nzoka boy
JF-Expert Member
- Oct 14, 2017
- 1,165
- 1,038
Walivotaja tuu tanroad nkachoka!Kichere tumeambiwa ni mjomba wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walivotaja tuu tanroad nkachoka!Kichere tumeambiwa ni mjomba wake
Kichere ana CPA/ACCA?
Ni member wa NBAA?
Huyu ni Mhasibu wa muda mrefu sema sina hakika km aliwahi kufanya kazi km Auditor. Kabla ya TRA alikuwa Accountant na Accountant lazima awe na hizo certificationsKichere ana CPA/ACCA?
Ni member wa NBAA?
iv kumbe cag hawez kutumbuliwaIla nafasi ya u CAG safi sana. Walau Kichere sasa ana uhakika wa kukaa kama CAG kwa miaka 5 hata kama ile mihimili mingine itakwazika for sometimes.
Assad ustaafu mwema kwako. Pole kwa kutokuongezewa miaka 5 mingine.
Duu, alikuwa Katibu Tarafa wapi mkuu?Majina ya Charles yashaanza kurudi serikalini haha. Toka katibu tarafa to CAG[emoji16]
CPA?Hivi kichere ana CPA/ACCA?
Ni member wa NBAA?
nina maana yangu kuuliza hivi wakuu.
Kwenye cv haionekani!Hivi kichere ana CPA/ACCA?
Ni member wa NBAA?
nina maana yangu kuuliza hivi wakuu.
Dah nimejisikia kusikitika sana mkuu.Kwenye cv haionekani!
Mbona magufuli hata yeye ni fisadi aliyekubuhu??Hujui Assad ni fisadi kama mafisadi mengine waulize NBC alipokuwa Mwenyekiti wa Bodi huko.
Very Shameful indeed!!Hakuna vetting hapa.. ni Magufuli ndio aliyoona hafai kuongoza TRA, leo anamrudisha kuongoza NAO. Shameful
Najua katiba haijaweka zuio hilo, lkn nimeuliza hilo swali makusudi maalum mkuu.CPA?
Hana ila katiba haijaweka Zuio kwamba mteuliwa wa nafasi ya CAG lazima awe na hivyo ulivyovitaja.