitaongezeka na wengi watanufaika.

MWANANCHI
Halafu ukisoma vizuri unaona kabisa CAG anasema kutokana na taarifa za uchunguzi zinazofanywa na NHIF ndio udanganyifu huu umebainika. Ina maana NHIF wenyewe wanapambana kubaini udanganyifu na kuchukua hatua ripoti za NHIF stahiki
 
Dar es Salaam. Wakati ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere ikibainisha wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) walijikopesha Sh41.42 bilioni na kusuasua kuzilipa, menejimenti ya uongozi wa mfuko huo umetoa ufafanuzi.

Katika ripoti hiyo ya mwaka 2021/22, CAG Kichere anasema kuna kupungua kwa ukwasi wa mfuko huo unaochangiwa na mambo mengi, kutorejeshwa kwa mikopo ya watumishi wa NHIF.

“Nilibaini kuwa hadi Juni 30, 2022, NHIF ilikuwa na mikopo ya wafanyakazi ambayo haijalipwa Sh41.42 bilioni, kati yake Sh11.18 bilioni ikiwa mikopo mipya iliyotolewa 2021/22.”

CAG anasema mikopo hiyo ilitolewa bila kuzingatia mahitaji ya aya 1.4 ya sera ya mikopo ya wafanyakazi wa mfuko ambayo inahitaji mikopo kutolewa chini ya mfumo wa kukopa na kulipa,” anasema CAG.

Aliongeza: “Nilibaini kupungua kwa ukwasi wa fedha za mfuko huo, hata hivyo mfuko uliongeza ukomo wa mkopo kwa wafanyakazi, hii inatokana na mfumo usioridhisha wa usimamizi wa mfuko wa mkopo kwa wafanyakazi”

Akitoa ufafanuzi kuhusu suala hilo, Mkuu wa kitengo cha mawasiliano NHIF, Angela Mziray alisema “mikopo inayotolewa kwa wafanyakazi wa mfuko ipo kisera kama ilivyo kwa taasisi nyingine za umma na binafsi kwa ajili ya motisha na inarejeshwa kila mwezi na watumishi kupitia mishahara yao pamoja na riba, pia ina bima ili kuhakikisha hakuna hasara,” alifafanua Mziray.

Hata hivyo, katika mapendekezo yake, CAG anasema NHIF itekeleze sera ya mikopo na kuanzisha mfuko wa kukopa na kulipa ili kuepuka kuathiri ukwasi wa mfuko.

cag-info.png


Malipo hewa
Si mikopo tu, ripoti hiyo ya CAG imeonyesha NHIF ilivilipa vituo vya afya madai yasiyo ya kweli yanayofikia Sh14.46 bilioni kwa kipindi cha mwaka 2019/20 hadi 2021/22.

Mbali na hili, CAG amebaini watumishi 146 wakiwemo 129 wa vituo vya afya na wa mfuko huo walijihusisha na vitendo vya udanganyifu.

“Watumishi 146 wa NHIF na wa vituo vya afya walijihusisha na vitendo vya udanganyifu, lakini Kitengo cha Kupambana na Udanganyifu kiliripoti maofisa 17 tu wa mfuko waliojihusisha na vitendo vya udanganyifu kwa kamati za nidhamu,” anasema CAG.

Kuhusu suala hilo, Mziray alisema; "hapa 129 ni watumishi wa vituo vya matibabu, hawa NHIF tuliwaripoti kwenye mabaraza ya kitaaluma na watumishi wa NHIF 17 wameripotiwa kwenye kamati za nidhamu za Mfuko na Jumla ni 146.”

Vilevile, CAG anasema ripoti za kupambana na udanganyifu kati ya 2019/20 na 2021/22 zilibaini kuwepo na madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi ambayo NHIF ilivilipa vituo vya afya.

“Kati ya Sh1.71 trilioni ambazo zililipwa kwa vituo vya kutolea huduma za afya kwa miaka mitatu ya fedha kuanzia 2019/20 hadi 2021/22, Sh14.46 bilioni zililipwa kwa madai ya uongo na yasiyo sahihi.

“Uchambuzi zaidi ulifanyika ili kupata malipo ya madai yasiyo ya kweli, katika vituo vya afya vya binafsi, Serikali na vile vya mashirika ya dini na kubaini vituo binafsi vya huduma ya afya vilikuwa na kiasi kikubwa cha madai yaliyolipwa yasiyo ya kweli ikilinganishwa na vya Serikali.

“Zaidi ya Sh10.38 bilioni zililipwa kwa vituo binafsi na madai katika vituo vya mashirika ya dini ilikuwa ni Sh2.49 bilioni na vituo vya Serikali ilikuwa Sh1.57 bilioni,” alisema CAG.

CAG alisema kumekuwa na ongezeko la madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi kutoka Sh4.32 bilioni mwaka wa fedha 2019/20 hadi Sh4.55 bilioni kwa mwaka wa fedha 2020/21 na Sh5.59 bilioni katika mwaka wa fedha 2021/22.

Kufuatia hilo, Mziray alisema, "hiyo ya Sh14.46 bilioni ni madai yaliyowasilishwa na vituo vya huduma za matibabu yasiyo ya kweli, ambayo yamepatikana kwenye ripoti za udanganyifu baada ya mfuko kufanya uchunguzi. Na sababu za madai haya zimetajwa hapo kwenye ripoti."

Hasara
Kwa upande mwingine, CAG alibaini mfuko huo ulipata hasara ya Sh205 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/2022, ikilinganishwa na hasara ya kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 ambapo ni Sh104 bilioni.
Akifafanua hilo, Mziray alisema fedha hizo si hasara, bali nakisi iliyotokana na mfuko kuelemewa kwa kuhudumia wagonjwa wengi ikilinganishwa na kiasi kinachokusanywa.

“Nakisi ya Sh205 bilioni inatokana na kwamba mfuko unalipa fedha nyingi zaidi za huduma wanazopata wanachama wake kwenye vituo, kuliko michango wanachama wanayochangia.”

Alisema kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza ambayo awali hayakuwepo nchini ambayo gharama yake ni kubwa kuyatibia ni mojawapo ya NHIF kupata nakisi hiyo.

