CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya

CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya

Hivi yule muimbaji Bad Bakule yupo wapi siku hizi a.k.a Mzaramo halisi? Naupendaga sana ule wimbo wake wa: Chandeeee" napenda ile Choras ya Mwumini Mwinjuma

Nimetenda mema mengi kupita uwezo wanguu, nimekubebaa lakini haubebekii
Nimebadili mbelekoo lakini unatelezaa
Nabwaga Manyangaaa Nabwaga Manyangaaa

Uzalendoo uzalendo umenishindaa


Mhh Bad bakule sio marehem mzee baba?..kuna kipindi alikua ana tb
 
Charles Kichere kama CAG sasa

- Mwaka wa Fedha 2018/2019 alikuwa Kamishna Mkuu wa TRA
- 2019/2020 alikuwa RAS wa Njombe

Je, atajikagua na kujipa hati safi/chafu na kufuatilia majibu ya maswali yaliyopita kuhusu TRA na Njombe?
CAG ni ofisi.....usisahau hilo!
 
Charles Kichere kama CAG sasa

- Mwaka wa Fedha 2018/2019 alikuwa Kamishna Mkuu wa TRA
- 2019/2020 alikuwa RAS wa Njombe

Je, atajikagua na kujipa hati safi/chafu na kufuatilia majibu ya maswali yaliyopita kuhusu TRA na Njombe?
Binafsi simchukii kichere ila kuwa CAG nina mashaka na uwezo wake kwani alichoshindwa TRA ni kitu kidogo tu huku anakokwenda ni kukubwa sana
 
Charles Kichere kama CAG sasa

- Mwaka wa Fedha 2018/2019 alikuwa Kamishna Mkuu wa TRA
- 2019/2020 alikuwa RAS wa Njombe

Je, atajikagua na kujipa hati safi/chafu na kufuatilia majibu ya maswali yaliyopita kuhusu TRA na Njombe?

Hahitaji kuwa serious, anahitaji mtu atakayetii atakacho.
 
Charles Kichere kama CAG sasa

- Mwaka wa Fedha 2018/2019 alikuwa Kamishna Mkuu wa TRA
- 2019/2020 alikuwa RAS wa Njombe

Je, atajikagua na kujipa hati safi/chafu na kufuatilia majibu ya maswali yaliyopita kuhusu TRA na Njombe?
Kwakuwa Vetting imefanyika naona atajikagua vizuri tu mkuu wala usihofu.
 
Kichere kawa CAG?

Kwani Assad amestaafu?

Oooh, kumbe amenyimwa extension ya miaka mingine 5.

Serikali imecheza na loophole ya sheria.
Jomba unaunga mkono watu wakishagota umri wa kustaafu wapewe extension sio..sasa watoto wetu watapata hizo nafasi lini Kama wazee wataendelea kushika nafasi..
 
Tunakumbushana tu kwa sababu siasa siyo uadui.

Jitahidini mrudishe hizo fomu kwani kesho ndio siku ya mwisho ya kuchukua na kurudisha fomu uchaguzi wa serikali za mitaa.

Prof Assad amemaliza muda wake wa kikatiba hata mkuu fayza fox amelielewa hili na ametulia

Maendeleo hayana vyama!
 
Taarifa ya Ikulu imeeleza kuwa Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali Prof.Mussa Assad amemaliza kipindi chake cha miaka mitano kwenye nafasi hiyo. Lakini Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 (ambayo ndio sheria mama) haelezi hicho kinachoitwa "kipindi cha miaka mitano"
_
Katiba inaeleza kuwa CAG atakoma utumishi wake atakapotimiza umri wa miaka 60. Yani akifikisha umri wa miaka 60 anapumzika bila kujalisha ametumikia nafasi hiyo kwa muda gani. Iwe miezi miwili, miaka nane, au miaka kumi.

Ndio maana maCAG wote waliotangulia wameongoza ofisi hiyo kwa vipindi tofauti. Mzee Mohamed Aboud aliongoza kwa miaka 27 tangu 1969 hadi 1996. Thomas Kiama akaongoza kwa miaka 9 tangu 1996 hadi 2005. Ludovick Utouh akaongoza kwa miaka 8 tangu 2006 hadi 2014. Sasa hii kauli ya kusema Assad amemaliza kipindi chake cha "miaka mitano" imetoka wapi?

Matakwa ya kikatiba ni umri wa miaka 60, unless aondolewe kwa kushindwa kutimiza majukumu yake. Na ikitokea hivyo Katiba imeweka utaratibu wa kumuondoa kwa kuunda tume.

Lakini taarifa ya Ikulu inaeleza Assad amemaliza kipindi chake cha miaka mitano. Je hiki kipindi cha miaka mitano Ikulu wamekitoa wapi? Kwenye sheria ipi? Kama ipo sheria hiyo ipo ni batili maana inapingana na katiba.

Na kwa kawaida unapotokea mgogoro kati ya sheria na katiba, basi Katiba ndiyo inayoshika hatamu (When a state law conflicts with a Constitution, then constitution prevails because constitution rules supreme above all state laws).
_
Prof.Assad amezaliwa tar.06 October mwaka 1961. Kwa sasa ana umri wa miaka 58. Atafikisha umri wa miaka 60 October 06 mwaka 2021. Hivyo kwa mujibu wa KATIBA alipaswa kustaafu nafasi yake ya CAG akifikisha umri huo, na si kwa hiki kinachoitwa "miaka mitano". I stand to be corrected.!View attachment 1252811

Anaweza kuwa ameomba kuachia ngazi akimaliza muda wake huu. Inaelezea hapo, mengine sio lazima tutangaziwe.
 
Charles Kichere kama CAG sasa

- Mwaka wa Fedha 2018/2019 alikuwa Kamishna Mkuu wa TRA
- 2019/2020 alikuwa RAS wa Njombe

Je, atajikagua na kujipa hati safi/chafu na kufuatilia majibu ya maswali yaliyopita kuhusu TRA na Njombe?
Hahahaha umewaza mbali..ripoti ni ripoti tu haijalishi ulikuwemo au haukuwemo..si wanafata misingi ya ukaguzi jomba..kwani vipi..
 
Tunakumbushana tu kwa sababu siasa siyo uadui.

Jitahidini mrudishe hizo fomu kwani kesho ndio siku ya mwisho ya kuchukua na kurudisha fomu uchaguzi wa serikali za mitaa.

Prof Assad amemaliza muda wake wa kikatiba hata mkuu fayza fox amelielewa hili na ametulia

Maendeleo hayana vyama!
wewe ulivyofungua huu uzi kujadili hili inamaana umesahau kuwa kesho ni siku ya mwisho kuchukua form???

hivi huu utapiamlo haya madhara yake yatakuandama hadi siku ya kufa??
 
Kama ni hivyo basi ni mbinu za kum shake kisaikolojia ili awe na adabu na mteuzi. Una panda cheo hadi Kamishna wa TRA una enjoy ukuu ghafla unapigwa mtama hadi kuwa RAS bila kutegemea na unanyong'onyea kisha unapewa madaraka yasiyo hojiwa na inakubidi ujikunyate kwa mteuzi kuwa ni mwokozi wako.
Teh teh teh. Jf ina watu wametulia sana ki fikira (like a man who commented this)
 
Kama ndivyo hata Urais ungekuwa ni taasisi na sio mtu. Acha kujitoa ufahamu wewe chalii.
Utalinganishaje urais na Hawa wengine wewe..Rais ni dhamana ya kubeba Taifa aliyopewa na wananchi ikiwemo wewe..yeye ndie raia namba moja..right..?
 
Back
Top Bottom