CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya

CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya

Nina mashaka na uwezo wa kicheere upstairs, nimesoma naye, I know him better
Huu unaweza kuwa uteuzi wa kuidhalilisha taasisi ya CAG
Unasema you know him better lakini hapohapo unasema tena una mashaka na uwezo wake! Tukuelewe je sasa?
 
Nataman kuwasikia wanaopendekeza JPM aongezewe muda wapendekeze pia PROF. ASSAD aongezewe muda
 
Sasa mpira unachezwa pale golini kabisa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]..

Historia ya kichere akiwa HOF Tanroad na Magu inachangia..
 
Kama ni hivyo basi ni mbinu za kum shake kisaikolojia ili awe na adabu na mteuzi. Una panda cheo hadi Kamishna wa TRA una enjoy ukuu ghafla unapigwa mtama hadi kuwa RAS bila kutegemea na unanyong'onyea kisha unapewa madaraka yasiyo hojiwa na inakubidi ujikunyate kwa mteuzi kuwa ni mwokozi wako.
System guy,wapo wengi sampuli hii.
 
NAME : Charles Kichere

DATE OF BIRTH : 26th March 1970

LANGUAGES : Fluent in English and Kiswahili in both writing and speaking.

ACADEMIC QUALIFICATIONS

November 2016:Tumain University, Bachelor of Law (LLB).

December 2008: University of Dar es Salaam, Master of Business Administration (MBA – Finance).

June 2004: African Renaissance Centre – Mbabane, Kingdom of Swaziland. Awarded Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects.

November 1997: University of Dar Es Salaam Awarded Bachelor of Commerce (B.com – Accounting) Upper Second Class with Honours.

May 1992: Shinyanga Commercial Institute (Shycom) Awarded Advanced Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1.

November 1989: Tambaza Secondary School Awarded Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1

Hana fluency yoyote in English, English yake, mtoto wangu wa darasa la Saba ana nafuu
 
Kama ni hivyo basi ni mbinu za kum shake kisaikolojia ili awe na adabu na mteuzi. Una panda cheo hadi Kamishna wa TRA una enjoy ukuu ghafla unapigwa mtama hadi kuwa RAS bila kutegemea na unanyong'onyea kisha unapewa madaraka yasiyo hojiwa na inakubidi ujikunyate kwa mteuzi kuwa ni mwokozi wako.
Nayeye atatwambia kwamba rais kamtoa jalalani.
 
Wewe mwehu utaendelea kubweka hadi uzeeke
Na porojo zako zisizo na kichwa wala miguu
Unajuwa ukiangalia hata hawa wasaidizi wake wakuu Samia na Majaliwa, wrote ni wale wale. Sijisikii aibu kusemea nao ni wabovu na hawana hadhi ya kushika madaraka hayo waliyo nayo kama hawawezi kumshauri anapokwenda mrama na akikataa wao kuchukua uamuzi sahihi wa kiuongozi wa kujitoa na kutangaza hadharani sababu ni nini.
Hitimisho ni kuwa lawama za uongozi mbovu sio za MtuPori pekee bali viongozi hao wote.
 
Aisee pesa za watanzania zipo hatarini, safu za kuwezesha upigaji zinapangwa na kupanguliwa.
 
Sasa hivi ni wakati wa jiwe,hata nikinuna haisaidii. Hongera kwa Kachere walau ana uhakika wa kukaa miaka 5 sehemu moja.
Sio miaka mitano mkuu kumbuka utawala wa serikali hii kwa awamu yake unaisha mwakani hvyo si ajabu ukashangaa mwakani wakat raisi anaunda serikali mpya ukashangaa na yy asiwepo...yote yanawezeikana
 
JK alikuwa anateua vichwa na anavipa uhuru, ila kulikuwa na udhaifu katika kufanyia kazi taarifa za vile 'vichwa' anavyovipa kazi.

Sasa hivi sijui,kazi ipo.

Nampongeza mteuliwa na nampongeza zaidi aliyemaliza kazi yake,hakika atakumbukwa kwa ujasiri na itekelezaji wenye kuonekana wa viapo vyake. Mungu akamlinde na kumtunza pamoja na familia yake.
 
View attachment 1252682

Rais John Magufuli leo Novemba 3 amemteua Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Prof. Mussa Assad

Prof. Assad aliteuliwa na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete wakati wa utawala wake na kuapishwa Novemba 2014.

WASIFU WA KICHERE:

NAME : Charles Edward Kichere

DATE OF BIRTH : 26th March 1970

LANGUAGES : Fluent in English and Kiswahili in both writing and speaking.

ACADEMIC QUALIFICATIONS

November 2016:Tumain University, Bachelor of Law (LLB).

December 2008: University of Dar es Salaam, Master of Business Administration (MBA – Finance).

June 2004: African Renaissance Centre – Mbabane, Kingdom of Swaziland. Awarded Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects.

November 1997: University of Dar Es Salaam Awarded Bachelor of Commerce (B.com – Accounting) Upper Second Class with Honours.

May 1992: Shinyanga Commercial Institute (Shycom) Awarded Advanced Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1.

November 1989: Tambaza Secondary School Awarded Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1

Charles Edward Kichere was a Njombe Regional Administrative Secretary (RAS) and former Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA).

He also worked as Deputy Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA),
Head of Finance and Chief Accountant at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Principal Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Unilever Tea Tanzania Limited, and Internal Auditor/Treasurer at Unilever Tea Kenya Limited.

Charles E. Kichere holds Bachelor of Laws (LL.B) from Tumaini University College, Dar es Salaam Tanzania, Masters of Business Administration (MBA) in Finance at University of Dar es Salaam,
Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects at Africa Renaissance Centre, Mbabane Swaziland,
Bachelor of Commerce in Accounting (B.Com Accounting) at University of Dar es Salaam.

He is a member of the Credit and Audit Committees.
Kwa elimu hii sasa naanza kuelewa kwanini ali shindwa TRA... Naanza pia kuona anguko kwenye udhibitli WA pesa za serikali. CV yake haiendani na wadhifa alio pewa..
 
Back
Top Bottom