Katika ripoti hiyo, CAG alisema katika mfuko huo kumekuwa na mtiririko hasi wa fedha katika shughuli zake za uendeshaji ambapo michango inaongezeka kwa asilimia 12.9 wakati matumizi yanaongezeka kwa asilimia 24.6.
CAG anasema taarifa ya tathmini ya mfuko kujiendesha inaonyesha mapato ya matumizi yataendelea kuwa chini na mfuko utatumia ziada iliyokusanywa na hivyo kusababisha ukwasi kuwa hasi ifikapo mwaka 2025.

CAG anapendekeza kuangaliwa upya namna ya kuuboresha mfuko, kuongeza wanachama wa hiari na kuboresha kanzidata ya Tehama na kuboresha usimamizi wa watoa huduma za afya.

Akizungumzia matokeo ya ukaguzo huo, Mwenyekiti wa Chama cha watoa huduma za afya binafsi Tanzania (Aphta), Dk Egina Makwabe alisema vituo binafsi vinaonekana kutumia fedha nyingi katika udanganyifu kwa kuwa hata malipo, kwa asilimia kubwa yanakwenda huko.

Dk Makwabe alifafanua kuwa madai ya udanganyifu kwa mfuko yapo chini ya asilimia 2 ambayo ni ndogo, kwani kwa viwango vya dunia ni asilimia 5.

Hata hivyo alisisitiza hatua za Serikali kuelekea Bima ya Afya kwa Wote ni suluhisho kwa sababu wengi wakichangia si wote wataugua kwa wakati mmoja, hivyo huduma zitaongezeka na wengi watanufaika.

MWANANCHI
Hii ripoti tuisomage kwa ujumla wake. Mbona inaonesha kabisa kwamba Mfuko unachukua hatua kwa vituo vinavyowasilisha madai ya udanganyifu na tayari takriban Bil. 7 zimesharejeshwa kwa Mfuko kati ya takriban Bil. 14 za udanganyifu zilizolipwa. Aidha vituo 32 vimeshasitishiwa mkataba na kuripotiwa kwa mamlaka husika
 
Dar es Salaam. Wakati ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere ikibainisha wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) walijikopesha Sh41.42 bilioni na kusuasua kuzilipa, menejimenti ya uongozi wa mfuko huo umetoa ufafanuzi.

Katika ripoti hiyo ya mwaka 2021/22, CAG Kichere anasema kuna kupungua kwa ukwasi wa mfuko huo unaochangiwa na mambo mengi, kutorejeshwa kwa mikopo ya watumishi wa NHIF.

“Nilibaini kuwa hadi Juni 30, 2022, NHIF ilikuwa na mikopo ya wafanyakazi ambayo haijalipwa Sh41.42 bilioni, kati yake Sh11.18 bilioni ikiwa mikopo mipya iliyotolewa 2021/22.”

CAG anasema mikopo hiyo ilitolewa bila kuzingatia mahitaji ya aya 1.4 ya sera ya mikopo ya wafanyakazi wa mfuko ambayo inahitaji mikopo kutolewa chini ya mfumo wa kukopa na kulipa,” anasema CAG.

Aliongeza: “Nilibaini kupungua kwa ukwasi wa fedha za mfuko huo, hata hivyo mfuko uliongeza ukomo wa mkopo kwa wafanyakazi, hii inatokana na mfumo usioridhisha wa usimamizi wa mfuko wa mkopo kwa wafanyakazi”

Akitoa ufafanuzi kuhusu suala hilo, Mkuu wa kitengo cha mawasiliano NHIF, Angela Mziray alisema “mikopo inayotolewa kwa wafanyakazi wa mfuko ipo kisera kama ilivyo kwa taasisi nyingine za umma na binafsi kwa ajili ya motisha na inarejeshwa kila mwezi na watumishi kupitia mishahara yao pamoja na riba, pia ina bima ili kuhakikisha hakuna hasara,” alifafanua Mziray.

Hata hivyo, katika mapendekezo yake, CAG anasema NHIF itekeleze sera ya mikopo na kuanzisha mfuko wa kukopa na kulipa ili kuepuka kuathiri ukwasi wa mfuko.

cag-info.png


Malipo hewa
Si mikopo tu, ripoti hiyo ya CAG imeonyesha NHIF ilivilipa vituo vya afya madai yasiyo ya kweli yanayofikia Sh14.46 bilioni kwa kipindi cha mwaka 2019/20 hadi 2021/22.

Mbali na hili, CAG amebaini watumishi 146 wakiwemo 129 wa vituo vya afya na wa mfuko huo walijihusisha na vitendo vya udanganyifu.

“Watumishi 146 wa NHIF na wa vituo vya afya walijihusisha na vitendo vya udanganyifu, lakini Kitengo cha Kupambana na Udanganyifu kiliripoti maofisa 17 tu wa mfuko waliojihusisha na vitendo vya udanganyifu kwa kamati za nidhamu,” anasema CAG.

Kuhusu suala hilo, Mziray alisema; "hapa 129 ni watumishi wa vituo vya matibabu, hawa NHIF tuliwaripoti kwenye mabaraza ya kitaaluma na watumishi wa NHIF 17 wameripotiwa kwenye kamati za nidhamu za Mfuko na Jumla ni 146.”

Vilevile, CAG anasema ripoti za kupambana na udanganyifu kati ya 2019/20 na 2021/22 zilibaini kuwepo na madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi ambayo NHIF ilivilipa vituo vya afya.

“Kati ya Sh1.71 trilioni ambazo zililipwa kwa vituo vya kutolea huduma za afya kwa miaka mitatu ya fedha kuanzia 2019/20 hadi 2021/22, Sh14.46 bilioni zililipwa kwa madai ya uongo na yasiyo sahihi.

“Uchambuzi zaidi ulifanyika ili kupata malipo ya madai yasiyo ya kweli, katika vituo vya afya vya binafsi, Serikali na vile vya mashirika ya dini na kubaini vituo binafsi vya huduma ya afya vilikuwa na kiasi kikubwa cha madai yaliyolipwa yasiyo ya kweli ikilinganishwa na vya Serikali.

