Asingeweza kumwambia kwa sababu mwendazake alikuwa dikteta angempotezaCag kagua value of iliyotumika kujenga jengo Hilo cyo kuja kujipendekeza eti haikuwa kwenye mpngo...hv hayo maneno ungesubutu kumuambia mwenda zake
Ukageuzwa wimbo "atake, asitake"Kila kona madudu. Alafu kulikuwa na hoja ya kuongezewa muda
Anakagua VYOTE, KILA KITU kama jina lake lilivyo kwa Kiingereza - CONTROLLER AND AUDITOR GENERAL (CAG) au ni COMPTROLLER AND AUDITOR GENERAL (CAG)? Kwa jina lolote lile, anakagua EVERYTHING!Hivi CAG anakagua hesabu za serekali au kila kitu
Huyu CAG atakuwa katumwa na MABEBERU[emoji44][emoji44]
Anakagua hadi nguzo za umeme kama mi mpingo au mikaratusi au mithieda au msonobariHivi CAG anakagua hesabu za serekali au kila kitu
Issue sio kusababisha foleni..
Kama alishalala pema... hata tucheze mdundiko juu ya Kaburi lake ... hatutamsumbuaThis is too much.
Mwacheni alale peMa
Weeee!hilo haliwezekaniHaya bomoeni mrudi ubungo simple.
Kuwa na subira madudu ya hapo kwenye hiyo stendi yanakuja,si mda mrefu.Huyo CAG huko ni ujipendekeza ama ni nini!!??
foleni zipo kwenye mahesabu anayokagua!!??
Alafu what next....!!???Kuwa na subira madudu ya hapo kwenye hiyo stendi yanakuja,si mda mrefu.
Umekalia kitu kizito nyuma kinachocheuwa...lazima uropokweMwenda zake mwanasayansi, injinia, chemist, IGP, gavana wa BOT, msanifu wa barabara na majengo, mkemia mkuu, daktari mkuu, spika wa bunge, jaji mkuu, kamanda wa polisi,sheikh na paroko in short mwenda zake alikua anamudu sekta zote, ona sasa matokeo yake
Mwendelezo wa madduddu ya Magufuli.
CAG amesema stendi ya mabasi ya Magufuli iliyopo Kibamba manispaa ya Ubungo haikuwemo katika usanifu wa ujenzi wa barabara ya njia 8 kutoka Ubungo hadi Kibaha.
Kwa maana hiyo stendi ya Magufuli itaongeza msongamano wa magari tofauti na lengo la mradi huo wa barabara la kuondoa kabisa foleni kati ya Ubungo na Kibaha.
Ukinizingua Nitakuzingua!
Walikua wanamuogopa kuliko maelezo. Waliwahi kuambiwa BUNGE ni dhaifu wakatokwa povu na mishipa ikawasimama dede.Misenge sana hii mijitu, yalikua wapi kumwambia marehemu kabla asijenge.
Kila kitu sasa mnatupia kaburi, Mlaaniwe
Hivi CAG anakagua hesabu za serekali au kila kitu
Hata kama sio lake, ndio limeshanyooshewa kidole tayari.Angalia jinga hili hata halijielewi lishabebwa na upepo!!??
swala la foleni ni swala la CAG!!???
Sura lile kama damasi nikikumbuka hadithi za zamaniNimemshtukia
Ana kihedehede