Mnahamisha magoli kwa kutumia propaganda za kitoto!
Ni nani aliyeweza kumdhibiti Jiwe? Kichere alifahamu yaliyompata Assad. Mnajitoa ufahamu ili kuondoa lawama kwa rais aliyefariki?
Chini ya jiwe, ulichosema kingefanyika, ni uhaini ama uhujumu uchumi. Kudhibiti serikali na matumizi yake ni kumdhibiti jiwe! Mnaweweseka sana!