“Zaidi ya Sh10.38 bilioni zililipwa kwa vituo binafsi na madai katika vituo vya mashirika ya dini ilikuwa ni Sh2.49 bilioni na vituo vya Serikali ilikuwa Sh1.57 bilioni,” alisema CAG.

CAG alisema kumekuwa na ongezeko la madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi kutoka Sh4.32 bilioni mwaka wa fedha 2019/20 hadi Sh4.55 bilioni kwa mwaka wa fedha 2020/21 na Sh5.59 bilioni katika mwaka wa fedha 2021/22.

Kufuatia hilo, Mziray alisema, "hiyo ya Sh14.46 bilioni ni madai yaliyowasilishwa na vituo vya huduma za matibabu yasiyo ya kweli, ambayo yamepatikana kwenye ripoti za udanganyifu baada ya mfuko kufanya uchunguzi. Na sababu za madai haya zimetajwa hapo kwenye ripoti."

Hasara
Kwa upande mwingine, CAG alibaini mfuko huo ulipata hasara ya Sh205 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/2022, ikilinganishwa na hasara ya kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 ambapo ni Sh104 bilioni.
Akifafanua hilo, Mziray alisema fedha hizo si hasara, bali nakisi iliyotokana na mfuko kuelemewa kwa kuhudumia wagonjwa wengi ikilinganishwa na kiasi kinachokusanywa.

“Nakisi ya Sh205 bilioni inatokana na kwamba mfuko unalipa fedha nyingi zaidi za huduma wanazopata wanachama wake kwenye vituo, kuliko michango wanachama wanayochangia.”

Alisema kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza ambayo awali hayakuwepo nchini ambayo gharama yake ni kubwa kuyatibia ni mojawapo ya NHIF kupata nakisi hiyo.

Katika ripoti hiyo, CAG alisema katika mfuko huo kumekuwa na mtiririko hasi wa fedha katika shughuli zake za uendeshaji ambapo michango inaongezeka kwa asilimia 12.9 wakati matumizi yanaongezeka kwa asilimia 24.6.
CAG anasema taarifa ya tathmini ya mfuko kujiendesha inaonyesha mapato ya matumizi yataendelea kuwa chini na mfuko utatumia ziada iliyokusanywa na hivyo kusababisha ukwasi kuwa hasi ifikapo mwaka 2025.

CAG anapendekeza kuangaliwa upya namna ya kuuboresha mfuko, kuongeza wanachama wa hiari na kuboresha kanzidata ya Tehama na kuboresha usimamizi wa watoa huduma za afya.

Akizungumzia matokeo ya ukaguzo huo, Mwenyekiti wa Chama cha watoa huduma za afya binafsi Tanzania (Aphta), Dk Egina Makwabe alisema vituo binafsi vinaonekana kutumia fedha nyingi katika udanganyifu kwa kuwa hata malipo, kwa asilimia kubwa yanakwenda huko.

Dk Makwabe alifafanua kuwa madai ya udanganyifu kwa mfuko yapo chini ya asilimia 2 ambayo ni ndogo, kwani kwa viwango vya dunia ni asilimia 5.

Hata hivyo alisisitiza hatua za Serikali kuelekea Bima ya Afya kwa Wote ni suluhisho kwa sababu wengi wakichangia si wote wataugua kwa wakati mmoja, hivyo huduma zitaongezeka na wengi watanufaika.

MWANANCHI
Watanzania tujifunze kusoma ripoti nzima na kuelewa maana yake, hii mikopo iliyoelezewa hapa ni mikopo kama ilivyo mikopo mingine na hapo hakuna fedha ambayo imeropotiwa kupotea, tujifunze kuelewa na sio kuishambulia NHIF na kusahau mazuri yote yanayofanywa na Mfuko.

Kuna maelfu ya Watanzania wako Hospitalini muda huu na wanachotegemea ni NHIF, wapo ambao gharama zao kwa wiki ni zaidi ya Milioni moja na hizo gharama ni kwa maisha yao unadhani bila NHIF inawezekana? Tuache kuzua taharuki kwenye huu Mfuko unayo mazuri mengi unafanya.
 
Dar es Salaam. Wakati ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere ikibainisha wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) walijikopesha Sh41.42 bilioni na kusuasua kuzilipa, menejimenti ya uongozi wa mfuko huo umetoa ufafanuzi.

Katika ripoti hiyo ya mwaka 2021/22, CAG Kichere anasema kuna kupungua kwa ukwasi wa mfuko huo unaochangiwa na mambo mengi, kutorejeshwa kwa mikopo ya watumishi wa NHIF.

“Nilibaini kuwa hadi Juni 30, 2022, NHIF ilikuwa na mikopo ya wafanyakazi ambayo haijalipwa Sh41.42 bilioni, kati yake Sh11.18 bilioni ikiwa mikopo mipya iliyotolewa 2021/22.”

CAG anasema mikopo hiyo ilitolewa bila kuzingatia mahitaji ya aya 1.4 ya sera ya mikopo ya wafanyakazi wa mfuko ambayo inahitaji mikopo kutolewa chini ya mfumo wa kukopa na kulipa,” anasema CAG.

Aliongeza: “Nilibaini kupungua kwa ukwasi wa fedha za mfuko huo, hata hivyo mfuko uliongeza ukomo wa mkopo kwa wafanyakazi, hii inatokana na mfumo usioridhisha wa usimamizi wa mfuko wa mkopo kwa wafanyakazi”

Akitoa ufafanuzi kuhusu suala hilo, Mkuu wa kitengo cha mawasiliano NHIF, Angela Mziray alisema “mikopo inayotolewa kwa wafanyakazi wa mfuko ipo kisera kama ilivyo kwa taasisi nyingine za umma na binafsi kwa ajili ya motisha na inarejeshwa kila mwezi na watumishi kupitia mishahara yao pamoja na riba, pia ina bima ili kuhakikisha hakuna hasara,” alifafanua Mziray.

