CAG ni Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali. Kazi ya UDHIBITI hajaifanya ndio maana kuna madudu kibao kwenye ripoti yake, atimuliwe

CAG ni Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali. Kazi ya UDHIBITI hajaifanya ndio maana kuna madudu kibao kwenye ripoti yake, atimuliwe

CAG Assad aliwekewa mizengwe mingi kutokana na umahiri na weledi wake mkubwa katika kutekeleza majukumu yake. Hatimaye aliondolewa ofisini kinyemela na kuja CAG wa sasa aliyepewa maelekezo ya kuwa kama dodoki kwa mamlaka iliyomteua.

Sasa huo udhibiti angeweza kuufanya kwa namna gani, wakati bosi wake alichukulia fuko la hazina ya taifa kama mali yake binafsi?
Na yeye angekataa angekuwa na msimamo kama prof. Kwani kutumbuliwa ni dhambi
 
Mnahamisha magoli kwa kutumia propaganda za kitoto!
Ni nani aliyeweza kumdhibiti Jiwe? Kichere alifahamu yaliyompata Assad. Mnajitoa ufahamu ili kuondoa lawama kwa rais aliyefariki?

Chini ya jiwe, ulichosema kingefanyika, ni uhaini ama uhujumu uchumi. Kudhibiti serikali na matumizi yake ni kumdhibiti jiwe! Mnaweweseka sana!
Usaliti na kutokuwa wazalendo ndiko kunakoua taifa letu..
Watanzania tunachezewa sana.
 
Tunapoteza nguvu kubwa ya maji kuwaeleza vilaza mpaka huku mtaani na hawa wasio jua nafasi na cheo katika majukumu.unaweza kumuuliza kazi ya mwenyeketi wa serekali za mtaa akashindwa kujibu[emoji28].

IMG_4608.jpg


Ndio maana aliwajuwa na kuwaita wanyonge
IMG_4612.jpg
 
Back
Top Bottom