Hata hivyo, katika mapendekezo yake, CAG anasema NHIF itekeleze sera ya mikopo na kuanzisha mfuko wa kukopa na kulipa ili kuepuka kuathiri ukwasi wa mfuko.

cag-info.png


Malipo hewa
Si mikopo tu, ripoti hiyo ya CAG imeonyesha NHIF ilivilipa vituo vya afya madai yasiyo ya kweli yanayofikia Sh14.46 bilioni kwa kipindi cha mwaka 2019/20 hadi 2021/22.

Mbali na hili, CAG amebaini watumishi 146 wakiwemo 129 wa vituo vya afya na wa mfuko huo walijihusisha na vitendo vya udanganyifu.

“Watumishi 146 wa NHIF na wa vituo vya afya walijihusisha na vitendo vya udanganyifu, lakini Kitengo cha Kupambana na Udanganyifu kiliripoti maofisa 17 tu wa mfuko waliojihusisha na vitendo vya udanganyifu kwa kamati za nidhamu,” anasema CAG.

Kuhusu suala hilo, Mziray alisema; "hapa 129 ni watumishi wa vituo vya matibabu, hawa NHIF tuliwaripoti kwenye mabaraza ya kitaaluma na watumishi wa NHIF 17 wameripotiwa kwenye kamati za nidhamu za Mfuko na Jumla ni 146.”

Vilevile, CAG anasema ripoti za kupambana na udanganyifu kati ya 2019/20 na 2021/22 zilibaini kuwepo na madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi ambayo NHIF ilivilipa vituo vya afya.

“Kati ya Sh1.71 trilioni ambazo zililipwa kwa vituo vya kutolea huduma za afya kwa miaka mitatu ya fedha kuanzia 2019/20 hadi 2021/22, Sh14.46 bilioni zililipwa kwa madai ya uongo na yasiyo sahihi.

“Uchambuzi zaidi ulifanyika ili kupata malipo ya madai yasiyo ya kweli, katika vituo vya afya vya binafsi, Serikali na vile vya mashirika ya dini na kubaini vituo binafsi vya huduma ya afya vilikuwa na kiasi kikubwa cha madai yaliyolipwa yasiyo ya kweli ikilinganishwa na vya Serikali.

“Zaidi ya Sh10.38 bilioni zililipwa kwa vituo binafsi na madai katika vituo vya mashirika ya dini ilikuwa ni Sh2.49 bilioni na vituo vya Serikali ilikuwa Sh1.57 bilioni,” alisema CAG.

CAG alisema kumekuwa na ongezeko la madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi kutoka Sh4.32 bilioni mwaka wa fedha 2019/20 hadi Sh4.55 bilioni kwa mwaka wa fedha 2020/21 na Sh5.59 bilioni katika mwaka wa fedha 2021/22.

Kufuatia hilo, Mziray alisema, "hiyo ya Sh14.46 bilioni ni madai yaliyowasilishwa na vituo vya huduma za matibabu yasiyo ya kweli, ambayo yamepatikana kwenye ripoti za udanganyifu baada ya mfuko kufanya uchunguzi. Na sababu za madai haya zimetajwa hapo kwenye ripoti."

Hasara
Kwa upande mwingine, CAG alibaini mfuko huo ulipata hasara ya Sh205 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/2022, ikilinganishwa na hasara ya kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 ambapo ni Sh104 bilioni.
Akifafanua hilo, Mziray alisema fedha hizo si hasara, bali nakisi iliyotokana na mfuko kuelemewa kwa kuhudumia wagonjwa wengi ikilinganishwa na kiasi kinachokusanywa.

“Nakisi ya Sh205 bilioni inatokana na kwamba mfuko unalipa fedha nyingi zaidi za huduma wanazopata wanachama wake kwenye vituo, kuliko michango wanachama wanayochangia.”

Alisema kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza ambayo awali hayakuwepo nchini ambayo gharama yake ni kubwa kuyatibia ni mojawapo ya NHIF kupata nakisi hiyo.

Katika ripoti hiyo, CAG alisema katika mfuko huo kumekuwa na mtiririko hasi wa fedha katika shughuli zake za uendeshaji ambapo michango inaongezeka kwa asilimia 12.9 wakati matumizi yanaongezeka kwa asilimia 24.6.
CAG anasema taarifa ya tathmini ya mfuko kujiendesha inaonyesha mapato ya matumizi yataendelea kuwa chini na mfuko utatumia ziada iliyokusanywa na hivyo kusababisha ukwasi kuwa hasi ifikapo mwaka 2025.

CAG anapendekeza kuangaliwa upya namna ya kuuboresha mfuko, kuongeza wanachama wa hiari na kuboresha kanzidata ya Tehama na kuboresha usimamizi wa watoa huduma za afya.

Akizungumzia matokeo ya ukaguzo huo, Mwenyekiti wa Chama cha watoa huduma za afya binafsi Tanzania (Aphta), Dk Egina Makwabe alisema vituo binafsi vinaonekana kutumia fedha nyingi katika udanganyifu kwa kuwa hata malipo, kwa asilimia kubwa yanakwenda huko.

Dk Makwabe alifafanua kuwa madai ya udanganyifu kwa mfuko yapo chini ya asilimia 2 ambayo ni ndogo, kwani kwa viwango vya dunia ni asilimia 5.

Hata hivyo alisisitiza hatua za Serikali kuelekea Bima ya Afya kwa Wote ni suluhisho kwa sababu wengi wakichangia si wote wataugua kwa wakati mmoja, hivyo huduma zitaongezeka na wengi watanufaika.

MWANANCHI
NHIF ni kama taasisi zingine sidhani kama wanaweza kugawana fedha kama mnavyotaka kutuminisha hapa, zipo taratibu walizojiwekea ikiwemo maslahi ya Watumishi na hizi fedha uzuri wake zinatejeshwa hivyo tusitake wateseke sana na wasione hata umuhimu wa kazi, kikubwa huduma zinapatikana vituoni.

Kazi iendelee nhif
 
Dar es Salaam. Wakati ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere ikibainisha wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) walijikopesha Sh41.42 bilioni na kusuasua kuzilipa, menejimenti ya uongozi wa mfuko huo umetoa ufafanuzi.

Katika ripoti hiyo ya mwaka 2021/22, CAG Kichere anasema kuna kupungua kwa ukwasi wa mfuko huo unaochangiwa na mambo mengi, kutorejeshwa kwa mikopo ya watumishi wa NHIF.

“Nilibaini kuwa hadi Juni 30, 2022, NHIF ilikuwa na mikopo ya wafanyakazi ambayo haijalipwa Sh41.42 bilioni, kati yake Sh11.18 bilioni ikiwa mikopo mipya iliyotolewa 2021/22.”

CAG anasema mikopo hiyo ilitolewa bila kuzingatia mahitaji ya aya 1.4 ya sera ya mikopo ya wafanyakazi wa mfuko ambayo inahitaji mikopo kutolewa chini ya mfumo wa kukopa na kulipa,” anasema CAG.

Aliongeza: “Nilibaini kupungua kwa ukwasi wa fedha za mfuko huo, hata hivyo mfuko uliongeza ukomo wa mkopo kwa wafanyakazi, hii inatokana na mfumo usioridhisha wa usimamizi wa mfuko wa mkopo kwa wafanyakazi”

Akitoa ufafanuzi kuhusu suala hilo, Mkuu wa kitengo cha mawasiliano NHIF, Angela Mziray alisema “mikopo inayotolewa kwa wafanyakazi wa mfuko ipo kisera kama ilivyo kwa taasisi nyingine za umma na binafsi kwa ajili ya motisha na inarejeshwa kila mwezi na watumishi kupitia mishahara yao pamoja na riba, pia ina bima ili kuhakikisha hakuna hasara,” alifafanua Mziray.

Hata hivyo, katika mapendekezo yake, CAG anasema NHIF itekeleze sera ya mikopo na kuanzisha mfuko wa kukopa na kulipa ili kuepuka kuathiri ukwasi wa mfuko.

cag-info.png


Malipo hewa
Si mikopo tu, ripoti hiyo ya CAG imeonyesha NHIF ilivilipa vituo vya afya madai yasiyo ya kweli yanayofikia Sh14.46 bilioni kwa kipindi cha mwaka 2019/20 hadi 2021/22.

Mbali na hili, CAG amebaini watumishi 146 wakiwemo 129 wa vituo vya afya na wa mfuko huo walijihusisha na vitendo vya udanganyifu.

“Watumishi 146 wa NHIF na wa vituo vya afya walijihusisha na vitendo vya udanganyifu, lakini Kitengo cha Kupambana na Udanganyifu kiliripoti maofisa 17 tu wa mfuko waliojihusisha na vitendo vya udanganyifu kwa kamati za nidhamu,” anasema CAG.

Kuhusu suala hilo, Mziray alisema; "hapa 129 ni watumishi wa vituo vya matibabu, hawa NHIF tuliwaripoti kwenye mabaraza ya kitaaluma na watumishi wa NHIF 17 wameripotiwa kwenye kamati za nidhamu za Mfuko na Jumla ni 146.”

Vilevile, CAG anasema ripoti za kupambana na udanganyifu kati ya 2019/20 na 2021/22 zilibaini kuwepo na madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi ambayo NHIF ilivilipa vituo vya afya.

“Kati ya Sh1.71 trilioni ambazo zililipwa kwa vituo vya kutolea huduma za afya kwa miaka mitatu ya fedha kuanzia 2019/20 hadi 2021/22, Sh14.46 bilioni zililipwa kwa madai ya uongo na yasiyo sahihi.

“Uchambuzi zaidi ulifanyika ili kupata malipo ya madai yasiyo ya kweli, katika vituo vya afya vya binafsi, Serikali na vile vya mashirika ya dini na kubaini vituo binafsi vya huduma ya afya vilikuwa na kiasi kikubwa cha madai yaliyolipwa yasiyo ya kweli ikilinganishwa na vya Serikali.

“Zaidi ya Sh10.38 bilioni zililipwa kwa vituo binafsi na madai katika vituo vya mashirika ya dini ilikuwa ni Sh2.49 bilioni na vituo vya Serikali ilikuwa Sh1.57 bilioni,” alisema CAG.

CAG alisema kumekuwa na ongezeko la madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi kutoka Sh4.32 bilioni mwaka wa fedha 2019/20 hadi Sh4.55 bilioni kwa mwaka wa fedha 2020/21 na Sh5.59 bilioni katika mwaka wa fedha 2021/22.

Kufuatia hilo, Mziray alisema, "hiyo ya Sh14.46 bilioni ni madai yaliyowasilishwa na vituo vya huduma za matibabu yasiyo ya kweli, ambayo yamepatikana kwenye ripoti za udanganyifu baada ya mfuko kufanya uchunguzi. Na sababu za madai haya zimetajwa hapo kwenye ripoti."

Hasara
Kwa upande mwingine, CAG alibaini mfuko huo ulipata hasara ya Sh205 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/2022, ikilinganishwa na hasara ya kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 ambapo ni Sh104 bilioni.
Akifafanua hilo, Mziray alisema fedha hizo si hasara, bali nakisi iliyotokana na mfuko kuelemewa kwa kuhudumia wagonjwa wengi ikilinganishwa na kiasi kinachokusanywa.

“Nakisi ya Sh205 bilioni inatokana na kwamba mfuko unalipa fedha nyingi zaidi za huduma wanazopata wanachama wake kwenye vituo, kuliko michango wanachama wanayochangia.”

Alisema kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza ambayo awali hayakuwepo nchini ambayo gharama yake ni kubwa kuyatibia ni mojawapo ya NHIF kupata nakisi hiyo.

Katika ripoti hiyo, CAG alisema katika mfuko huo kumekuwa na mtiririko hasi wa fedha katika shughuli zake za uendeshaji ambapo michango inaongezeka kwa asilimia 12.9 wakati matumizi yanaongezeka kwa asilimia 24.6.
CAG anasema taarifa ya tathmini ya mfuko kujiendesha inaonyesha mapato ya matumizi yataendelea kuwa chini na mfuko utatumia ziada iliyokusanywa na hivyo kusababisha ukwasi kuwa hasi ifikapo mwaka 2025.

CAG anapendekeza kuangaliwa upya namna ya kuuboresha mfuko, kuongeza wanachama wa hiari na kuboresha kanzidata ya Tehama na kuboresha usimamizi wa watoa huduma za afya.

Akizungumzia matokeo ya ukaguzo huo, Mwenyekiti wa Chama cha watoa huduma za afya binafsi Tanzania (Aphta), Dk Egina Makwabe alisema vituo binafsi vinaonekana kutumia fedha nyingi katika udanganyifu kwa kuwa hata malipo, kwa asilimia kubwa yanakwenda huko.

Dk Makwabe alifafanua kuwa madai ya udanganyifu kwa mfuko yapo chini ya asilimia 2 ambayo ni ndogo, kwani kwa viwango vya dunia ni asilimia 5.

Hata hivyo alisisitiza hatua za Serikali kuelekea Bima ya Afya kwa Wote ni suluhisho kwa sababu wengi wakichangia si wote wataugua kwa wakati mmoja, hivyo huduma zitaongezeka na wengi watanufaika.

MWANANCHI
changamoto za mfumo wa bima ya afya nchini hasa wa umma haziwezi kupata suluhu kwa kubadilisha bodi au menejiment Au wafanyakazi bila kujua kiini cha tatizo. Mfumo wa bima ya afya lazima uboreshwe kwa kuweka sera au sheria ambayo itaweka mazingira kwa kila mtanzania kushiriki kuchangia bima ya afya. Duniani kote hakuna mfumo wa bima ya afya unaoweza ku survive kwa kutegemea wanachama wanaojiunga kwa hiari wakiwa tayari ni wagonjwa.
Suluhu ni kuwa na sheria ya bima ya afya kwa wote au kuondoa makundi yote ya hiari na mfuko kubaki na watumishi wa Umma tu. Kuhusu mikopo, NHIF ni taasisi ya umma inayoendeshwa bila kutegemea ruzuku kutoja Serikalini , mikopo inayotolewa kwa wafanyakzi wake ni sehemu ya motisha kwa wafanyakazi kama ilivyo kwa watumishi wengine wa taasisi za umma na binafsi. Mapato yatokanayo na riba ya mikopo hiyo ya wafanyakazi huwezesha mfuko kupata mapato ya ziada na kujiendesha na kuboresha huduma kwa wanufaika wake.
 
Dar es Salaam. Wakati ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere ikibainisha wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) walijikopesha Sh41.42 bilioni na kusuasua kuzilipa, menejimenti ya uongozi wa mfuko huo umetoa ufafanuzi.

Katika ripoti hiyo ya mwaka 2021/22, CAG Kichere anasema kuna kupungua kwa ukwasi wa mfuko huo unaochangiwa na mambo mengi, kutorejeshwa kwa mikopo ya watumishi wa NHIF.

“Nilibaini kuwa hadi Juni 30, 2022, NHIF ilikuwa na mikopo ya wafanyakazi ambayo haijalipwa Sh41.42 bilioni, kati yake Sh11.18 bilioni ikiwa mikopo mipya iliyotolewa 2021/22.”

CAG anasema mikopo hiyo ilitolewa bila kuzingatia mahitaji ya aya 1.4 ya sera ya mikopo ya wafanyakazi wa mfuko ambayo inahitaji mikopo kutolewa chini ya mfumo wa kukopa na kulipa,” anasema CAG.

Aliongeza: “Nilibaini kupungua kwa ukwasi wa fedha za mfuko huo, hata hivyo mfuko uliongeza ukomo wa mkopo kwa wafanyakazi, hii inatokana na mfumo usioridhisha wa usimamizi wa mfuko wa mkopo kwa wafanyakazi”

Akitoa ufafanuzi kuhusu suala hilo, Mkuu wa kitengo cha mawasiliano NHIF, Angela Mziray alisema “mikopo inayotolewa kwa wafanyakazi wa mfuko ipo kisera kama ilivyo kwa taasisi nyingine za umma na binafsi kwa ajili ya motisha na inarejeshwa kila mwezi na watumishi kupitia mishahara yao pamoja na riba, pia ina bima ili kuhakikisha hakuna hasara,” alifafanua Mziray.

Hata hivyo, katika mapendekezo yake, CAG anasema NHIF itekeleze sera ya mikopo na kuanzisha mfuko wa kukopa na kulipa ili kuepuka kuathiri ukwasi wa mfuko.

cag-info.png


Malipo hewa
Si mikopo tu, ripoti hiyo ya CAG imeonyesha NHIF ilivilipa vituo vya afya madai yasiyo ya kweli yanayofikia Sh14.46 bilioni kwa kipindi cha mwaka 2019/20 hadi 2021/22.

Mbali na hili, CAG amebaini watumishi 146 wakiwemo 129 wa vituo vya afya na wa mfuko huo walijihusisha na vitendo vya udanganyifu.

“Watumishi 146 wa NHIF na wa vituo vya afya walijihusisha na vitendo vya udanganyifu, lakini Kitengo cha Kupambana na Udanganyifu kiliripoti maofisa 17 tu wa mfuko waliojihusisha na vitendo vya udanganyifu kwa kamati za nidhamu,” anasema CAG.

Kuhusu suala hilo, Mziray alisema; "hapa 129 ni watumishi wa vituo vya matibabu, hawa NHIF tuliwaripoti kwenye mabaraza ya kitaaluma na watumishi wa NHIF 17 wameripotiwa kwenye kamati za nidhamu za Mfuko na Jumla ni 146.”

Vilevile, CAG anasema ripoti za kupambana na udanganyifu kati ya 2019/20 na 2021/22 zilibaini kuwepo na madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi ambayo NHIF ilivilipa vituo vya afya.

“Kati ya Sh1.71 trilioni ambazo zililipwa kwa vituo vya kutolea huduma za afya kwa miaka mitatu ya fedha kuanzia 2019/20 hadi 2021/22, Sh14.46 bilioni zililipwa kwa madai ya uongo na yasiyo sahihi.

“Uchambuzi zaidi ulifanyika ili kupata malipo ya madai yasiyo ya kweli, katika vituo vya afya vya binafsi, Serikali na vile vya mashirika ya dini na kubaini vituo binafsi vya huduma ya afya vilikuwa na kiasi kikubwa cha madai yaliyolipwa yasiyo ya kweli ikilinganishwa na vya Serikali.

“Zaidi ya Sh10.38 bilioni zililipwa kwa vituo binafsi na madai katika vituo vya mashirika ya dini ilikuwa ni Sh2.49 bilioni na vituo vya Serikali ilikuwa Sh1.57 bilioni,” alisema CAG.

CAG alisema kumekuwa na ongezeko la madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi kutoka Sh4.32 bilioni mwaka wa fedha 2019/20 hadi Sh4.55 bilioni kwa mwaka wa fedha 2020/21 na Sh5.59 bilioni katika mwaka wa fedha 2021/22.

Kufuatia hilo, Mziray alisema, "hiyo ya Sh14.46 bilioni ni madai yaliyowasilishwa na vituo vya huduma za matibabu yasiyo ya kweli, ambayo yamepatikana kwenye ripoti za udanganyifu baada ya mfuko kufanya uchunguzi. Na sababu za madai haya zimetajwa hapo kwenye ripoti."

Hasara
Kwa upande mwingine, CAG alibaini mfuko huo ulipata hasara ya Sh205 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/2022, ikilinganishwa na hasara ya kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 ambapo ni Sh104 bilioni.
Akifafanua hilo, Mziray alisema fedha hizo si hasara, bali nakisi iliyotokana na mfuko kuelemewa kwa kuhudumia wagonjwa wengi ikilinganishwa na kiasi kinachokusanywa.

“Nakisi ya Sh205 bilioni inatokana na kwamba mfuko unalipa fedha nyingi zaidi za huduma wanazopata wanachama wake kwenye vituo, kuliko michango wanachama wanayochangia.”

Alisema kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza ambayo awali hayakuwepo nchini ambayo gharama yake ni kubwa kuyatibia ni mojawapo ya NHIF kupata nakisi hiyo.

Katika ripoti hiyo, CAG alisema katika mfuko huo kumekuwa na mtiririko hasi wa fedha katika shughuli zake za uendeshaji ambapo michango inaongezeka kwa asilimia 12.9 wakati matumizi yanaongezeka kwa asilimia 24.6.
CAG anasema taarifa ya tathmini ya mfuko kujiendesha inaonyesha mapato ya matumizi yataendelea kuwa chini na mfuko utatumia ziada iliyokusanywa na hivyo kusababisha ukwasi kuwa hasi ifikapo mwaka 2025.

CAG anapendekeza kuangaliwa upya namna ya kuuboresha mfuko, kuongeza wanachama wa hiari na kuboresha kanzidata ya Tehama na kuboresha usimamizi wa watoa huduma za afya.

Akizungumzia matokeo ya ukaguzo huo, Mwenyekiti wa Chama cha watoa huduma za afya binafsi Tanzania (Aphta), Dk Egina Makwabe alisema vituo binafsi vinaonekana kutumia fedha nyingi katika udanganyifu kwa kuwa hata malipo, kwa asilimia kubwa yanakwenda huko.

Dk Makwabe alifafanua kuwa madai ya udanganyifu kwa mfuko yapo chini ya asilimia 2 ambayo ni ndogo, kwani kwa viwango vya dunia ni asilimia 5.

Hata hivyo alisisitiza hatua za Serikali kuelekea Bima ya Afya kwa Wote ni suluhisho kwa sababu wengi wakichangia si wote wataugua kwa wakati mmoja, hivyo huduma zitaongezeka na wengi watanufaika.

MWANANCHI
Kweli kabisa tuzipe muda mamlaka zifanye kazi yake. Kama kuna ubadhilifu hatua zitachukuliwa na kama ni vitu tu vya kurekebisha basi hao NHIF watarekebisha maana CAG wakati mwingine huwa anaonesha tu maeneo ya kurekebisha
 
Dar es Salaam. Wakati ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere ikibainisha wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) walijikopesha Sh41.42 bilioni na kusuasua kuzilipa, menejimenti ya uongozi wa mfuko huo umetoa ufafanuzi.

Katika ripoti hiyo ya mwaka 2021/22, CAG Kichere anasema kuna kupungua kwa ukwasi wa mfuko huo unaochangiwa na mambo mengi, kutorejeshwa kwa mikopo ya watumishi wa NHIF.

“Nilibaini kuwa hadi Juni 30, 2022, NHIF ilikuwa na mikopo ya wafanyakazi ambayo haijalipwa Sh41.42 bilioni, kati yake Sh11.18 bilioni ikiwa mikopo mipya iliyotolewa 2021/22.”

CAG anasema mikopo hiyo ilitolewa bila kuzingatia mahitaji ya aya 1.4 ya sera ya mikopo ya wafanyakazi wa mfuko ambayo inahitaji mikopo kutolewa chini ya mfumo wa kukopa na kulipa,” anasema CAG.

Aliongeza: “Nilibaini kupungua kwa ukwasi wa fedha za mfuko huo, hata hivyo mfuko uliongeza ukomo wa mkopo kwa wafanyakazi, hii inatokana na mfumo usioridhisha wa usimamizi wa mfuko wa mkopo kwa wafanyakazi”

Akitoa ufafanuzi kuhusu suala hilo, Mkuu wa kitengo cha mawasiliano NHIF, Angela Mziray alisema “mikopo inayotolewa kwa wafanyakazi wa mfuko ipo kisera kama ilivyo kwa taasisi nyingine za umma na binafsi kwa ajili ya motisha na inarejeshwa kila mwezi na watumishi kupitia mishahara yao pamoja na riba, pia ina bima ili kuhakikisha hakuna hasara,” alifafanua Mziray.

Hata hivyo, katika mapendekezo yake, CAG anasema NHIF itekeleze sera ya mikopo na kuanzisha mfuko wa kukopa na kulipa ili kuepuka kuathiri ukwasi wa mfuko.

cag-info.png


Malipo hewa
Si mikopo tu, ripoti hiyo ya CAG imeonyesha NHIF ilivilipa vituo vya afya madai yasiyo ya kweli yanayofikia Sh14.46 bilioni kwa kipindi cha mwaka 2019/20 hadi 2021/22.

Mbali na hili, CAG amebaini watumishi 146 wakiwemo 129 wa vituo vya afya na wa mfuko huo walijihusisha na vitendo vya udanganyifu.

“Watumishi 146 wa NHIF na wa vituo vya afya walijihusisha na vitendo vya udanganyifu, lakini Kitengo cha Kupambana na Udanganyifu kiliripoti maofisa 17 tu wa mfuko waliojihusisha na vitendo vya udanganyifu kwa kamati za nidhamu,” anasema CAG.

Kuhusu suala hilo, Mziray alisema; "hapa 129 ni watumishi wa vituo vya matibabu, hawa NHIF tuliwaripoti kwenye mabaraza ya kitaaluma na watumishi wa NHIF 17 wameripotiwa kwenye kamati za nidhamu za Mfuko na Jumla ni 146.”

Vilevile, CAG anasema ripoti za kupambana na udanganyifu kati ya 2019/20 na 2021/22 zilibaini kuwepo na madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi ambayo NHIF ilivilipa vituo vya afya.

“Kati ya Sh1.71 trilioni ambazo zililipwa kwa vituo vya kutolea huduma za afya kwa miaka mitatu ya fedha kuanzia 2019/20 hadi 2021/22, Sh14.46 bilioni zililipwa kwa madai ya uongo na yasiyo sahihi.

“Uchambuzi zaidi ulifanyika ili kupata malipo ya madai yasiyo ya kweli, katika vituo vya afya vya binafsi, Serikali na vile vya mashirika ya dini na kubaini vituo binafsi vya huduma ya afya vilikuwa na kiasi kikubwa cha madai yaliyolipwa yasiyo ya kweli ikilinganishwa na vya Serikali.

“Zaidi ya Sh10.38 bilioni zililipwa kwa vituo binafsi na madai katika vituo vya mashirika ya dini ilikuwa ni Sh2.49 bilioni na vituo vya Serikali ilikuwa Sh1.57 bilioni,” alisema CAG.

CAG alisema kumekuwa na ongezeko la madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi kutoka Sh4.32 bilioni mwaka wa fedha 2019/20 hadi Sh4.55 bilioni kwa mwaka wa fedha 2020/21 na Sh5.59 bilioni katika mwaka wa fedha 2021/22.

Kufuatia hilo, Mziray alisema, "hiyo ya Sh14.46 bilioni ni madai yaliyowasilishwa na vituo vya huduma za matibabu yasiyo ya kweli, ambayo yamepatikana kwenye ripoti za udanganyifu baada ya mfuko kufanya uchunguzi. Na sababu za madai haya zimetajwa hapo kwenye ripoti."

Hasara
Kwa upande mwingine, CAG alibaini mfuko huo ulipata hasara ya Sh205 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/2022, ikilinganishwa na hasara ya kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 ambapo ni Sh104 bilioni.
Akifafanua hilo, Mziray alisema fedha hizo si hasara, bali nakisi iliyotokana na mfuko kuelemewa kwa kuhudumia wagonjwa wengi ikilinganishwa na kiasi kinachokusanywa.

“Nakisi ya Sh205 bilioni inatokana na kwamba mfuko unalipa fedha nyingi zaidi za huduma wanazopata wanachama wake kwenye vituo, kuliko michango wanachama wanayochangia.”

Alisema kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza ambayo awali hayakuwepo nchini ambayo gharama yake ni kubwa kuyatibia ni mojawapo ya NHIF kupata nakisi hiyo.

Katika ripoti hiyo, CAG alisema katika mfuko huo kumekuwa na mtiririko hasi wa fedha katika shughuli zake za uendeshaji ambapo michango inaongezeka kwa asilimia 12.9 wakati matumizi yanaongezeka kwa asilimia 24.6.
CAG anasema taarifa ya tathmini ya mfuko kujiendesha inaonyesha mapato ya matumizi yataendelea kuwa chini na mfuko utatumia ziada iliyokusanywa na hivyo kusababisha ukwasi kuwa hasi ifikapo mwaka 2025.

CAG anapendekeza kuangaliwa upya namna ya kuuboresha mfuko, kuongeza wanachama wa hiari na kuboresha kanzidata ya Tehama na kuboresha usimamizi wa watoa huduma za afya.

Akizungumzia matokeo ya ukaguzo huo, Mwenyekiti wa Chama cha watoa huduma za afya binafsi Tanzania (Aphta), Dk Egina Makwabe alisema vituo binafsi vinaonekana kutumia fedha nyingi katika udanganyifu kwa kuwa hata malipo, kwa asilimia kubwa yanakwenda huko.

Dk Makwabe alifafanua kuwa madai ya udanganyifu kwa mfuko yapo chini ya asilimia 2 ambayo ni ndogo, kwani kwa viwango vya dunia ni asilimia 5.

Hata hivyo alisisitiza hatua za Serikali kuelekea Bima ya Afya kwa Wote ni suluhisho kwa sababu wengi wakichangia si wote wataugua kwa wakati mmoja, hivyo huduma zitaongezeka na wengi watanufaika.

MWANANCHI
Sio kila kitu ni ubadhilifu. Mikopo ya watumishi iko kila mahali na ina utaratibu wake wa kurejesha. Huu kama ni ubadhilifu mamlaka zitachukua hatua stahiki
 
Hii ni propaganda chafu dhidi ya nhif kwani taasisi zingine hamjaona wakijikopesha au ndio NHIF tu mnataka kuionea acheni ukilitimba
Wanakopeshana hela za wagonjwa kama NHIF? NHIF wanakopeshana hela za matibabu ya wagonjwa
 
NHIF halafu unakuta dawa zingine hazipo kwenye bima!!!! unatakiwa uingie mfukoni!!!!

Kumbe wao wapo tu wanajikopesha fedha zetu!!!!

Kwakweli Serikali/viongozi wetu walio pewa dhamana wanapaswa wawe wakali ili kuepusha baadhi ya mambo ya ovyo kama haya.

Kinacho shangaza zaidi, viongozi wapo, watendaji wapo!!!!! Wee Mungu wangu duh!!!

Nimechoka Moyo unaenda mbio.

Sent from my V2118 using JamiiForums mobile app
Wakubwa wenyewe wanakopa huko.
 
Back
Top Bottom